Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,060
- 22,755
- Mimi simzuii mtu kuwa Mbunge wa Maswa kwa sababu kuwa na mtoto wa kike huzuii mtu kuleta posa, niliishatangaza na ninaomba mtu asijisumbue kuniambia Shibuda kuna watu watano wamekuja wanataka kugombea!!, ni haki yao, ohh ninaomba hela, sina hela, siwapi !
- Tuwashughulikie wanaopitapita kupika majungu, acha wapige majungu sina hela ya kuwapa kwa ajili Shibuda niwe mbunge, sina pesa za kununua kadi za CCM kwa ajili niongeze wanachama wa CCM kunipigia kura za maoni sina!! Nasema sina wala sitatoa hata senti tano !
Big up Shibuda.