spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,141
- 21,902
Hawa hapa wawili wa yu di zim
Labda chuo cha madrasa1. Bila mshahara wa 1m sikubali kuajiriwa, kila mtu lazima aji value
2. Chuo chetu ni chuo bora, waajiri wakikiona ktk interview wanatuchukua
3. Ajira nitakayokubali iwe Dar, Arusha, Dodoma na Mwanza. Huko kwingine siendi
4. Kwa hii GPA najua simalizi mwezi mtaani bila kazi
Sasa ndio mitihani ya U. E inaishaisha, sijui tuwaambie ukweli au tuwaache, ukweli ujitambulishe wenyewe?
1. Bila mshahara wa 1m sikubali kuajiriwa, kila mtu lazima aji value
2. Chuo chetu ni chuo bora, waajiri wakikiona ktk interview wanatuchukua
3. Ajira nitakayokubali iwe Dar, Arusha, Dodoma na Mwanza. Huko kwingine siendi
4. Kwa hii GPA najua simalizi mwezi mtaani bila kazi
Sasa ndio mitihani ya U. E inaishaisha, sijui tuwaambie ukweli au tuwaache, ukweli ujitambulishe wenyewe?
[emoji3][emoji3][emoji3]Huhitaji waambia chochote...
Akienda interview 2 Tu akakuta watu elfu 20 wanagombea nafasi 8..
Atatia akili
Kwamba watu hawaangalii hata vyeti, "nafasi hakuna"Tuwaache wakutane na Kasheshe
1-4 ni sentences za wanavyuo. Upo rightKama nimeelewa vibaya unisahihishe.Naamini ulivyoandika 1 hadi 4 ni maneno ya mtu wa kwanza.Na hiyo aya inayofuata ndiyo hasa maneno yako
USHAURI:
Usiwapigie kelele.Waache waje wayaone wenyewe na kushangaa kwa nini huwa tunatembea huku tunaongea peke yetu njiani.
Ulivoanza sasa 🤓🤓🤓🙌🙌🙌1. Bila mshahara wa 1m sikubali kuajiriwa, kila mtu lazima aji value
2. Chuo chetu ni chuo bora, waajiri wakikiona ktk interview wanatuchukua
3. Ajira nitakayokubali iwe Dar, Arusha, Dodoma na Mwanza. Huko kwingine siendi
4. Kwa hii GPA najua simalizi mwezi mtaani bila kazi
Sasa ndio mitihani ya U. E inaishaisha, sijui tuwaambie ukweli au tuwaache, ukweli ujitambulishe wenyewe?
Sua ukifika tu unakabiziwa kandama kako ukalee🤓🤓🤓semester ya sita inalala yoo😂, lakin hapo sua 😂😂😂 vijana wana kazi
Kuna kitu umemis kwenye post yangu, soma taratibuHapa GPA Kuingeuza kuwa hela ni zaidi ya hiyo Mitihani ulifanya huko Chuoni.Hutoamini masikio yako Pale utakapogundua na Kusikia bora ungekwenda kusoma Veta kuliko huko ulipokimbilia maana dili za Maana zinaendeshwa kwa akili ya kuzaliwa na si Elimu. Ndiyo maana Maprofesa wengi ni Maskini wa kutupwa .
VETA NI BORA ZAIDI KULIKO HUKO ULIPOKIMBILIA KAMA UNABISHA SUBIRI UONE MAISHA HALISI.
AfadhaliWengi miaka hii wanajua kuwa huko mtaani Kuna chuma
[emoji3][emoji3] punguza makasirikoNgoja kwanza upauke ukabebeshwe mabeseni na watu wa promotion Kwa laki 3 Kwa mwezi...
utavaa na tai ndefu kama ulimi
Iko opposite direction na post but una ujumbe mzuri mwingineHuyu jamaa anaitwa Ibra, ni VETA Grade 1.
Mwaka 2021 alipo pewa mkataba wenye mshahara wa 1,800,000 basics salary na 240,000 house allowance na 180,000 night shift allowance pamoja na 4 quoter allowance jamaa alifurahi sana na akasema kwamba haitokaa ajihusishe na thefts and fraud kwasababu hakuwahi kuwaza kama itamtokea maishani mwake akapata mshahara mkubwa kiasi hicho.....[emoji4]
Baada ya mwaka mmoja kazini Ibra alibadilika akawa anapiga dili za 30,000....[emoji1787] Ibra akaanza kulalamika kwamba analipwa mshahara mdogo....[emoji23]
Basi skuhiyo akawa analalamika kuhusu mshahara na wakatihuo anafanya harakati zake za madili, mie sinikamkumbusha yale maneno yake bana....[emoji12]ghafla niligeuka adui wake namba 1
Tena mko negativeHaha tuwaache waje kujionea wenyewe mkuu[emoji3]Itapendeza sa hv watasema sisi waongo.
Hujaona conclusion bila shakaYaani unaingia kwenye market ya ajira na masharti kibao. Streets zita ku hit very hard bro
[emoji3][emoji3][emoji106][emoji106]Ulivoanza sasa [emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119]
Ulianza vizuri sana 😂😂😂🤓🤓🤓🤓[emoji3][emoji3][emoji106][emoji106]
Na tuta la vegiteboSua ukifika tu unakabiziwa kandama kako ukalee[emoji851][emoji851][emoji851]
Kuna hiyo wanaita physical test..Na tuta la vegitebo