Big Brother Africa 2009: The Revolution

Jamaa kutoka Namibia ni mapacha na Bigie anawabadirisha na washikaji ndani ya nyumba hawajashtuka bado wanabadilishana karibu kila siku.
Can you spot the difference? How long will the twins be able to keep up their act? Watch the video to see how seamless their switches are becoming!

http://www.mnetafrica.com/bigbrother/Article/?ID=100
 
Nadhani amepitia hapa kaona comment zetu pia nilikuwa nimepost comment kwa michuzi kwa hiyo atakuwa ameipata na wadau wamemhabarisha labda anaikarabati hiyo page.

Na wewe uko fast kweli. Sasa na huku JF ataweza kuondoa hilo ulilotundika hapo? Anyway, naona huku ndo kumjenga and it is good though.
 
Hawa jamaa waletewe wadada jamani. Mazingira kweli yanatuathiri huyu kaone (botswana) inaonyesha hajawahi kutoka nje ya Botswana anaongelea Cattle post kama vile Africa nzima tunajua hizo cattle post zikoje,
 
Last edited:
Mwisho nasikia machinga siku hizi kule mji kasoro bahari.Je ni kweli hizi habari.

Lakini Mwisho yeye alikuwa mshindi wa pili katika BBA I na zawadi inatolewa kwa mtu mmoja tu, alipewa vizawadi zawadi alkini hakuwa mshindi wa mil.100 kwa hiyo inawezekana amerudi kwenye maisha yake ya kawaida.
 
Lakini Mwisho yeye alikuwa mshindi wa pili katika BBA I na zawadi inatolewa kwa mtu mmoja tu, alipewa vizawadi zawadi alkini hakuwa mshindi wa mil.100 kwa hiyo inawezekana amerudi kwenye maisha yake ya kawaida.

Yupo tu huko sinza ana ka baa kake hapo mitaa ya Lion
 
Teddy from Kenya has been evicted...

teddy_profile_quote3_lg.jpg


Age: 34
Country: Kenya
Hometown: Mombasa
Occupation: Developer

Biography:

Multi- talented advertising copywriter, voice- over artist and broadcaster Teddy has a BA in International Relations from the United States International University in Nairobi. He says the best thing about Kenyans is their spirit of resilience and rates the Masai Mara as the best place in his country to visit. Pessimists and whiners really irk him, while he says falling in love too quickly is one of his bad habits. Teddy says viewers should watch him because of the unexpected twists he'll bring to the house and because he's always entertaining.
 
Wayoe from Ghana has been evicted too!

wayoe_profile_quote2_lg.jpg


Age: 34
Country: Ghana
Hometown: Accra
Occupation: Web developer

Biography:

A father of 2 girls, LLB student Wayoe lists his greatest achievement in life as making it into the Big Brother house. Wayoe enjoys talk shows and soap operas and lists history books as his favourite type of book. Wayoe is proud of his country because it is the gateway to Africa and says the best thing about Ghanaians is their hospitality. If he wins Big Brother Revolution, he plans to spend the money on his education and profession, his musical talents and for charity.
 
New ladies:

Ikena from Nigeria

Maria Baptista Da Rocha "Emma" - from Angola

Maggie from Zambia
 
Girls will be separated from guys...

But, traditionally guys do watch girls, this' vice versa, girls will be watching guys on a big screen
 
Another lady from Mozambique

Jennifer Mussanhane soooooo cute!

jen_graf_lg.jpg


Age: 22
Country: Mozambique
Hometown: Maputo
Occupation: International Politics Graduate

Biography:

Jennifer loves listening to the music of Enya and Jonathan Butler, and rates City of Angels as one of her favourite movies. She cooks up a storm, listens to music or jogs to relax and really enjoys reading. A romantic at heart, she would love to visit Venice in Italy. Jennifer's worst habit is sticking her used chewing gum under her bed and she is irritated by ignorance, prejudice, jealousy and laziness. :)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom