Kidumu Chama Cha Mapinduzi. Nambari 1 kitaendelea kuwa Nambari 1 milele.
Thanks M-mbabe,mimi ni mnazi tu wa CCM katokana na historia yangu. Sipendezwi na mengi ndani ya CCM lakini zamani falsafa ya chama ni moto wa kuotea mbali.rafiki yangu masopakyindi...
going forward, washauri ccm wenzio kuwa si vibaya wakiendelea kutumia majina dizaini ya id yako, lakini wakipata uongozi wakome ku-practise hicho id yako inachokisema!
Kidumu Chama Cha Mapinduzi. Nambari 1 kitaendelea kuwa Nambari 1 milele.
Maumivu ya kichwa uanza pole pole. Jipeni matumaini na mtajutia kuanzisha shule za kata, ndizo zinaongeza wafuasi wa CDM
Ndugu yangu, kinacho nipa moyo ni ushindi wa Chadema umeweza kusema maneno mengi ya kukionya chama cha mapinduzi, ukilinganisha na kupuuzwa kwa ushauri uliokuwa unatolewa na wananchama wake kuwa CCM inakoelekea siko.Kwanini ujipe matumaini wakati hali unaoina
Ndugu yangu, kinacho nipa moyo ni ushindi wa Chadema umeweza kusema maneno mengi ya kukionya chama cha mapinduzi, ukilinganisha na kupuuzwa kwa ushauri uliokuwa unatolewa na wananchama wake kuwa CCM inakoelekea siko.
Ni jambo la kiungwana kuishukuru CDM kwa kuifundisha CCM katika yale ambayo imeonywa na imekaidi kusikiliza.
Maana magamba wote wameingia mitini toka washindwe.. Kumepwaya mno kwa kukosa upande wa pili..
Mkuu mimi ni gambaz pyua!!!Mkuu nina uhakika ww u mwenzetu.. Sema umeanzisha hii thread ili ufurahie CCM kupondwa.. Maana magamba wote wameingia mitini toka washindwe.. Kumepwaya mno kwa kukosa upande wa pili..