Bikira inanitesa

Kifungo cha miaka 30 na zaidi kinakuita, na ukifika gerezani wenyeji wako watagundua na ww ni bikira, watakugombania kama mpira wa kona.....pole weee..!
 
Me hoi
Hahaaaa! Ndo maana hudumu coz wewe daily ni mwalimu tu. Jaribu kupiga mechi za kiutu uzima, unapotezwa mwanzo mpaka mwisho!!! Tena umkute mzaramo, mambo juu kwa juu tu, unalambwa mpaka T---- (chezea watoto wa uswaziii waliochezwa unyago miezi 2), hutokaa upende viwanafunzi. Unaweza kujikuta unapiga miyoweeee kwa kuchanganyikiwa na utamu!!! Kila unaloambiwa TAWIREEEEE! Hahaaaaa! Ngoja niishie hapo kabla sijawapandisha watu NYE--- mida ya kazi.
 
Habari zenu wana jf
tangu nianze mauhusiano nimetokea sana kupenda wanawake bikira na nikigundua wewe sio bikira ata ungekuwa mzuri vipi huwa sishughuriki na wewe kwan naamini wew sio wangu ipo cku mwenyewe atarudi , na mpaka sasa nimeshatoa bikira zaidi ya 6 mbaya zaidi katika kuipata hiyo bikira natumia muda mrefu mno kukufatilia huwa inachukua ata zaidi ya mwaka mmoja kwa kutumia njia zote za kurubuni,vishawishi sambamba na kutumia pesa cha kushangaza nikishakupata tu naanza vituko vituko mno mpaka inafikia mwanamke anachoka kuvumilia ananiacha mwenyewe bila kupenda na kwa maumivu kibao na machozi yasiyoisha nami huwa sirudi nyuma naanza kutafuta bikra nyingine siku zinasonga laki sasa najiuliza hii hali mpaka lini naombeni maoni/ushauri/mchango jamani…..plzzzzzz

Lately, I have been ignoring the question as to whether JF is still what it used to be: the home of great thinkers. People like you keep giving me reasons to do the contrary.

...."nikigundua wewe sio bikira ata ungekuwa mzuri vipi huwa sishughuriki na wewe kwan naamini wew sio wangu ipo cku mwenyewe atarudi , na mpaka sasa nimeshatoa bikira zaidi ya 6"....

Hao angalau 6 mwenyewe nani?Its time you quit using the small head for your thinking if at all you ever think.
 
Kaka kwa uwiano wa 85% kwa 15%.. bikra shule za secondary ni za kutafuta kwa tochi.. Shaka yangu anaenda kwa wanafunzi wa primary.. Kuanzia darasa la 5 kushuka chini..

Daah kweli Aisee huu ni UbAkaji wa huyu bwana
 
Kwani bikra inaonekana machoni, km vp jitengenezee bikra ili udumu nayo ucpate shida kutafuta
 
Nasikitika mpaka sasa umesha-haribu ndoa sita. Tuna ndoa nyingi sana ambazo sio geniune kwa Mungu.
Kila bikra ikitolewa Mungu huhesabu kama agano la ndoa(ogopeni sana makubariano yanayo husisha damu). Ndio maana inasemwa "wakwanza kufanya nae ndio mke/mume wako".
Hii ndio maana hata wewe ukikuta mwanamke sio bikra automaticaly unajua sio wakwako.
Kuvunja bikra huleta nguvu ya ajabu sana ya kupenda hasa kwa mwanamke na Ndio maana ni rahisi kufanya mapenzi na mwanamke uliye-mtoa bikra hata kama yuko kwenye ndoa ya miaka mingi tuu.
Itabidi uache hiyo tabia haraka sana na uombe kusamehewa na Mungu na akusaidie uache hiyo tabia.

Asante sana.
 
utakuja kuzaa na wewe wala hutachukua muda kujua inavoumiza kusoma upuuzi kama huu!
 
Ningekuwa na malaka ningekulaani kabisa. Unajisifia kwa kutenda madhambi wakati webgine wanayajutia. Ebooooooooooo!!!!!!! Hujui kama hayo ni makosa. Huwa uanfanya makusudi. Umelewa. Jirekebishe vinginevyo majuto ni mjukuu.
 
huenda anataka misifa aonekana mkalii, hana uwezo wa kutembe na mabikra wote hao, na isitoshe yaonekana hajawai kupata bikra ataendelea kuzipata kwa mawazo tu, :frusty:anafikiri bikra jambo la kawaidaa.. ajiangalie vizuri
utakuja kuzaa na wewe wala hutachukua muda kujua inavoumiza kusoma upuuzi kama huu!
 
Nashukuru sana wana jf kwa michango na mawazo yenu mazuri naomba mnisamehe sana tafadhari maneno yenu ni makali mpaka yananiumiza moyo na kujutia niliyofanya ,nimeshachukua atua za kujirekebisha pamoja na kumrudia mungu wangu na kutubu yote niliyotenda ili anisamehe, pia naomba radhi kwa wote niliowatendea mabaya haya kwani ata mimi inaniuma sana.mbarikiwe sana amen
 
angalia hii tabia imesha kuingia kwenye damu miaka ijayo utaanza kuwatongoza bint zako kisa unataka kuwatoa bikra zamb hii itakuja kukutafuna take care.
chakufanya oa vivile unaitaji sala ya toba
 
umaarufu wa kijinga,bikra zenyewe usikute za kuwekewa ndimu na vilio vya kuigiza ukiona damu
unajua umeshinda kumbe mtoto yuko MP lol!!!kazi ipo
 
Kaka yangu naona una pepo la ngono. Inatakiwa umrudie Mungu na ufanyiwe maombi. FAHAMU KWAMBA MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI. Acha uzinzi UTAKUFA!!!
 
Wewe dawa yako iko jikoni namuona israeli anakwita kwa kasi, naona kama kuishi umechoka. si kila mdada unaweza mchezea na kumuacha siku ipo nayo ime karibia utalia misili ya mtoto.
 
Habari zenu wana jf
tangu nianze mauhusiano nimetokea sana kupenda wanawake bikira na nikigundua wewe sio bikira ata ungekuwa mzuri vipi huwa sishughuriki na wewe kwan naamini wew sio wangu ipo cku mwenyewe atarudi , na mpaka sasa nimeshatoa bikira zaidi ya 6 mbaya zaidi katika kuipata hiyo bikira natumia muda mrefu mno kukufatilia huwa inachukua ata zaidi ya mwaka mmoja kwa kutumia njia zote za kurubuni,vishawishi sambamba na kutumia pesa cha kushangaza nikishakupata tu naanza vituko vituko mno mpaka inafikia mwanamke anachoka kuvumilia ananiacha mwenyewe bila kupenda na kwa maumivu kibao na machozi yasiyoisha nami huwa sirudi nyuma naanza kutafuta bikra nyingine siku zinasonga laki sasa najiuliza hii hali mpaka lini naombeni maoni/ushauri/mchango jamani…..plzzzzzz

You must be crazy. Na hilo pepo la kuharibu watoto wa wenzako litakutesa for the rest of your life. Stop.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom