Big Brother Africa 2009: The Revolution

Kichuguu, I agree with you. Despite of her early eviction from the game, she made us (Tanzania) walking tall.

She behaved.
 
Kichuguu, I agree with you. Despite of her early eviction from the game, she made us (Tanzania) walking tall.

She behaved.

ACHA HIZO KWA KIPI KIZURI KAFANYA zaidi ya kujinadi yeye mwenyew???? yaani kaishindwa hata kuisifia Tanzania hata kwa kuwa na Rais HAndsome au uwanja mzuri wa Mpira tuliopewa zawadi na wachina enzi za FISADI mkapa??????
 
Nominations za leo:

Itai: Emma & Geraldine
Emma: Nkenna & Mzamo
Edward: Emma & Itai
Geraldine: Itai & Emma
Nkenna: Itai & Emma
Kevin: Edward & Mzamo
Mzamo: Itai & Emma

Preliminary Results

Emma - 5
Itai - 4
Mzamo - 2
Nkenna - 1
Geraldine - 1
Edward - 1

Tusubiri maamuzi ya Itai, ambaye atajiokoa mwenyewe na sijui atampandisha nani hapo juu.
Nadhani Itai anaweza kujiokoa na kumuweka Geraldine au Mzamo (alikuwa na beef na huyu mdada sijui kama ameshamsamehe). Lets wait n see
 
Kichuguu, I agree with you. Despite of her early eviction from the game, she made us (Tanzania) walking tall.

She behaved.

inategeme 'she behaved' unayoongelea ina maanisha nini? kwa kweli mimi kwa kiasi kikkubwa hakunifanya ni walk tall, kuna mara nyingi tu alipokuwa akiongea alinifanya nijione mdogo kuliko pilton kwa sababu ni mtanzania mwenzangu...mfano usiku alipompa maneno makali Itai, au siku alipokuja juu kwa sababu ya chips nk nk

mi nadhani good behaviour sio tu ku tokujiingiza kwenye mapenzi kiholela bali pia kuna mengineyo mfano ku ongea kwa adabu na heshima na watu wa rika zote, ku control bad feelings na emotions mbele za watu etc
 
inategeme 'she behaved' unayoongelea ina maanisha nini? kwa kweli mimi kwa kiasi kikkubwa hakunifanya ni walk tall, kuna mara nyingi tu alipokuwa akiongea alinifanya nijione mdogo kuliko pilton kwa sababu ni mtanzania mwenzangu...mfano usiku alipompa maneno makali Itai, au siku alipokuja juu kwa sababu ya chips nk nk

mi nadhani good behaviour sio tu ku tokujiingiza kwenye mapenzi kiholela bali pia kuna mengineyo mfano ku ongea kwa adabu na heshima na watu wa rika zote, ku control bad feelings na emotions mbele za watu etc
......very well said triplets!!!!! na hata hiyo ya kutokujiingiza kwenye mapenzi ni kwa vile tu Quinn hakumfuatilia sana(hehehe...si anapenda wazungu?) nadhani Quinn angefanya alivyokuwa anafanya Kevin....ahh.....angemmpata tu :)
 
inategeme 'she behaved' unayoongelea ina maanisha nini?
mi nadhani good behaviour sio tu ku tokujiingiza kwenye mapenzi kiholela bali pia kuna mengineyo mfano ku ongea kwa adabu na heshima na watu wa rika zote, ku control bad feelings na emotions mbele za watu etc

Nakubalina na wewe mkuu! Mara ngapi tumepishana na couple tukageuza macho kuwaangalia tena kwasababu tunawaona wanapendeza pamoja? mara ngapi tumewashawaona watu wanaongelewa kwenye vijiwe, magazetini, Live Tv show kuwa ni couple ya kuigwa na inapendeza. Hatuwezi kusema kujiingiza kwenye mapenzi ni vibaya lakini inategemea una handle vipi hayo mapenzi na kama kuna kitu watu wanaona kinafurahisha kwenye mapenzi yenu. Sasa dada ahakutaka mapenzi sawa ni uamuzi wake lakini ayakatae kwa mtindo gani?? alie?? ampige mwanaume anyemtafuta na magumi?? hapo ndipo wengi tulipoanza kupata shida na yeye.
 
Nadhani Itai anaweza kujiokoa na kumuweka Geraldine au Mzamo (alikuwa na beef na huyu mdada sijui kama ameshamsamehe). Lets wait n see

Hukuwa mbali na ukweli, jamaa alijiokoa mwenyewe na kumpandisha kitanzini Geraldine. Kwa hiyo wiki hii ni Emma vs Geraldine.

