Big Nyash Vs Big Brain

Mkuu, kila kitu kina expire date yake.

Na expire date inaweza kuletwa na mambo mengi kama ajali, ugonjwa, mzee baba kifo nk
Akili ni akili tu,na nyash ni nyash tu!Hebu kumbuka ulipokuwa na umri mdogo, halafu vuta picha ya watu waliokuwa na akili na waliokuwa na nyash.Sasa utuambie nani ameponyokwa na rasilimali yake baada ya miaka 35 baadaye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…