Biden atashinda, Trump is done

Nyani Ngabu leo wakati napita daily mail nimeona statement ya bwana mmoja anaitwa Tony Bobulinsk kuhusu ukweli wa email za hunter zilizotolewa na new york times!

anakiri kwamba yaliyoandikwa yote ni kweli, na kwamba the bidens walimzunguka wakala mpunga wa wachina!


swali langu, hii inaweza kuwa na implication kwenye kampeni ya biden? na vipi akichaguliwa huku ana skendo kama hizi? itakuaje?
 
Nyani Ngabu leo wakati napita daily mail nimeona statement ya bwana mmoja anaitwa Tony Bobulinsk kuhusu ukweli wa email za hunter zilizotolewa na new york times!
Wapuuzi kwa kudandia mambo yanayowazidi kimo, hamjambo. Unaijua New York Times? New York Times ni gazeti linaloheshimiwa na kamwe haliwezi kuandika ujinga huu unaodai. Kwa nini usijikite tu katika mambo ya kipuuzi ya hapa nyumbani? Jiwe kawaharibu kweli kweli...mara Gadafi Rais wa Kuwait, hapana wa Kuwaitt alikuwa Sadam.
 
Nop
 
umewahi kumsikiliza Biden? mtu yeyote timamu hawez mpa kura Biden, ushindi wa Biden ni kumpa uraisi Kamala Harris kitu ambacho hawawezi kufanya!
Nimemsikiliza kwenye debate mbili na zote sijaona tatizo lolote anajibu vizuri na anaweza kupangua hoja za Trump. Sijui wewe huwa unamsikiliza wapi. Labda unatumia vile vishort videos ambavyo hulenga kumchafua mtu
 
sawa, kama unaweza mpa kura mtu anaepoteza kumbukumbu then fine, it means you are voting for Kamala......


then again, taarifa nyingi tunazopewa kuhusu trump ni fake, media nyingi hazimpi coverage nzuri!
Nyie ndo mnapewa taarifa feki kuhusu Biden. Trump mwenyewe hafurukuti kwenye Debate harafu mtu wa Tandale unakuja kusema eti Biden anapoteza kumbukumbu. Hahahaha. Nonesense
 
Nyie ndo mnapewa taarifa feki kuhusu Biden. Trump mwenyewe hafurukuti kwenye Debate harafu mtu wa Tandale unakuja kusema eti Biden anapoteza kumbukumbu. Hahahaha. Nonesense
Usihangaike ndugu yangu, humu kuna watu utadhani zimefyatuka. Badala ya kujikita kwenye mambo wanayoyamudu, wanataka na wao waonekane eti nao wamo wanarukia mambo yanayowazidi kimo, ujinga mtupu.
 
Hawawezi kuandika kwa sababu ni upuuzi au kwa sababu ni scandal itamu affect Joe Biden? ambaye NT don't want to discredit him??..
 
mkuu umenishambulia mimi binafsi, nashauri ungeishambulia hoja ya Tony Bobulinsk...........


hata kama kinachosemwa hukipendi ni vema ukapinga hicho kinachosemwa sio kumshambulia tu mtu aliyeleta hoja!


nafikiri Russia collusion ilianza hivi hivi kwa tetesi, na kule jukwaa la great thinkers uliikomalia sana, vyema hata hii uipe uzito ule ule aghalabu kwa kuisemea ukweli unaoujua wewe!

Asante!
 
Hawawezi kuandika kwa sababu ni upuuzi au kwa sababu ni scandal itamu affect Joe Biden? ambaye NT don't want to discredit him??..
shangaa na wewe ndugu,......


nimeshangzwa na jinsi walivyorespond utadhani mimi ndio mtoa tuhuma, sijui kwanini?........


kumjibu mtu mtandaoni ni mpaka uanze kumdharau sijui mpuuzi, sijui wa tandale, sijui nini na nini, khaaaaaa.........
 
shangaa na wewe ndugu,......


nimeshangzwa na jinsi walivyorespond utadhani mimi ndio mtoa tuhuma, sijui kwanini?........


kumjibu mtu mtandaoni ni mpaka uanze kumdharau sijui mpuuzi, sijui wa tandale, sijui nini na nini, khaaaaaa.........
Jamaa anasema NT ni news outlets inayoheshimika 😀 😀 ,anasahau kwamba that's among the far left wing media propaganda machine..
Just imagine hiyo scandal ingekuwa inamhusu Donald Trump Jr au Ivanka Trump.Sijui comment yake ingekuwa sawa na hiyo alivyosema hapo juu...
 