Ukiutazama kwa juu juu unaweza kuhisi mpambano ni rahisi sana na kwamba Emma anaweza kushinda kirahisi. Lakini ni mpambano mgumu sana tunaweza kushikwa na butwaa tukisikia Emma anaondoka na Geraldine anabaki ndani ya Jumba.
 
Voting Pattern ya Wiki Hii:

Namibia and Malawi will vote for Gerry strategically to protect Eddie/Mzamo alliance. Uganda will vote for Gerry kwa ajili kulipa kisasi kwa Emma/Kelvin.

Nigeria, Ghana and Rest of Africa will vote for Gerry kwa sababu ya uzawa na ukanda. Voters wengi wa Rest of Africa ni Nigerians, so watampa kura zao Gerry.

Botswana is likely to vote for Gerry, kwa sababu ya friendship between K1 and Gerry.

Angola, Tanzania, and Kenya will vote for Emma for obvious reasons.

Mozambique ni nchi ambayo haieleweki hata kidogo, ilimnyima kura Emma ikawapa Eliza na Nkenna, ikaja ikamnyima kura Leonel (mwakilishi wake), ikampa kura Kelvin. This time sijui watampa nani kati ya Gerry na Emma.

The rest of the countries zinaweza kumpa kura yeyote kati ya hao wawili na hapo ndipo ninaposema kwamba mchuano huu ni mgumu, lakini ukiungalia kwa juu juu unaweza kudhani ni ushindi wa chee kwa Emma, lakini Emma ana maadui wengi wa nje ambao alijitengenezea zama za Girl Power na Non-Smokers Alliance.

Tuangalie pattern ya kura kwenye evictions mbili zilizopita:

Emma vs Eliza vs Nkenna:

Nkenna alipata kura chache kutoka: South Africa, Kenya na Tanzania.
Emma alipata kura chache toka: Rest of Africa, Mozambique, Nigeria na Ethiopia.
Eliza alipata kura chache toka: Namibia, Angola, Malawi, Zimbabwe, Zambia, Ghana, Uganda na Botswana.

Leonel vs Kelvin:

Leonel got least votes from: Rest of Africa, Nigeria, Mozambique, South Africa, Tanzania, Kenya, Angola, Botswana, Ghana, Zambia, and Ethiopia.

Kelvin got least votes from: Malawi, Namibia, Zimbabwe, and Uganda

Ukiangalia upigaji kura wa nchi za Uganda, Zimbabwe, Malawi na Namibia unafanana. Hizo ndio nchi ninazosema zinapiga kura strategically. Zimbabwe haieleweki kwanini iko kwenye pattern hiyo. Kwa nchi zilizobaki sababu ziko wazi, wana protect wawakilishi wao na wakati huo huo wanamkomoa Kelvin.

Sitarajii kuwe na deviation kubwa sana kutoka kwenye hizi nchi nne, japo Zimbabwe haieleweki vizuri.

Kwa kuangalia pattern hapo juu, utaona kwamba Gerry ana kura za uhakika 6 [Malawi, Namibia, Uganda, Nigeria, Rest of Africa & Ghana], so anahitaji support ya kura 2 tu. On the other hand, Emma ana uhakika wa kura 3 tu [Angola, Tanzania, & Kenya], na anahitaji support ya kura 5 ili aweze kubaki. Anatakiwa kufunga mdomo wake kabisa wiki hii yote na wala asiongelee kabisa habari za nominations za wiki ijayo. Hilo linaweza kumsaidia ili kurekebisha image, labda nchi zilizosalia zinaweza kuichukua Nigeria Factor kama mojawapo ya sababu za kumtosa Gerry.

Tatizo la Gerry ni ukimya, hana kasheshe nyingine za ajabu ajabu kama za Emma zama zile akipanga strategies za kumaliza alliance ya wavuta sigara. Sasa ni pay back time, na inaweza kum-cost na kujikuta anachanganyikiwa atakapoambiwa kwamba anatoka na kumwacha Gerry.

Kwa mtazamo wangu Gerry is far better kuliko hata Nkenna. Kama Nkenna aliwapelekesha puta wiki aliyotoka Eliza, basi Gerry anaweza kumfanya kitu mbaya pia. Kwa stage waliyofikia sasa ni kura kwa mwendo wa visasi na kulinda alliances za wawakilishi. Hayo yote yanampa advantage Gerry over Emma.
 
Alliance ya Emma imesambaratika kabisa na kila mmoja anatafuta kulipa kisasi wabaya wake. Emma na Kevin wangeweza kukubaliana wawa-nominate Eddie na Mzamo tatizo Emma naye anataka kulipa kisasi kwa Nkenna. Matokeo yake hawawezi kuwapeleka kwenye eviction list.

