Pole MpendwaTatzo imani tuu...sina imani kufanya na individual...ungekua kampuni sawa..sorry lakin..nilishangatwa na nyoka so niko makin sana
Kuna Mali yako imepotea kupitia hapa mkuu...!?
@SassyHabari ,je unahitaji bidhaa yoyote kutoka India kama vile simu za Oppo, Xiaomi ,redim bei tofaut kulingana na simu unayohitaji
Dawa za kihindi mitishamba ambayo imesagwa na zingine vidonde kama unasumbuliwa na tatizo lolote pengine dawa umezitafuta au hazipo Tz na huenda ulishawahi tumia zikakusaidia au zimekiishia na unahitaji tena tafadhar agiza mzigo wako ntakutumia Kwa FedEx company one kg ni 3000 rupees na inakifikia ndani ya siku 4_7 kama ni heavy machine meli siku 14_21
Nguo za sherehe kama vile harusi maulidi zipo pia
Dawa za wenye vipara wanaohitaji mafuta yake unaweza kuagiza nguo viatu UREMBO vipodozi n.k mawasiliano whatsp na call +91 9990874397
Agiza chochote kile uaminifu ndiyo mtaji
Ndy naona leo Uzi wako mkuu nilikua busy sana vipi ulifanikiwa kama bado karibu tufanye biashara@Sassy
Vp mkuu nahitaji kusafirisha mzigo wa Kanzu kutoka India unaweza kunisaidia kampuni za usafirishaji ili iwe rahic?
+91 99908 74397nonyanguNdy naona leo Uzi wako mkuu nilikua busy sana vipi ulifanikiwa kama bado karibu tufanye biashara
Bado unafanya hii biashara?Habari ,je unahitaji bidhaa yoyote kutoka India kama vile simu za Oppo, Xiaomi ,redim bei tofaut kulingana na simu unayohitaji
Dawa za kihindi mitishamba ambayo imesagwa na zingine vidonde kama unasumbuliwa na tatizo lolote pengine dawa umezitafuta au hazipo Tz na huenda ulishawahi tumia zikakusaidia au zimekiishia na unahitaji tena tafadhar agiza mzigo wako ntakutumia Kwa FedEx company one kg ni 3000 rupees na inakifikia ndani ya siku 4_7 kama ni heavy machine meli siku 14_21
Nguo za sherehe kama vile harusi maulidi zipo pia
Dawa za wenye vipara wanaohitaji mafuta yake unaweza kuagiza nguo viatu UREMBO vipodozi n.k mawasiliano whatsp na call +91 9990874397
Agiza chochote kile uaminifu ndiyo mtaji
Huyu hayupo.Weka number ya WhatsApp
ShukranJanja janja huyo nilishafanya nae biashara akanitapeli. Bahati nzuri bidhaa nilifanikiwa kuagiza mwenyewe toka huko India mpaka kuja tanzania