Ninaomba taarifa PAC iwekwe hapa mtandaoni haraka. Tufanya mawasiliano kazi ianze mara moja. Suala la mikusanyikok ya maandamano katika hali hii litasumbua. Ipo namna safi tu na ambayo inafanyika nchi nzima bia kuathiri shughuli zingine, tena ndani ya muda mfupi sana.
Wekeni report ili tuwatamubue wizi wetu wote.
Tutajua la kufanya.
Lakini pia wote wanaowasaidia, including Makinda kwa kutuhadaa na kuahirisha bunge akisubiria zuio la mahakama ili atimize mission iliyopangwa week end ya Ndungai kwenda ufaransa na yeye kuja kuhakikisha report haijadiliiwi bungeni.
Tunawafahamu wote hata kina Mnyele na wezie waliokwenda kufungua shauri mahakamani, watalipa gharama.
Leteni report hapa mara moja.