uuuuwi ndgu zangu kama ndo hivyo nimeshirik kuua kwan tulikuwa wote lkn mbona doctor hakuniambia? Je angekufa?Demu alikua hana bikra na huko kuumwa ni kua dokta alimtoa mimba vibaya...sijuhi unangoja nini yani we haupo hata kwenye backup plan ni just incase kashaharibu huko anakupumzikia wewe. Kimbia sana...
Nilimweleza bado siamin' akadai 'yupo tayari kufa ila sio kunikosa kwani hawez kuishi bila mimi nliyemfundisha mapenzi!
no haiwezekani sina wazimu huo! Naomba uniheshim ndugu.
Naombeni great thinkerz wenzangu tusaidiane jamani, miaka 7 iliyopita nlkutana na bint m1 (tulikuwa sekondar) nlimtongoza! Alinizungusha sana hatimaye alkubali na kuniambia yeye ni bikra hivyo nimvumilie mpaka tuhitim chuo, nlimpenda sana kwan alkuwa mpenda dini,tabia nzuri na kiukwel sikuwah kumpa hata sh,1 zaidi yeye ndo alnisaidia kwan kwao mambo safi.
Tumeitimu chuo mwaka huu ghafla alianza kuumwa sana tumbo akawa hapat cku zake, alikonda sana niliingiwa na hofu kubwa lkn nilienda nae hosp nakupata huduma baadae alipona kabisa nami nikaona nikumbushie ile ishu(ahadi) alisumbua sana baadaye alinipa mzigo lkn nimekuta hana bikira nlipomuuliza alinijib labda doctor ndo alitoa eti aliingiziwa vitu sirini, jaman nimevumilia miaka saba sijapata nilichotaka je kuna umuhim wa kuwa naye?
nikuwa nimeokoka pia.
uuuuwi ndgu zangu kama ndo hivyo nimeshirik kuua kwan tulikuwa wote lkn mbona doctor hakuniambia? Je angekufa?
mmh! Sasa ni mwezi mmoja hataki tuonane mara sijisikii vizuri oooh, nipo bize hata simuelewi!
shivo doctor alidai matatizo ya wanawake tu so sikuwa interested kuchunguza sana kwan nlkuwa nnamwamin saana!Acha uzembe umempeleka hadi hospital alafu hujui anaumwa nini.Unajua kuwa huyu msichana ameshafanikiwa kukubadili hata jina badala GREAT THINKER umeshakuwa GREAT JINGA.samahan kama ntakuwa nimekukosea lakin i like utani ila fanana na GREAT Thinker wa ukweli bhaana.
madam usinilaumu jaman mi nampenda sana yaani sijui nifanyeje! Naomba ushauri.Unazidi tu kudanganywa na wewe unaamini...siku atakapobeba mimba ya jirani yako ndio utatia akili.....halafu kumbe majibu unayo humu unatafuta nini sasa!
inawezekana kweli mana wanapenda kweli kuuingiza vitu huko loh! cjui ndio wanapima nn mana hata mikono yao wanaipendaga kweli kuingiza huko kupim aloh!Naombeni great thinkerz wenzangu tusaidiane jamani, miaka 7 iliyopita nlkutana na bint m1 (tulikuwa sekondar) nlimtongoza! Alinizungusha sana hatimaye alkubali na kuniambia yeye ni bikra hivyo nimvumilie mpaka tuhitim chuo, nlimpenda sana kwan alkuwa mpenda dini,tabia nzuri na kiukwel sikuwah kumpa hata sh,1 zaidi yeye ndo alnisaidia kwan kwao mambo safi.
Tumeitimu chuo mwaka huu ghafla alianza kuumwa sana tumbo akawa hapat cku zake, alikonda sana niliingiwa na hofu kubwa lkn nilienda nae hosp nakupata huduma baadae alipona kabisa nami nikaona nikumbushie ile ishu(ahadi) alisumbua sana baadaye alinipa mzigo lkn nimekuta hana bikira nlipomuuliza alinijib labda doctor ndo alitoa eti aliingiziwa vitu sirini, jaman nimevumilia miaka saba sijapata nilichotaka je kuna umuhim wa kuwa naye?
ndo ivo tena wamenivunjia! Lkn huo si udhalilishaji wa kijinsia?inawezekana kweli mana wanapenda kweli kuuingiza vitu huko loh! cjui ndio wanapima nn mana hata mikono yao wanaipendaga kweli kuingiza huko kupim aloh!
Naombeni great thinkerz wenzangu tusaidiane jamani, miaka 7 iliyopita nlkutana na bint m1 (tulikuwa sekondar) nlimtongoza! Alinizungusha sana hatimaye alkubali na kuniambia yeye ni bikra hivyo nimvumilie mpaka tuhitim chuo, nlimpenda sana kwan alkuwa mpenda dini,tabia nzuri na kiukwel sikuwah kumpa hata sh,1 zaidi yeye ndo alnisaidia kwan kwao mambo safi.
Tumeitimu chuo mwaka huu ghafla alianza kuumwa sana tumbo akawa hapat cku zake, alikonda sana niliingiwa na hofu kubwa lkn nilienda nae hosp nakupata huduma baadae alipona kabisa nami nikaona nikumbushie ile ishu(ahadi) alisumbua sana baadaye alinipa mzigo lkn nimekuta hana bikira nlipomuuliza alinijib labda doctor ndo alitoa eti aliingiziwa vitu sirini, jaman nimevumilia miaka saba sijapata nilichotaka je kuna umuhim wa kuwa naye?
unamtaka mwanamke bikra kwani we unayo...? Ulishachakachuliwa nae amechakachuliwa.....miaka 7 then unataka kummwaga? Hapa ndipo naanzaga kuwachukia wanaume!