Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,139
- 39,909
Mkuu unatakiwa kujua kwamba mtaani mtu hawezi kuwa huru kama mtandaoni. Sio rahisi mtu kusisitiza suala la bikira mbele ya watu maana hapo utawaprovoke wanawake ambao sio bikira na wanaume ambao washaoa wanawake ambao waliwakuta washatumika.Kwa watu ambao naongea nao mtaani sijawahi kusikia wakiwa desperate kupata bikra kama watu wa humu,i mean humu ndio kila ukiamka bikra this bikra that..
Kwa sababu watumiaji wa humu 90% ni nerds, nafikiri kwamba ni aina ya wanaume ambao wakati wa kukua kwao hawakua around girls,kama huja bang hizo bikras ukiwa shule,sahau ukiwa 30s,unless utafute minors ufungwe..
If you know women and how to deal with them(and to play their games),hawasumbui na hawajahi kusumbua,,ilitakiwa wanawake ndio wajaze threads za kulia lia...But humu ndio mahala pekee wanaume wanahangaishwa na wanawake kutwa nzima,why??..in a serious note,mwanamke 25 anakuaje na bikra mji huu??lol
some of y'all doesn’t have that kind of pull..
Should I feel offended..?!
Nilitegemea wanaume wasio na hoja kuniattack sio kujibu hoja zangu..
Pathetic!
Unaweza ukawa sahii but watu ambao naongea nao hawana tatizo hilo sababu wapo exposed na tabia mbaya tangu wadogo,kufikiri kua bikra hatosumbua naona kama insecurity ya wanaume ambao hawawezi ku deal na wanawake so kwao ambao sio bikra means malaya or exes watapiga,Mkuu unatakiwa kujua kwamba mtaani mtu hawezi kuwa huru kama mtandaoni. Sio rahisi mtu kusisitiza suala la bikira mbele ya watu maana hapo utawaprovoke wanawake ambao sio bikira na wanaume ambao washaoa wanawake ambao waliwakuta washatumika.
Kama unavyojua waafrika hatuna calmness tukiwa provoked kwaiyo ukija na madai hayo mbele za watu usishangae mkaishia kurushiana ngumi. Kwa mantiki hiyo usishangae sana kukutana zaidi na madai hayo mtandaoni maana huku watu wanaweza kufunguka kwa uwazi.
Tunaothamini bikira bado tupo wengi sana. Mimi nilishajiwekea kiapo sitakuja kuoa mwanamke ambaye tayari kashatumika. Mke wangu niikutana nae akiwa bikira, watoto wangu wa kiume nitawasisitiza umuhimu wa kuoa bikira, vilevile binti yangu nitamsisitiza umuhimu wa kujitunza mpaka atakapoolewa.
Ukimaliza kakojoe ukalale...Mama yako hana ya mkund kummnina wewe
Tena mnapigwa anal mtungo ndio maana akili hauna manina
Umetumia kipimo gani kusema nalalamika sana?Ilitolewa ukiwa na miaka 9?
Mbona unalalamika Sana?
Rusha ngumi basi?!Mkuu unatakiwa kujua kwamba mtaani mtu hawezi kuwa huru kama mtandaoni. Sio rahisi mtu kusisitiza suala la bikira mbele ya watu maana hapo utawaprovoke wanawake ambao sio bikira na wanaume ambao washaoa wanawake ambao waliwakuta washatumika.
Kama unavyojua waafrika hatuna calmness tukiwa provoked kwaiyo ukija na madai hayo mbele za watu usishangae mkaishia kurushiana ngumi. Kwa mantiki hiyo usishangae sana kukutana zaidi na madai hayo mtandaoni maana huku watu wanaweza kufunguka kwa uwazi.
Tunaothamini bikira bado tupo wengi sana. Mimi nilishajiwekea kiapo sitakuja kuoa mwanamke ambaye tayari kashatumika. Mke wangu niikutana nae akiwa bikira, watoto wangu wa kiume nitawasisitiza umuhimu wa kuoa bikira, vilevile binti yangu nitamsisitiza umuhimu wa kujitunza mpaka atakapoolewa.
