Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,285
- 7,379
Nikki mbishi n kiburi Sana yule jamaaNikki mbishi anabeef na mtu yoyote tu.
By the way beef hii nimeipenda watu wanaingia studio hawaishii kusutana twitter.
Beef za biashara kwenye mkito, booomplay, you tube nk ndiyo zinatakiwa.
Sure Kaka Ila P amemnyoosha sana kwenye diss track yakenick anapenda sana shari
Nikki Mbishi ni mzee wa kununua kesi kama 50 Cent kule mbeleNikki mbishi anabeef na mtu yoyote tu.
By the way beef hii nimeipenda watu wanaingia studio hawaishii kusutana twitter.
Beef za biashara kwenye mkito, booomplay, you tube nk ndiyo zinatakiwa.
Haha kwa hii diss track ya p.mawenge leo nikki mbishi ameingia cha kike.nick anapenda sana shari
hahaa usiniambie ngoja niisikilizeHaha kwa hii diss track ya p.mawenge leo nikki mbishi ameingia cha kike.
Amechanwa-chanwa hatorudia tena kuchokoza MCs kwa siku za karibuni
Sasa leo amenunua fuko lenye mamba ndani alizani ni samaki sasa yamemkuta.Nikki Mbishi ni mzee wa kununua kesi kama 50 Cent kule mbele
Hii noma hata zile za zilla na wakazi hazikufika level hiiSijawahi kusikia dis track kali bongo kama hii. Correct me if I am wrong
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mkuu huyu nikki karibia kila mtamaduni pale kaishawahi kuzinguana nayeNikki mbishi anabeef na mtu yoyote tu.
By the way beef hii nimeipenda watu wanaingia studio hawaishii kusutana twitter.
Beef za biashara kwenye mkito, booomplay, you tube nk ndiyo zinatakiwa.
Hip hop ni michano since day one, kabla hata taarab ya kwanza haijarekodiwa."uwepo wangu kwao ni bonge la crisis,mzee wa kujilipua kama mfuasi wa ISIS."
na kweli unju anajilipuaga sana huyu mchizi...😂😂😂baizewei hiphop ya bongo siku sio nyingi itageuka kuwa na mahadhi ya taarabu kama wanahiphop wenyewe ndo hawa kupashana daily kweny track na social media nk... NONSENSE
Wakuu habari zenu,
Kuna beef mpya Kati ya Nikki Mbishi na P the MC, bado sijajua chanzo hasa. Ila nimeona Twitter wakipeana madongo na Kuna Track P the MC kaachia inaitwa ‘Futi Sita’ akimdiss Nikki mbishi
By the way P amemchana sana Nikki nasubiria comeback ya Nikki Mbishi
One love