Mbogela,
Mbona hii kitu haipatikani.
http://www.kanumba.com/Biography.html
Nimejaribu naona mauza uza tuu
Mbogela,
Mbona hii kitu haipatikani.
http://www.kanumba.com/Biography.html
Nimejaribu naona mauza uza tuu
Nadhani amepitia hapa kaona comment zetu pia nilikuwa nimepost comment kwa michuzi kwa hiyo atakuwa ameipata na wadau wamemhabarisha labda anaikarabati hiyo page.
Na wewe uko fast kweli. Sasa na huku JF ataweza kuondoa hilo ulilotundika hapo? Anyway, naona huku ndo kumjenga and it is good though.
Mwisho nasikia machinga siku hizi kule mji kasoro bahari.Je ni kweli hizi habari.
Lakini Mwisho yeye alikuwa mshindi wa pili katika BBA I na zawadi inatolewa kwa mtu mmoja tu, alipewa vizawadi zawadi alkini hakuwa mshindi wa mil.100 kwa hiyo inawezekana amerudi kwenye maisha yake ya kawaida.