Bila shaka Itai anajiokoa mwenyewe na kumpachika Gerra, na Africa itamuokoa Emma kwa upenzi na strategy. Nchi zinazompenda Kevin zita mpigia kura Emma (maybe isipokuwa Naigeria). Tanzania licha ya kwamba Angola hawakumpigia kura Elizabeth bado nadhani tutampa kura yetu Emma.

Wale wa kambi ya Eddie (sadc camp) watampigia kura Emma ili aingie best 5 kuzigawa kura za Kevin. Sadc wameshatambua kuwa Kevin anamashabiki wengi, hivyo kilichobaki ni kuzigawa kura zake kwa kumuacha Emma na Nkenna. Next week ataondolewa Itai. Hivyo final itakuwa ngumu sana, kutokana na ukweli kwamba Kevin/Emma/Nkenna watagawana kura upande mwingine Edward/Mzamo watagawana kura pia. Tusubiri tuone.

Tatizo la Emma haskii, ndiye aliyemponza hata Eliza maana kama unakumbuka kipindi Nkenna alipokuwa HOH, Eliz alishauri wawekwe Wanigeria wawili Nkenna akiwemo ili awe na option ya kujiokoa tu na kushindwa ku-swap lakini kwa akili mbuzi za Emma na Jeremy wakakataa wakiogopa one of them kuwa-swapped matokeo yake ilitokea counter attack wakajikuta wote wawili wako on nomination! Na hapo ndio mwanzo wa kuanza kusambaratika group lao! Nathani haka ka-Emma huwa hakaskii kako so focused on revenge bila akili! Kama angewekwa m1 kati ya Jeremy na yeye kuna uwezekano mkubwa wa mmoja wapo kuweza kupona kwa vile wangeweza kuwa paired up with 2 Nigerians! Sikio la kufa halina dawa
 
Tatizo la Emma haskii, ndiye aliyemponza hata Eliza maana kama unakumbuka kipindi Nkenna alipokuwa HOH, Eliz alishauri wawekwe Wanigeria wawili Nkenna akiwemo ili awe na option ya kujiokoa tu na kushindwa ku-swap lakini kwa akili mbuzi za Emma na Jeremy wakakataa wakiogopa one of them kuwa-swapped matokeo yake ilitokea counter attack wakajikuta wote wawili wako on nomination! Na hapo ndio mwanzo wa kuanza kusambaratika group lao! Nathani haka ka-Emma huwa hakaskii kako so focused on revenge bila akili! Kama angewekwa m1 kati ya Jeremy na yeye kuna uwezekano mkubwa wa mmoja wapo kuweza kupona kwa vile wangeweza kuwa paired up with 2 Nigerians! Sikio la kufa halina dawa

Hiyo bold ni typical description ya Emma kwa sasa.

Uwezo wake wa kufikiri kwa sasa umepungua kwa sababu ya ku-revenge na revenge zake za sasa haziko effective. alifanikiwa revenge moja tu ya Quinn na hiyo ndio ilimfanya awe na nuksi. Jeremy nae mgomvi wake alikuwa Itai. Nomination ya mwisho alisema ama yeye (Jeremy) au Itai, mmoja lazima aondoke, na akaishia kuondoka yeye mwenyewe.

Revenge bila mission haiwezi kufanikiwa. Baada ya Jeremy na Eliza kutoka, alliance ya akina Emma/Kelvin ilipoteza vision na mission wakaanza ku-fight a loosing war, wanaishia kurusha risasi hewani huku maadui wao Eddie/Mzamo wananyemelea mmoja baada ya mwingine.

Walishindwa kukubaliana ku-focua kwa adui mmoja. Kelvin anataka kulipa kisasi kwa Eddie na Mzamo, na Emma anataka kulipa kisasi kwa Nkenna, mkishagawanyika basi strategies zenu haziwezi kuwa na nguvu hata siku moja, mwisho wa siku kura zenu zinapotea bure na jamaa hawawi up for eviction.
 
Emma akitoka atamhakikishia Kevin kura za Tanzania, Kenya na Angola hivyo kumweka katika wasaa mzuri wa kutwaa kitita endapo atafikakwenye final 5. Tena wiki ijayo (ile inayofuata) akiondoaka either Gerra au Nkenna ndo kabisa Kevin atashinda kiulaini kwani kura za sadc watagawana Eddie, Mzamo na Itai. Huku Kevin akipambana na dada yake mmoja tena asiye na popularity ndani ya 9ja na nje.
 
