Bikira inanitesa

KICHUMVI

Senior Member
Aug 12, 2012
113
14
Habari zenu wana jf
tangu nianze mauhusiano nimetokea sana kupenda wanawake bikira na nikigundua wewe sio bikira ata ungekuwa mzuri vipi huwa sishughuriki na wewe kwan naamini wew sio wangu ipo cku mwenyewe atarudi , na mpaka sasa nimeshatoa bikira zaidi ya 6 mbaya zaidi katika kuipata hiyo bikira natumia muda mrefu mno kukufatilia huwa inachukua ata zaidi ya mwaka mmoja kwa kutumia njia zote za kurubuni,vishawishi sambamba na kutumia pesa cha kushangaza nikishakupata tu naanza vituko vituko mno mpaka inafikia mwanamke anachoka kuvumilia ananiacha mwenyewe bila kupenda na kwa maumivu kibao na machozi yasiyoisha nami huwa sirudi nyuma naanza kutafuta bikra nyingine siku zinasonga laki sasa najiuliza hii hali mpaka lini naombeni maoni/ushauri/mchango jamani…..plzzzzzz
 
Nasikitika mpaka sasa umesha-haribu ndoa sita. Tuna ndoa nyingi sana ambazo sio geniune kwa Mungu.
Kila bikra ikitolewa Mungu huhesabu kama agano la ndoa(ogopeni sana makubariano yanayo husisha damu). Ndio maana inasemwa "wakwanza kufanya nae ndio mke/mume wako".
Hii ndio maana hata wewe ukikuta mwanamke sio bikra automaticaly unajua sio wakwako.
Kuvunja bikra huleta nguvu ya ajabu sana ya kupenda hasa kwa mwanamke na Ndio maana ni rahisi kufanya mapenzi na mwanamke uliye-mtoa bikra hata kama yuko kwenye ndoa ya miaka mingi tuu.
Itabidi uache hiyo tabia haraka sana na uombe kusamehewa na Mungu na akusaidie uache hiyo tabia.
 
asanteni jaman nimejaribu kuacha lakini najikuta narudia na ndiyo maana nimelileta hapa jamvni kwa mfano kwa sasa nina mtoto mmoja mzuri wa kichaga anaingia mwaka wa kwanza niliangaika nae tangu yupo form 4 lakini nikafanikiwa alivyomaliza shule tu lakini na yeye anaelekea kushindwa kunivumilia leo ameniambia amechoka na vituko vyangu jamani narudia tena nifanye nnnnnnnn?
 
Hahaaaa! Ndo maana hudumu coz wewe daily ni mwalimu tu. Jaribu kupiga mechi za kiutu uzima, unapotezwa mwanzo mpaka mwisho!!! Tena umkute mzaramo, mambo juu kwa juu tu, unalambwa mpaka T---- (chezea watoto wa uswaziii waliochezwa unyago miezi 2), hutokaa upende viwanafunzi. Unaweza kujikuta unapiga miyoweeee kwa kuchanganyikiwa na utamu!!! Kila unaloambiwa TAWIREEEEE! Hahaaaaa! Ngoja niishie hapo kabla sijawapandisha watu NYE--- mida ya kazi.
 
Habari zenu wana jf
tangu nianze mauhusiano nimetokea sana kupenda wanawake bikira na nikigundua wewe sio bikira ata ungekuwa mzuri vipi huwa sishughuriki na wewe kwan naamini wew sio wangu ipo cku mwenyewe atarudi , na mpaka sasa nimeshatoa bikira zaidi ya 6 mbaya zaidi katika kuipata hiyo bikira natumia muda mrefu mno kukufatilia huwa inachukua ata zaidi ya mwaka mmoja kwa kutumia njia zote za kurubuni,vishawishi sambamba na kutumia pesa cha kushangaza nikishakupata tu naanza vituko vituko mno mpaka inafikia mwanamke anachoka kuvumilia ananiacha mwenyewe bila kupenda na kwa maumivu kibao na machozi yasiyoisha nami huwa sirudi nyuma naanza kutafuta bikra nyingine siku zinasonga laki sasa najiuliza hii hali mpaka lini naombeni maoni/ushauri/mchango jamani…..plzzzzzz

Wasio na bikira unawaogopa kama red inavyoonyesha hapo juu, sawa kabisa. Je wale unaowatoa bikira unawaacha ili nani awachukue hali unajua wanaume wenzako watawaogopa kama wewe? Unachofanya sio uzinifu wala ukahaba bali ni uasherati, ACHA MARA MOJA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom