Bila gari ndoa haifungwi

Bila gari ndoa haifungwi

angekua kwenye ndoa ningesema ''ndoa ndoano''...sasa bado uchumba ndio haya...hakika ''uchumba uchumbano''
 
Kashikiwa bunduki?
huyo rafiki ako ni boya, amwambie basi hana uwezo aone binti atakavohaha hapo
nanyie wanaume wa siku hizi sijui mkoje ndo maana mnapelekeshwa

Wengi wanaume suruali kichwani sifuri
 
Kuna siku atamwambia akagegedwe nje ila wapate watakayo!!!!!!
 
Natamani nipate mwanamke wa hvyo, nadhani angeolewa bila gari na angefyata mdomo wake
 
sasa nimegundua common sense is not always common...!
 
inapendwa pochi tu,gari ikiungua kama hajakata bima inayoeleweka ndoa itaota mbawa,kifupi ajiandae kuwa mtumwa ndani ya himaya yake mwenyewe.
 
ni kweli huo jamaa anashiikiwa akili..............gari ndo mpango........................hahahahahahaaaaah
 
Huyo ni mfano wa mwanaume kuna pocbility cku akambiwa amsindikize mkewe guest ana kikao na watu wake

nampa middle finger friend ako au kama ni wew poa tu
 
Arusi ikimalizika haaaooo kwenye nyumba za kupanga. Safi sana ....
 
eve hawa watu bila kuwa bandidu mambo hayaendi bana, so big up mdada kaza buti tena akinunua mwambie bila kujenga nyumba mtoto hazaliwi.

ahaaa ukinipa condition kama hii katika ndoa, utajikomoa mwenyewe sijengi mpaka ufikishe 40, tuone nani ataingia menopause
 
eve hawa watu bila kuwa bandidu mambo hayaendi bana, so big up mdada kaza buti tena akinunua mwambie bila kujenga nyumba mtoto hazaliwi.

Ingekuwa hivyo ndoa zisingefungwa na watoto wasingezaliwa,tulikuja watupu na tutaondoka watupu,mali ni matokeo kuna jamii nyingi na familia hazina mali(magari ,majumba ) na maisha yanaenda tena vizuri kwa amani
 
Kweli wanawake wanajua kushikilia akili za wanaume mshkaji wangu an girlfrind wake wa miaka miwili kaambiwa ukweli na mchumba wake bila kununua gari a kutembelea ndoa hakua harusi kikao cha pili. mshkaji anahaha kukichangisha hadi m9 ifike. wadada mbona mnatuanyia hivo lakini?
Huyo mshikaji wako bongolala kweli, kusema ukweli nimekutana na maf.ala huyu ni f.ala wa kwanza kusikia,huyo mwanamke anaetaka kumuoa yeye anakuja na nini mpaka jamaa apite kwenye milima na mabonde akope gari?Kwa taarifa yako ataishi kwa taabu maisha yake yote kama anaanza kukubali request za kijinga kijinga za mke mtarajiwa.Vikao kitu gani bwana, amumwage tu mjinga huyo
 
Back
Top Bottom