t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,143
- 17,026
Tech imebadilika sana mkuu , auto ndo habari ya mjini , auto ipo very efficient kuanzia kutunza engine Hadi brake pads , pia ni comfortable sana maana Zina shift smoothly,Automatic huku kwetu n shida sijui, alikua nazo Dar Lux zimekufa kama kuku mwenye kideri
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro basi zake nyingi ni auto, tahmeed naye anazo pia
Classic ana Man bus full air ride , auto , unasafiri kutoka dar unafika mbeya mwili haujachoka
Dar lux ni mtu ambaye hana taarifa anunue kitu gani, zile auto alizonunua ni tech Kama ya gari ndogo, (torque converter) ni sawa kabisa na automatic za mabasi ya mwendokasi , huwezi kutumia tech ile kwa gari kubwa kwa mwendo mrefu , auto ninazozungumzia ni opticruise (scania) I shift (Volvo) tipmatic(Man) Traxon (Daf)