yeah...........Itai bwana kujifanya smart kutamcost!!!Eddie obviously atamreplace Mzamo wala sio Emma kama alivyopromise!!!!Yaani Itai asali Eddie amuweke Nkenna vinginevyo mambo magumu hapa....i hope only one person is leaving i'd really like to see Emma in the finals.....Nominations za leo:
Edward: Itai & Emma
Emma: Eddie & Mzamo
Itai: Nkenna & Mzamo
Kevin: Mzamo & Edward
Mzamo: Itai & Emma
Nkenna: Emma & Itai
Preliminary Results:
Itai - 3
Emma - 3
Mzamo - 3
Eddie - 2
Nkenna - 1
Kama kawaida, Itai amekiuka makubaliano ya alliance yake. Alliance ya Eddie kama kawaida yao, naona wameendelea kuwa imara na mshikamano wao mpaka dakika ya mwisho. Idea ya kum-nominate Eddie nadhani waliishitukia kwamba ingeweza ku-backfire kwa kuwapandisha Mzamo na Eddie na ikawa kasheshe namna ya kuokoa.
Iwapo Itai angeenda sawa na makubaliano ya alliance yake basi wiki hii tungekuwa na clear 4 housemates up for eviction. Lakini sasa hatujui Bi Mkubwa Sarah (Big Brother) ataamua kutupatia watatu ama wanne?
Kazi kwa Eddie, lakini naona swap iko wazi, wala haina mjadala kwamba Kelvin atapandishwa na Mzamo atashushwa, in case watatu wako up. Ila kama ni 4 hapo ndio sijui, Je, Eddie atajiokoa na kumwacha little sisy wake? Ama atamuokoa little sisy wake na kujiacha mwenyewe kwenye kikaango?
Itai - 3
Emma - 3
Mzamo - 3
Eddie - 2
Nkenna - 1
Eliza katoka? mbona mnaongelea wakina Kelvin utafikiri sisi wanaijeria, what is up? wengine hatufuatilie bana, tunaona miyeyyusho tu
Eliza katoka? mbona mnaongelea wakina Kelvin utafikiri sisi wanaijeria, what is up? wengine hatufuatilie bana, tunaona miyeyyusho tu
[/COLOR]
Sara atapandisha mtu 3, Eddie atam-save Mzamo na kumweka Kevin. Hiki ndo nilichokuwa ninakiogopa kidogo kwani Kevin atagawana kura na Emma. Hata hivyo sidhani kama hiyo itampatia unafuu Itai. Tukumbuke kuwa watakao kuwa up for eviction wote wanatoka alliance moja.
yeah...........Itai bwana kujifanya smart kutamcost!!!Eddie obviously atamreplace Mzamo wala sio Emma kama alivyopromise!!!!Yaani Itai asali Eddie amuweke Nkenna vinginevyo mambo magumu hapa....i hope only one person is leaving i'd really like to see Emma in the finals.....
ITAI OUT!
How Africa Voted:
Itai got least votes from 7 countries:
Angola
Ghana
Kenya
Nigeria
South Africa
Tanzania
ROA
Emma got least votes from 6 countries:
Botswana
Ethiopia
Mozambique
Uganda
Zambia
Zimbabwe
Kevin got least votes from 2 countries:
Namibia and Malawi
Kazi wiki ijayo, maana hii pattern ya kura wala haieleweki.