Big up to Airtel

Big up to Airtel

Aurora

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2014
Posts
7,308
Reaction score
5,275
Tangazo lao la NATIMIZA liko so realistic sichoki kuliangalia coz kuna matangazo mengine likitokea tu unatamani kubadili channel.....
 
Matapeli tu hao. Walituliza free gears wakati wa manunuzi ya Samsung Galaxy S5 mwaka jana...
 
Wahuni hawa wanatuambia "whatsapp na fb bure" baada ya kujiunga na vifurushi as if sote tumetoka matombo leo - kwanini isiwe bure kabla ya kujiunga au kuongeza salio
 
MaTaPeliWamAmBoLeO hao juzinimemnunulia mamaMKwE yangu simuyakutumia kule kijijiniwakanichezea kadroo kao nkapata ushindiwa punguzo la asilimia nyingi za mudawa maongezi mpaka leo mama mkwe kule kijini anasEmA hAjapaTa ilo punguzo.
 
Haliko realistic, wame exaggirate sana kimkopo cha elf 30 huwezi kuganya mambo makubwa kiasi hicho

Nahisi kiwango cha kukopa kinategemea na matumizi yako kwenye hiyo line na uaminifu wa kurudisha mkopo,unaweza kukopeshwa zaidi ya hapo
 
Wahuni hawa wanatuambia "whatsapp na fb bure" baada ya kujiunga na vifurushi as if sote tumetoka matombo leo - kwanini isiwe bure kabla ya kujiunga au kuongeza salio

Kwi kwi kwi ...........pole
 
MaTaPeliWamAmBoLeO hao juzinimemnunulia mamaMKwE yangu simuyakutumia kule kijijiniwakanichezea kadroo kao nkapata ushindiwa punguzo la asilimia nyingi za mudawa maongezi mpaka leo mama mkwe kule kijini anasEmA hAjapaTa ilo punguzo.

Haya ni madhara ya shule za Kata..! Uandishi gani huu?
 
mwandiko ngumu kumesa. muulize vzr mkweo manake inawezekana alielewa kuwa ni punguzo la sembe dukani
 
Wezi tu!Wananikata salio kila siku,nawapigia wananidanganya watashughulikia tatizo tangu Aug mpaka leo nakula hasara tu!
 
Back
Top Bottom