hi JF-MMU. hivi binti/mwanamke anaweza akaduu kwa siku ya kwanza(bikiriwa) na asitoe damu?..........nisaidieni maana kna binti mmoja aliniambia ni bikira ila tulivyo duu nae hata sikuona damu.
kutokana na michezo ya utotoni pamoja na kupanda sana baiskeli inawezekana ilitokea huko. Au ni bikra kwa kutokuingiliwa na mwanaume ila kajichua kwa vidole na ma dildo
hi JF-MMU. hivi binti/mwanamke anaweza akaduu kwa siku ya kwanza(bikiriwa) na asitoe damu?..........nisaidieni maana kna binti mmoja aliniambia ni bikira ila tulivyo duu nae hata ckuona damu.
Bikra/bikira kwa mwanamke ni ile hali ya kutowahi kuingiliwa na uume/mwanaume kabisa...lakini kinachotoa damu ni ule utando kama kangozi fulani hivi kitaalamu kinaitwa 'hymen' kinaporaruriwa pale uume unapoingia kwa mara ya kwanza. Hata hivyo, hymen inaweza kuraruriwa kwa sababu nyingine yeyote mfano kidole, toys, kazi fulani zinazohusisha misuli ya ndani sehemu za uke mfano kuendesha baiskeli etc....Hymen ikiraruriwa kwa njia hiyo haimfanyi mwanamke kutokuwa bikra (kwani ubikira sio lazima hymen), na atakapokutana na mwanaume kwa mara ya kwanza si lazima atoke damu (unless kama hymen ilikuwa partially torn).
Kwa hiyo tulia mkuu...umetoa bikra, japo hukuona damu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.