New york times wanaheshimika??,Na nani? That far left propaganda machine is no more a credible news to rely on,just like CNN hakuna tofauti sana.Sasa leo ukisema cnn hii ya sasa eti inasheshimika lazima useme inaheshimika na nani,only liberals..
 
nimeshangaa sana, siku za nyuma huyu jamaa alikua mjengaji mzuri sana wa hoja! nimeshangaa ananishukia kama mwewe kwa madharau!


nadhani inawezekana ni ushabiki wake kwa dems ndio umemfanya awe hivyo, liberal siku hizi hawataki hata discussion, wao ni vurugu tu
 
Political correct liberals wao common sense siku hizi hawatumii tena,wao ni emotions na kutaka kuonewa huruma kwa nguvu na vurugu...
 
mim nafikiria huyu Trump wa bongo sijui atapita tena
 
New york times wanaheshimika??,Na nani? That far left propaganda machine is no more a credible news to rely on,just like CNN hakuna tofauti sana.Sasa leo ukisema cnn hii ya sasa eti inasheshimika lazima useme inaheshimika na nani,only liberals..
Ndio maana nawaita wapuuzi na vilaza...FYI gazeti lililotoa hizo tuhuma linaitwa New York Post na si New York Times. New York Post ni kijigazeti ka udaku kalikoanzishwa kwa malengo maalum na halina historia kama New York Times ambalo ni gazeti huru na la muda mrefu; hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.

Hivyo hivyo kuna Washington Post na Washington Times (udaku)...moja linahusishwa na White supremacists na lingine liko huru. Sasa kama mtu hujui hii tofauti na hata hufanyi juhudi zozote za kujua tofauti iliyopo, inakuwaje unaandika mambo usiyoyajua? Huo ndio ukilaza ninaousema.

Yako magazeti yamekuwepo toka miaka ya 1800s na yanaheshimika kwani ndiyo yaliijenga Marekani na ndiyo yaliyohusika katika kubadilisha mifumo ya kibaguzi nchini humo. Halafu yapo yaliyoanzishwa baadaye kupingana na juhudi hizi zikitetea ubaguzi kuwalinda makaburu wa huko.

Katika magazeti yanayoheshimika, kila habari inayoletwa yenye utata, mwandishi hajifichi bali huweka majina yake wazi na yuko tayari kutoa ushahidi. Magazeti uchwara hutoa tuthuma zisizothibitika na mara nyingi mwandishi husika hujificha ili asihojiwe. Huu utakuwa ni mchango wangu wa mwisho humu...kwaherini.




 
Angalia ulivyo na papara,Ni wapi katika comment yangu nimesema New york times ndio wameandika hizo habari??..Naona umekuja na papara zako na kuanza kutukana kama fala fulani,hata kuelewa context haujataka.Yaani nyie ma liberal sijui mna matatizo gani kwenye ubongo wenu,hamuwezi jenga hoja bila vurugu?,Unalazimisha mtu akuelewe kwa nguvu,,Nonsense kabisa..
 
Angalia ulivyo na papara,Ni wapi katika comment yangu nimesema New york times ndio wameandika hizo habari??..
Hebu fuatilia mjadala ulipoanzaia wewe kilaza...

Nyani Ngabu leo wakati napita daily mail nimeona statement ya bwana mmoja anaitwa Tony Bobulinsk kuhusu ukweli wa email za hunter zilizotolewa na new york times!
Wapuuzi kwa kudandia mambo yanayowazidi kimo, hamjambo. Unaijua New York Times? New York Times ni gazeti linaloheshimiwa na kamwe haliwezi kuandika ujinga huu unaodai.
Hawawezi kuandika kwa sababu ni upuuzi au kwa sababu ni scandal itamu affect Joe Biden? ambaye NT don't want to discredit him??..

New york times wanaheshimika??,Na nani? That far left propaganda machine is no more a credible news to rely on,
Ndio maana nawaita wapuuzi na vilaza...FYI gazeti lililotoa hizo tuhuma linaitwa New York Post na si New York Times.
Angalia ulivyo na papara,Ni wapi katika comment yangu nimesema New york times ndio wameandika hizo habari??..
SirChief, New York Times inaheshimika na ni gazeti (Newspaper) na New York Post ni kijarida cha udaku (tabloid). I rest my case!
 
Acha mbwembwe Kiongozi. Trump hashindi hata huku Texas. Kipinde alishinda sababu tu alishindanishwa na mwanamke

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…