Bikra is Overrated

Status
Not open for further replies.
It depends na dating pool yako. It's not likely ukute over 23 bikra yuko mtaani kama hasomi au hayuko mazingira ya kumpa uhuru mdogo.

Hata hivyo kuna mambo mengi duniani huwezi kuyamaliza. Bikra sio mafanikio.
Ila nimeaanza kuamini kuwa mabikra wengi sasa hivi ni watoto wa kishua (geti kali) ambao wako mijini, vijijini ambako watu wengi hudhani Kuna mabikra ndiko bikra hutolewa mapema sana Kwa watoto wa kike.
 
Mimi nishawahi kuoa na nilikuta mkewangu used na watu walionisumbua kwenye ile ndoa ni washkaji wawili waliomla aisee....kuna jambo nilimtega ndipo akafunguka kumbe yule mwanamke simfanyi vizuri akanilaumu...na Kuna siku nilifuma meseji na huyo X wake sasa Kuna moja anamuuliza vipi mumeo anakuwezea mkewangu akajibu ""mmmmh yaani mwenzangu wewe acha tu""....wakaendelea kuchart huku mshkaji anamchimba mkewangu kuhusu udhaifu wangu na mkewangu akawa anakwepa kufunguka ila baadae alfunguka tu mwenyewe....hapo ndipo nilijua kumbe huyo ndio kamtoa bikra na ndie alimfundisha kunyonya mboo... kiukweli inauma mno kumuoa mwanamke anaejua kila kitu tafsiri yake usipokuwa kama waliemla kabla yako aisee kazi unayo...kiufupi ndoa yangu ilivunjika kwasababu ya kufulia kiuchumi na mke nae akawa pasua kichwa
 
Ni lazima kama wanaume tu-set standards. Kama wao hawawezi date au kuolewa na broke men.

Kwa nini walazimishe bikra sio big deal. Binafsi siwezi lipia mahari mwanamke ambaye sio bikra, na chuchu imesimama.

Tukiwachekea watatulazimisha tubebe hadi wasio na bikra zote mbili ati wamesha-explore the world. Hell no

Natafuta Ajira . Weka neno lako mkuu
 
Ukweli kabisa, huwa hawasemi. Hata mimi nilikutana na mmoja zaidi alisema anaumia tu, ila hawa sasa ambao hawana mmh kwa kujiongezea points ni balaa.🙌
 
Huyu Amina lazima aache malapa nyuma kwa hiki alichoanzisha hapa.
 
Fafanua mkuu kwa faida zaidi maana kuna binti nina mipango nae na yupo Bikra
 
Mbona bikra zipo kibao tu mjini hapa! Tena OG siyo hizo za kubumba!
 
Kwani,kwa wastani mwanaume anatakiwa apate bikra ngapi maishani?
 
Upo sahihi, nilimkuta binti ana mika 26 na kamaliza Masters na nikaitoa Bikra yake. Ila huyo binti alinicheat na kuzaa na jamaa ambaye piaalikuwa mume wa mtu. Hoja ya Anita Makirita ni kuwa binadamu siyo static, yupo dynamic. Siyo kuwa ukimkuta mwanamke bikra, basi maisha yake yote atakuwa na wewe tu. Mwanamke bikra ni hatari kwa vile ataanza kutaka kuonja dick tofauti tokana na vijiwe vyao. Wengi wanaharibiwa na vijiwe. Ndo maana anajenga hoja kuwa Bikra ipo overrated bure.

Nami naingia na theory yangu kuwa mwanamke bora wa kuoa ni yule ambaye alishazionja akazikinai sasa anataka kujenga familia. Huyo mwanamke lazima awe na zaidi ya miaka 30.
 
Sema ni bahati ila zipo. Mie kwa wastani nadhani kama 6 hivi. Ila kuoa nilioa asiye na bikra maana binti bikra katika mahusiano ni mtihani ajabu. Lazima uwe mvumilivu
 

Unaona hata wewe unawafanyia wanawake wenzako ukatili kwa Kuwaiti mangurumbembe kwa kukosa Bikira. Unathibitisha kuwa thamani ya bikira kwa namna nyingine.

Ninachoweza kuungana na wewe ni kuwa.
Mwanamke anaweza kuwa bikira lakini asiwe bora.
Ni kama simu mpya ya Tekno au infinix haiwezi kufanana ubora na simu used ya IPhone 14 au 17
 
Wanaume wana mambo mengi kichwani,kuwaletea mada hii ni kuwachokoza mpenzi

Japo kuoa bikra ni muhimu sana,binti asipokengeuka na vijana wa mjini anakuwa hajui kitu kuhusu sex nje ya mumewe hivyo kumweshimu mume inakuwa ni 99%
Upo sahihi kabsaa mkuu
Hakika hujakosea
 
Hawataki wanaume tuwe na standard. Wanaume tuingie kwenye mahisiano na traditional sacrifices kama mahari, lifetime provision, protection, stability n.k lakini kupata traditional benefits zinazokuja na hizo sacrifices kama purity, virginity, loyalty iwe hiyali yao
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…