Voting Pattern ya Wiki Hii:

Namibia and Malawi will vote for Gerry strategically to protect Eddie/Mzamo alliance. Uganda will vote for Gerry kwa ajili kulipa kisasi kwa Emma/Kelvin.

Nigeria, Ghana and Rest of Africa will vote for Gerry kwa sababu ya uzawa na ukanda. Voters wengi wa Rest of Africa ni Nigerians, so watampa kura zao Gerry.

Botswana is likely to vote for Gerry, kwa sababu ya friendship between K1 and Gerry.

Angola, Tanzania, and Kenya will vote for Emma for obvious reasons.

Mozambique ni nchi ambayo haieleweki hata kidogo, ilimnyima kura Emma ikawapa Eliza na Nkenna, ikaja ikamnyima kura Leonel (mwakilishi wake), ikampa kura Kelvin. This time sijui watampa nani kati ya Gerry na Emma.

The rest of the countries zinaweza kumpa kura yeyote kati ya hao wawili na hapo ndipo ninaposema kwamba mchuano huu ni mgumu, lakini ukiungalia kwa juu juu unaweza kudhani ni ushindi wa chee kwa Emma, lakini Emma ana maadui wengi wa nje ambao alijitengenezea zama za Girl Power na Non-Smokers Alliance.

Tuangalie pattern ya kura kwenye evictions mbili zilizopita:

Emma vs Eliza vs Nkenna:



Leonel vs Kelvin:



Ukiangalia upigaji kura wa nchi za Uganda, Zimbabwe, Malawi na Namibia unafanana. Hizo ndio nchi ninazosema zinapiga kura strategically. Zimbabwe haieleweki kwanini iko kwenye pattern hiyo. Kwa nchi zilizobaki sababu ziko wazi, wana protect wawakilishi wao na wakati huo huo wanamkomoa Kelvin.

Sitarajii kuwe na deviation kubwa sana kutoka kwenye hizi nchi nne, japo Zimbabwe haieleweki vizuri.

Kwa kuangalia pattern hapo juu, utaona kwamba Gerry ana kura za uhakika 6 [Malawi, Namibia, Uganda, Nigeria, Rest of Africa & Ghana], so anahitaji support ya kura 2 tu. On the other hand, Emma ana uhakika wa kura 3 tu [Angola, Tanzania, & Kenya], na anahitaji support ya kura 5 ili aweze kubaki. Anatakiwa kufunga mdomo wake kabisa wiki hii yote na wala asiongelee kabisa habari za nominations za wiki ijayo. Hilo linaweza kumsaidia ili kurekebisha image, labda nchi zilizosalia zinaweza kuichukua Nigeria Factor kama mojawapo ya sababu za kumtosa Gerry.

Tatizo la Gerry ni ukimya, hana kasheshe nyingine za ajabu ajabu kama za Emma zama zile akipanga strategies za kumaliza alliance ya wavuta sigara. Sasa ni pay back time, na inaweza kum-cost na kujikuta anachanganyikiwa atakapoambiwa kwamba anatoka na kumwacha Gerry.

Kwa mtazamo wangu Gerry is far better kuliko hata Nkenna. Kama Nkenna aliwapelekesha puta wiki aliyotoka Eliza, basi Gerry anaweza kumfanya kitu mbaya pia. Kwa stage waliyofikia sasa ni kura kwa mwendo wa visasi na kulinda alliances za wawakilishi. Hayo yote yanampa advantage Gerry over Emma.
I agree with you in part lakini nadhani watu wengi wa africa pia wanaweza kuwa fair na kuangalia issue ya entertainment....wengi wanamchukia Emma lakini wanasema bora abaki watamtoa wiki ijayo lakini Geraldine is too boring kubaki..yaani she is not adding any value to the show and it is unfair watu kama akina Kaone walitoka sababu ya comrade in arms yeye amebaki, which i completely support!She is truly BORING!!!! I think kadiri siku zinavyoenda na final zinavyoapproach people will stop the country thing and really vote according to how they feel about the housemates remaining. MAY THE BEST HOUSEMATE WIN IRRESPECTIVE OF WHERE HE/SHE COMES FROM...
 
Eddie kashinda HOH again!!

Emma au Kevin wanaweza kuwa up for nominations next week...
 
Wakuu Kelelee na Nemesis,

Geraldine is GONE!

Predictions zenu zilikuwa sahihi, naona sasa mambo yanaelekea mwisho, maana ushindi wa Emma ulikuwa mnono hasa 11 kwa 4.