Is this all..?!Baada ya kudanganywa mia miambili,ukaachia nyuchi ikawekwa gogo,isitoshe sijui ndio umeahakuwa singomaza,
Unawaonea wivu wenye BIKRA na VYUMA VIDOGO….wewe endelea kuchapika tu hadi itoe majasho meupe….
Bado natafuta bikra😎.
Hahaaaaaa eti LC300.Hii yote ni kwa sababu hauna bikira.
Unawawekea ngumu wadada walioamua kujisitili.
Mbona nyie mna penda vidume wenye crown na LC300 hata kama ni mme wa mtu, kuna mtu anawawakia msipate vile mvitamanivyo?
Waache mabinti za watu, sisi kwetu bikira ndio hizo crown na LC300 nyie mnavyo mnazo babaika nazo.
Nenda milembe. Ukishapewa huduma nipe lipa nambaRusha ngumi basi?!
Tena hii mada inakuhusu!
Umeenda kuoa kijijini mwanamke anakutegemea hadi pedi/pampas..
Mpaka umebaki resentful unawaita mkeo na mtoto wako financial vampires .
Eti kwa bikira ya siku moja!
Such a LOOSER!
Hahaaaa..Nenda milembe. Ukishapewa huduma nipe lipa namba
Endelea kusaka mwaya..Usitupangie maisha, wewe Yako kama ulitoa kwa muuza viepe Wacha tuendelee kuisaka kwingine
It depends na dating pool yako. It's not likely ukute over 23 bikra yuko mtaani kama hasomi au hayuko mazingira ya kumpa uhuru mdogo.Huwa unakwenda kwa mnganga yupi katika harakati zako?
Huenda nyota yako haijaibiwa na kwamba wezi wametoroka na yangu.
Wewe utakua tu huna bikira. Hivyo umekuja kututhibitishia.Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...
Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko class tofauti, hamuwezi kuwa level moja mkadiscuss maendeleo...more likely kwanza umemzidi elimu..
Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!
Tatu sio kweli kuwa na bikira ndio mtu atabaki kuwa na uke mdogo(mnato)daima , hayo ni maumbile tu ya mwanamke, wanawake wanatofautiana ..huyo mkeo ambae ulimkuta bikira anaweza kuzaa na uke wake ukabaki mkubwa.(sio wote). Wide notion kuwa ukifanya sex mara nyingi uke unalegea ni myth, ni maumbile tu ya wanawake na tunatofautiana..
Mwisho nilishawahi kuuliza swali humu tangia muanze kuhubiri bikira nani kakutana nayo??? Out of millions of men wanaotumia JF pamoja na wale wanaume wenye fake ID 🤣🤣😆 ni wachache sana walikuwa na guts za kusema wamekutana nazo..majority ni hola, so bikira is overated here in JF...bebeni mangurumbembe yenu maisha yasonge...stop looking for a needle in haystack...
Wasalaam
Anita
Mimi huyoooooooo byeee
Mimi nafikiri ni suala la kukubaliana tu kwa sasa bikira zimekua adimu kwa sababu kama jamii tumefeli kwenye malezi. Lakini kusema bikira sio muhimu, hii haina kweli. Nikiwa na uzoefu wa mahusiano na wanawake wote yaani bikira na used, tofauti yao ni kubwa sana. Halafu mkuu standard sio insecurity.Unaweza ukawa sahii but watu ambao naongea nao hawana tatizo hilo sababu wapo exposed na tabia mbaya tangu wadogo,kufikiri kua bikra hatosumbua naona kama insecurity ya wanaume ambao hawawezi ku deal na wanawake so kwao ambao sio bikra means malaya or exes watapiga,
Tho sio mbaya kua na chaguo kama umeoa bikra hongera..kwa dunia ya sasa kupata mwanamke 28+ possibility yake ni tofauti na uhalisia(your wish)
Gustavo fring alisema "If you have a problem, that means it can be solved. If it can’t be solved, then it’s not a problem it’s a reality to be accepted"
Just Know women. Learn their game. Be good at it,Hawasumbui
Halafu nikishakithibitishia wewe unapata nini au mimi napata nini?Wewe utakua tu huna bikira. Hivyo umekuja kututhibitishia.
Tutajua kama ipo au haipo.Halafu nikishakithibitishia wewe unapata nini au mimi napata nini?
Halafu?Tutajua kama ipo au haipo.