Hashimoodz
Senior Member
- Feb 26, 2017
- 112
- 112
- Thread starter
- #21
Unalalamikia rushwa tu mbona hulalamikii wale wadada wanaowachuna pindi mkirudi na mihela toka mlimani?
Mwenye nacho huongezewa ujue
Nitawasemea kwa idara ya Huduma kwa jamii
Unalalamikia rushwa tu mbona hulalamikii wale wadada wanaowachuna pindi mkirudi na mihela toka mlimani?
Mwenye nacho huongezewa ujue
Mkuu sio campuni zote GUIDE wanaitaji kamlungula[jembe kwa porters] nimefanya kazi ya utalii kwa miaka kama mitano, kinachotokea baadhi ya guide wanaumimi sana,sana wamarangu samahani lakini,wanapendelea sana wamarangu wezao kuwaweka mbele mbele kwenye vitengo mfano mesi,waiters au tenet crow ni vitengo ambavyo tip yao nikubwa kidogo tofauti na porter hapo ndo jembe linausika. kampuni nilizo fanya kama nature advantere, Good earth tours,kili worries, duma safari hii kitu ya jembe haipo kabisa, porters wako katika ratiba, na portes wanajulikana na wamesajiliwa kwenye chama cha porters. hizi campuni za uchochoroni lazima kamlungula iwepo. ila kuna kitu inaitwa KIRUNJIJamani nipo hapa moshi kwa Shughuki zangu.
jumapili ya Leo nikaMua nijichanganye kidogo KITAA nipate moja mbili na vijana wa hapa.
Nikiwa kijiweni ndio nikapata habari za JEMBE
IPO HIVI
VijAna wengi mjini hapa wamejikita kwenye sekta ya utalii.
Na wengi ni ma Porter
Potters
Hili ni kundi kubwa LA vijana ambo Shughuki zao ni kubeba mizigo ya wazungu pindi wapandapo mlima
Wanafanya kazi ngumu sana hawa.
Tour Guards
Hawa ndio wakuu wa msafara ambayo Wameajiriwa na kampuni ya utalii
Wanakula kwa kalamu
Kinachofanyika
Pindi kampuni inapotangaza deal LA kupandA mlima Porters huenda kujisajili
Sasa ili tour guard akuchAgue upande mlima sharti uwe na JEMBE
JEMBE
Jembe ni kiasi cha fedha tsh 10,000 - 30,000
Yaani RUSHWA
Hi kitu unaambiwa ni lazima,LA sivyo hhupandi mlima kweli.
Na pesa hizi Anaepewa ni huyo guard
TAKUKURU Inakuwaje mpaka rushwa inahalalishwa na nyie mpo?
Umeona eh! Ilibaki kidogo niombe picha...Nilijua jembe la kuchimbia dawa.
Mi nlidhani unazungumzia jembe la mpini...kumbe jembe jembeJamani nipo hapa moshi kwa Shughuki zangu.
jumapili ya Leo nikaMua nijichanganye kidogo KITAA nipate moja mbili na vijana wa hapa.
Nikiwa kijiweni ndio nikapata habari za JEMBE
IPO HIVI
VijAna wengi mjini hapa wamejikita kwenye sekta ya utalii.
Na wengi ni ma Porter
Potters
Hili ni kundi kubwa LA vijana ambo Shughuki zao ni kubeba mizigo ya wazungu pindi wapandapo mlima
Wanafanya kazi ngumu sana hawa.
Tour Guards
Hawa ndio wakuu wa msafara ambayo Wameajiriwa na kampuni ya utalii
Wanakula kwa kalamu
Kinachofanyika
Pindi kampuni inapotangaza deal LA kupandA mlima Porters huenda kujisajili
Sasa ili tour guard akuchAgue upande mlima sharti uwe na JEMBE
JEMBE
Jembe ni kiasi cha fedha tsh 10,000 - 30,000
Yaani RUSHWA
Hi kitu unaambiwa ni lazima,LA sivyo hhupandi mlima kweli.
Na pesa hizi Anaepewa ni huyo guard
TAKUKURU Inakuwaje mpaka rushwa inahalalishwa na nyie mpo?
