Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 247
Mchawi wetu katuweza sana na hatuna hamu nae, misemo katupatia na maneno hakuacha kutupa.
Juzi tu tulikuwa na MMEM, MEMKWA, MKURABITA, MKUKUTA n.k. hatujafanya tathimini tukachomekea msemo wa kilimo kwanza hasa baada ya mtoto wa mkulima kuikamata ofisi ya waziri mkubwa iliyoachwa na mzee Lowasa.
Kilimo kwanza nayo hatujafanya majumuisho tumeibuka na ''BIG RESULTS NOW''!!!!!!!!!!!!!!. Sijajua nini maana ya msemo huu na nimekosa mtu wa kunieleza maana kila ninaemuuliza ananiambia nisubiri ikianza ndipo nitafahamu maana yake, sasa nimekuja hapa naomba mniambie... "BIG RESULTS NOW" inaanza lini?
Au nini maana ya ''NOW''..... Big results now ni results zipi? Positive au Negative? Au zote kwa pamoja?
Nategemea big results kwenye ELIMU, uwekezaji nyonyaji, mauaji kabla ya uchaguzi, wizi wa mali ya umma kabla ya kuondoka madarakani, big results kwenye unyanyasaji wa aina yoyote, hiyo now ni kwamba it starts now.
Hivi wewe unategemea positive big results haijalishi kama ni now au later katika uongozi huu wa dhaifu?
Nadhani tuko wengi hatuelewi hili...
Juzi tu tulikuwa na MMEM, MEMKWA, MKURABITA, MKUKUTA n.k. hatujafanya tathimini tukachomekea msemo wa kilimo kwanza hasa baada ya mtoto wa mkulima kuikamata ofisi ya waziri mkubwa iliyoachwa na mzee Lowasa.
Kilimo kwanza nayo hatujafanya majumuisho tumeibuka na ''BIG RESULTS NOW''!!!!!!!!!!!!!!. Sijajua nini maana ya msemo huu na nimekosa mtu wa kunieleza maana kila ninaemuuliza ananiambia nisubiri ikianza ndipo nitafahamu maana yake, sasa nimekuja hapa naomba mniambie... "BIG RESULTS NOW" inaanza lini?
Au nini maana ya ''NOW''..... Big results now ni results zipi? Positive au Negative? Au zote kwa pamoja?
Nategemea big results kwenye ELIMU, uwekezaji nyonyaji, mauaji kabla ya uchaguzi, wizi wa mali ya umma kabla ya kuondoka madarakani, big results kwenye unyanyasaji wa aina yoyote, hiyo now ni kwamba it starts now.
Hivi wewe unategemea positive big results haijalishi kama ni now au later katika uongozi huu wa dhaifu?
Nadhani tuko wengi hatuelewi hili...