Emma got least votes from Nigeria, Rest of Africa, Ethiopia and Mozambique.

Geraldine got least votes from the rest of the countries which have votes.

Prediction yangu ilikuwa fake sana na sasa ninaanza ku-smell kitu, kwamba kambi ya mashabiki wa Eddie inataka kumbakiza Emma ili kupunguza kura za Kelvin na pia kuzigawa, in a way wanatengeneza mazingira ya ushindi kwa Eddie.

Nchi zote ambazo walikuwa anti-Kelvin/Emma this time naona wamempa kura Emma. Nchi hizo ni pamoja na Uganda, Malawi, Zimbabwe na Namibia. Hii U-turn siyo ya kawaida, lazima kuna kitu kinapikwa, lakini waombe Mungu kwamba wiki ijayo Itai aondoke na aondoke kwa kuwa nominated na siyo kwa kum-swap. Maana Eddie akum-swap atakuwa kajipunguzia kura moja ya Zimbabwe. Huu mshikamano ulio onyeshwa na hizi nchi ni wa aina yake ambao unatia sana mashaka.

Tusubiri nominations za kesho pamoja na swap itakayofanywa. I hope Eddie atafanya swap kulingana na expectations za viewers.

Hivi kuna mtu anaweza kui-define Mozambique kuhusu upigaji kura wao? Last week walimnyima kura Leonel, the other time walimnyima Emma, wamerudia tena kumnyima Emma this time. Wana matatizo gani hawa watu? Ama lugha inawasumbua? Kama lugha inawasumbua ina maana TV local stations nazo haziwezi ku-translate ili kuwaelimisha?
 
Yeah! i guessed right. Kuhusu Mozambique, mimi nadhani tatizo la lugha linachangia sana, pia ugeni na idadi ya wafuatiliaji. Kwa kuwa lugha yao ni Kireno hata channels nyingi kwao zitakuwa ni za Kireno. Hivyo wanaopiga kura watakuwa wachache na huenda siyo permanent, yaani anayepiga kura wiki hii next week anaweza asipige kura. Hizi ni conspiracy tu.

Nahisi nominations za kesho itakuwa ni Itai na Eddie. Eddie atajiokoa na kumweka either Emma au Kevin. Itakuwa ni mbaya sana endapo watakao pata majority votes watakuwa watatu. Let say Itai, Eddie na Emma. Eddie atajiokoa na kumwingiza Kevin. Hapo kutakuwa na shida kubwa kwa wapenzi wa Kevin na Emma. Ninataka Kevin aingie final, nadhani ni yeye tu mwenye uwezo wa kumnyima pesa Eddie.
 
Tatizo la Mozambique ni Lugha, wao hawajaelwa ni kwamba ,unaye mpigia kura ndio anayebaki , so wao waka vote kumtOa Kevin wakidhani ni wana msave Leonel.
 
Nahisi nominations za kesho itakuwa ni Itai na Eddie. Eddie atajiokoa na kumweka either Emma au Kevin. Itakuwa ni mbaya sana endapo watakao pata majority votes watakuwa watatu. Let say Itai, Eddie na Emma. Eddie atajiokoa na kumwingiza Kevin. Hapo kutakuwa na shida kubwa kwa wapenzi wa Kevin na Emma. Ninataka Kevin aingie final, nadhani ni yeye tu mwenye uwezo wa kumnyima pesa Eddie.

After HoH Task, Mzamo na Nkenna walikubaliana kwamba wiki hii watawa-nominate Itai na Eddie, then Eddie atajiokoa mwenyewe.

Jana usiku Kelvin na Itai walikuwa wana strategize kwamba wawa-nominate Eddie na Mzamo. Kelvin alisema kwamba Emma nae anataka Eddie na Mzamo.

Sasa hivi backstabbing ni ya hali ya juu sana, watu wanaweza kukubaliana hili lakini akiingia diary room anataja wengine. Hili tatizo liko kwa Itai zaidi.

Msimamo wa Emma haujulikani mpaka sasa, maana nahisi bado ana kisasi na Nkenna, pia hamuamini sana Itai. Kwa hiyo haijulikani huko ndani ataenda kusema nini.

Kwa hiyo leo tunaweza kupata zaidi housemates 2 ambao watakuwa up for eviction. Most likely tunaweza kuwa na Eddie, Itai na Mzamo.
 
wawa-nominate Itai na Eddie mana lazima edie ajiokoe basi itai akiwekwa na kevin lazima aondoke mana itai hafai ni kama nyoka hv
 
What if wote wakiwa up for eviction? i.e no nomination viewers to decide who to go?
 
Back
Top Bottom