Bidhaa kutoka INDIA

Bidhaa kutoka INDIA

Habari ,je unahitaji bidhaa yoyote kutoka India kama vile simu za Oppo, Xiaomi ,redim bei tofaut kulingana na simu unayohitaji

Dawa za kihindi mitishamba ambayo imesagwa na zingine vidonde kama unasumbuliwa na tatizo lolote pengine dawa umezitafuta au hazipo Tz na huenda ulishawahi tumia zikakusaidia au zimekiishia na unahitaji tena tafadhar agiza mzigo wako ntakutumia Kwa FedEx company one kg ni 3000 rupees na inakifikia ndani ya siku 4_7 kama ni heavy machine meli siku 14_21

Nguo za sherehe kama vile harusi maulidi zipo pia

Dawa za wenye vipara wanaohitaji mafuta yake unaweza kuagiza nguo viatu UREMBO vipodozi n.k mawasiliano whatsp na call +91 9990874397

Agiza chochote kile uaminifu ndiyo mtaji
@Sassy
Vp mkuu nahitaji kusafirisha mzigo wa Kanzu kutoka India unaweza kunisaidia kampuni za usafirishaji ili iwe rahic?
 
@Sassy
Vp mkuu nahitaji kusafirisha mzigo wa Kanzu kutoka India unaweza kunisaidia kampuni za usafirishaji ili iwe rahic?
Ndy naona leo Uzi wako mkuu nilikua busy sana vipi ulifanikiwa kama bado karibu tufanye biashara
 
Habari ,je unahitaji bidhaa yoyote kutoka India kama vile simu za Oppo, Xiaomi ,redim bei tofaut kulingana na simu unayohitaji

Dawa za kihindi mitishamba ambayo imesagwa na zingine vidonde kama unasumbuliwa na tatizo lolote pengine dawa umezitafuta au hazipo Tz na huenda ulishawahi tumia zikakusaidia au zimekiishia na unahitaji tena tafadhar agiza mzigo wako ntakutumia Kwa FedEx company one kg ni 3000 rupees na inakifikia ndani ya siku 4_7 kama ni heavy machine meli siku 14_21

Nguo za sherehe kama vile harusi maulidi zipo pia

Dawa za wenye vipara wanaohitaji mafuta yake unaweza kuagiza nguo viatu UREMBO vipodozi n.k mawasiliano whatsp na call +91 9990874397

Agiza chochote kile uaminifu ndiyo mtaji
Bado unafanya hii biashara?
 
Hiyo namba haipo mbona weka mawasiliano ya uhakika
 
Janja janja huyo nilishafanya nae biashara akanitapeli. Bahati nzuri bidhaa nilifanikiwa kuagiza mwenyewe toka huko India mpaka kuja tanzania
 
KEMCHO BAYYI Injini ya bajaj ipo rafiki taka sana hii mimi
NA bei takuwa kiasi gani? Rafiki..... For one engine with single or 2 stroke subiri jibu yako kwa hamu kubwa
Sante sana rafiki
OM OM.
Baniani baya atu yake dawa, sipo ziba ufa mwizi kuja chungulia ndani ya nyumba.
 
Back
Top Bottom