Bila jembe hupandi mlima Kilimanjaro

Bila jembe hupandi mlima Kilimanjaro

Jamani nipo hapa moshi kwa Shughuki zangu.
jumapili ya Leo nikaMua nijichanganye kidogo KITAA nipate moja mbili na vijana wa hapa.

Nikiwa kijiweni ndio nikapata habari za JEMBE

IPO HIVI
VijAna wengi mjini hapa wamejikita kwenye sekta ya utalii.

Na wengi ni ma Porter

Potters
Hili ni kundi kubwa LA vijana ambo Shughuki zao ni kubeba mizigo ya wazungu pindi wapandapo mlima

Wanafanya kazi ngumu sana hawa.

Tour Guards
Hawa ndio wakuu wa msafara ambayo Wameajiriwa na kampuni ya utalii

Wanakula kwa kalamu

Kinachofanyika
Pindi kampuni inapotangaza deal LA kupandA mlima Porters huenda kujisajili

Sasa ili tour guard akuchAgue upande mlima sharti uwe na JEMBE

JEMBE
Jembe ni kiasi cha fedha tsh 10,000 - 30,000
Yaani RUSHWA
Hi kitu unaambiwa ni lazima,LA sivyo hhupandi mlima kweli.

Na pesa hizi Anaepewa ni huyo guard

TAKUKURU Inakuwaje mpaka rushwa inahalalishwa na nyie mpo?
Mkuu sio campuni zote GUIDE wanaitaji kamlungula[jembe kwa porters] nimefanya kazi ya utalii kwa miaka kama mitano, kinachotokea baadhi ya guide wanaumimi sana,sana wamarangu samahani lakini,wanapendelea sana wamarangu wezao kuwaweka mbele mbele kwenye vitengo mfano mesi,waiters au tenet crow ni vitengo ambavyo tip yao nikubwa kidogo tofauti na porter hapo ndo jembe linausika. kampuni nilizo fanya kama nature advantere, Good earth tours,kili worries, duma safari hii kitu ya jembe haipo kabisa, porters wako katika ratiba, na portes wanajulikana na wamesajiliwa kwenye chama cha porters. hizi campuni za uchochoroni lazima kamlungula iwepo. ila kuna kitu inaitwa KIRUNJI
 
Jamani nipo hapa moshi kwa Shughuki zangu.
jumapili ya Leo nikaMua nijichanganye kidogo KITAA nipate moja mbili na vijana wa hapa.

Nikiwa kijiweni ndio nikapata habari za JEMBE

IPO HIVI
VijAna wengi mjini hapa wamejikita kwenye sekta ya utalii.

Na wengi ni ma Porter

Potters
Hili ni kundi kubwa LA vijana ambo Shughuki zao ni kubeba mizigo ya wazungu pindi wapandapo mlima

Wanafanya kazi ngumu sana hawa.

Tour Guards
Hawa ndio wakuu wa msafara ambayo Wameajiriwa na kampuni ya utalii

Wanakula kwa kalamu

Kinachofanyika
Pindi kampuni inapotangaza deal LA kupandA mlima Porters huenda kujisajili

Sasa ili tour guard akuchAgue upande mlima sharti uwe na JEMBE

JEMBE
Jembe ni kiasi cha fedha tsh 10,000 - 30,000
Yaani RUSHWA
Hi kitu unaambiwa ni lazima,LA sivyo hhupandi mlima kweli.

Na pesa hizi Anaepewa ni huyo guard

TAKUKURU Inakuwaje mpaka rushwa inahalalishwa na nyie mpo?
Mi nlidhani unazungumzia jembe la mpini...kumbe jembe jembe
 
Back
Top Bottom