Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Sijaisikia lakini Drake asisubutu kuingia kwa huyo mwana ni balaa tupu hatomuweza na trap zake.Pia nasikia Kendrick na drake haziivi.
Sijaisikia lakini Drake asisubutu kuingia kwa huyo mwana ni balaa tupu hatomuweza na trap zake.Pia nasikia Kendrick na drake haziivi.
Anamwambia
'I'm 45 but m still outselling you'
haahaa Em ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app



acha kabisa hizi shombo.Dre anaproduce na kuimba pia.