Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 422
1. Bila mshahara wa 1m sikubali kuajiriwa, kila mtu lazima aji value
2. Chuo chetu ni chuo bora, waajiri wakikiona ktk interview wanatuchukua
3. Ajira nitakayokubali iwe Dar, Arusha, Dodoma na Mwanza. Huko kwingine siendi
4. Kwa hii GPA najua simalizi mwezi mtaani bila kazi
Sasa ndio mitihani ya U. E inaishaisha, sijui tuwaambie ukweli au tuwaache, ukweli ujitambulishe wenyewe?
2. Chuo chetu ni chuo bora, waajiri wakikiona ktk interview wanatuchukua
3. Ajira nitakayokubali iwe Dar, Arusha, Dodoma na Mwanza. Huko kwingine siendi
4. Kwa hii GPA najua simalizi mwezi mtaani bila kazi
Sasa ndio mitihani ya U. E inaishaisha, sijui tuwaambie ukweli au tuwaache, ukweli ujitambulishe wenyewe?