Biblia kwa Jicho Jingine

Kwa mujibu wa maelezo yako haiwezekani ukaamini kitu ambacho una uthibitisho juu ya hicho kitu,wanaoamini Mungu hawana uthibitisho sasa ukisema hawezi kuthibitisha kwa sababu Mungu hayupo unakuwa unajichanganya mwenyewe.
Unaelewa ulichoandika hapo ni "logical non sequitur" ?

Ukweli kwamba haiwezekani ukaamini kitu A ambacho una uthibitisho wacho, haufanyi asiye na uthibitisho na kitu A asihitaji uthibitisho ili kuhakiki kwamba anachoamini ni kweli kipo, na wala si hadithi tu.

Kama Mungu hayupo, ukweli kwamba unaamini Mungu yupo haufanyi Mungu awepo.

Unaelewa hilo?
 
Mungu muumba wa mbingu na nchi yupo mbingun ndiko anakoishi, yeye ni roho hawezi kuonekana kwa macho ya kibinadamu. Na pia hamna njia ya kwenda kwenye makao yake yaliyotukuka, kwa kuwa mm ni binadamu mwenye umbo la nyama sina uwezo wa kupaa kukupeleka kwake ili umuone na hata haiwezekana kumuona rejea maelezo ya juu. Ila nimejithibitishia kuwa yupo kwa matendo yake makuu katika maisha yangu, pia huu mwili wangu pamoja na ubongo wangu unavyofanya kazi haipatani na akili kusema hauna muumba ikiwa dunian hamna hata kitu kimoja ambacho kimejitokeza chenyewe bila mtengenezaji hata penseli inatengenezwa kwa akili ya hali ya juu (matumizi ya ubongo ulioumbwa na mjuzi). Pia dunia na sayari na jua na nyota unawezaje kusema (ingawa haujasema maana haushindwi kuanza kunikejeli) vimetokea bila mtu mwenye hekima ya hali ya juu kuvipangilia?

Point yako kuu ni kwamba kwann Muumba ameacha tuteseke wakati yeye ana upendo na ana uwezo wa kuondoa mateso?

Jibu ni hili mwalimu akiwa darasan anafundisha mwanafunzi fulan mtukutu akasema mwalimu ni mwongo kawalisha matango pori na yeye anajua njia sahih ya kufanya hesabu kuzidi mwalimu,

mwalimu huyu ana choice mbili either amfukuze mwanafunzi huyu darasan kwake na asimruhusu kurud tena au amwache aprove point yake ingawa mwalimu ana uhakika kuwa yupo sahihi lakn madai ya mwanafunzi yule yamezua shaka kwa wanafunzi wengine je inawezekana mwalimu anatulisha matango?

Njia bora ya kutatua changamoto hii ni kumwacha mwanafunzi huyo afanye hesabu lile mpaka mwisho ili pia wanafunzi wengine waone yupi yupo sahihi kati ya mwalimu na mwanafunzi mtukutu.

Hivo ndivo ilivo pia kuhusu Mungu na shetani, Shetani alikuwa malaika mzuri na dunia ilikuwa kamilifu mwanzoni mwanadamu alikuwa mkamilifu pia, lkn hakulazimishwa kumtumikia mungu alipewa a choice, sasa bhas malaika shetani akatamani kupata ibada kutoka kwa wanadamu akatumia ile loopehole ya mwanadamu kupewa a choice ili ajipatie ibada na kumlaghai mwanadamu akidai Mungu anamnyima mambo mazuri, kama mwalimu yule Mungu akamruhusu huyu kiumbe aprove point yake kama ujuavyo kila choice tunayofanya ina consequences, kwaiyo ulimwengu mzima unaangalia je kati ya Mungu na shetani nan anayetawala vizuri? Jibu unalo nafikiri. Hiyo ndio sababu tunapitia mateso kwa sababu mwanadamu wa kwanza alitaman kujua kama maneno ya shetani ni ya kweli.

Lakn kama mwalimu yule baada ya mwanafunzi mtukutu kushindwa kufanya hesabu atamfukuza darasan na wanafunzi watamwamini mwalimu wao hawatakuwa na doubt again kuhusu ufundishaji wake, hivo pia Mungu atamwondolea Mbali shetan na mateso yatakwisha milele.
Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo woet ni sawa na mwalimu asiye na sifa hizo?

Unaelewa kwamba umepiga hadithi na mahubiri, hujathibitisha Mungu yupo?

Unaelewa huko mbinguni unakosema Mungu yupo, nako huwezi kuthibitisha kwamba kupo?

Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?
 
Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo woet ni sawa na mwalimu asiye na sifa hizo?

Unaelewa kwamba umepiga hadithi na mahubiri, hujathibitisha Mungu yupo?

Unaelewa huko mbinguni unakosema Mungu yupo, nako huwezi kuthibitisha kwamba kupo?

Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?
mi nafikir unatakiwa kujua kwanza Mungu ninan? maana inawezekana kabisa hujui usemalo.
pili. ni busara kutambua kwamba aliyeleta huu uzi alitahadharisha mapema kwamba hakukusudia kuleta mapambano ya kidin humu ila kutoa darasa so kama yaliyoko kwenye uzi hayakufurahishi uyaache. mtu makin ni yule anaechagua aseme nini na mahali gan.
 
mi nafikir unatakiwa kujua kwanza Mungu ninan? maana inawezekana kabisa hujui usemalo.
pili. ni busara kutambua kwamba aliyeleta huu uzi alitahadharisha mapema kwamba hakukusudia kuleta mapambano ya kidin humu ila kutoa darasa so kama yaliyoko kwenye uzi hayakufurahishi uyaache. mtu makin ni yule anaechagua aseme nini na mahali gan.
Hujathibitisha Mungu yupo, nimeelezea ninapoandika Mungu ninamaanisha nini.

Swali kwako, unajua kusoma?

Unaelewa kwamba, kwa hoja zangu, ikiwa kweli sijui nisemalo, kama unavyosema, huo nao utakuwa ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo?

Unajua Mungu huyo angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na viumbe wake ambao hawajui wasemayo?

Nani kaleta mapambano ya kidini?

Unaelewa kwamba mimi siongei dini hapa, naongea kutafuta ukweli?

Unaongeleaje kutoa darasa wakati unazima mjadala na hutaki kujibu maswali?

Nani kasema yaliyopo kwenye uzi hayanifurahishi?

Kwa nini unataka niyaache tu wakati kaulimbiu ya JF ni "Where We Dare To Talk Openly" ?

Unaelewa kwamba unanilazimisha ninyamaze kwa sababu huwezi kujibu maswali yangu?

Unaelewa kwamba unanilazimisha ninyamaze kwa sababu huwezi kuthibitisha Mungu yupo?

Kwa sababu unaamini uongo, huwezi kutetea uongo unaouamini, na mimi nimekuzidi hoja, unanilazimisha ninyamaze?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Unaelewa ulichoandika hapo ni "logical non sequitur" ?

Ukweli kwamba haiwezekani ukaamini kitu A ambacho una uthibitisho wacho, haufanyi asiye na uthibitisho na kitu A asihitaji uthibitisho ili kuhakiki kwamba anachoamini ni kweli kipo, na wala si hadithi tu.

Kama Mungu hayupo, ukweli kwamba unaamini Mungu yupo haufanyi Mungu awepo.

Unaelewa hilo?
Kama ulivyosema ya kuwa ukweli unajulikana kwa uthibitisho,kwa hivyo haiwezekani mtu akawa ana uthibitisho na anachokiamini(alichokubali bila uthibitisho) kuwa ni kweli kwa sababu neno kuamini ni hali ya kulikubali jambo bila uthibitisho,kwa hiyo mtu mwenye kuamini kuwepo Mungu pindi apatapo uthibitisho wa kuwepo Mungu,hatuwezi kusema ana uthibitisho wa achoamini(alichokubali bila uthibitisho).

Kama haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo maana yake inatumika dhana tu kusema kitu hakipo na ndio maana hata ushahidi wake unakuwa wa kidhana,je ushahidi wa anachoamini mtu(kukubali bila uthibitisho) utakuwa wa aina gani?
 
Mungu hayupo.

Unaweza kuthibitisha kwamba yupo?

Mkuu,Naomba ufafanuzi hapa and plese nataka uwe more personal, just for knowledge.

1. Kwakuwa mtu hawezi kukumbuka/kunukuu kitu ambacho kamwe hajawahi kukiona/kusikia/kuhisi n.k suala lako la “Mungu hayupo “ naweza sema ni maelezo ambayo anayatoa mtu ambaye tayari Ana tafsiri/ kumbukumbu/Nukuu ya neno “Mungu”tayari kichwani mwake, na hapa ni tafsiri yeyote ile, iwe unamaanisha kitu, mtu, idea etc. Sasa labda tuanze na ipi tafsiri ya neno Mungu uliyonayo wewe kichwani mwako? sababu hilo ndo swali la kwanza kabla ya kwenda kwenye “Mungu yupo/hayupo”. Yaani mfano huwezi kwenda kwenye nyumba ya mtu ukauliza baba yupo? Lakini ukawa hujui maana ya neno baba. So hebu tusaidie Mungu kwako maana yake nini?

2. You seems to be a good fun of science.kisayansi, Tafadhali nataka kujua mtazamo wako kwamba je uovu/ubaya ni ule tu ambao binadamu ndio muathirika? Wanyama na mimea inapoathirika si uovu? Yaani namaanisha kwamba kimbunga/tetemeko/vita/ vinapomuathiri binadamu ndio uovu? Lakini pale ambapo binadamu anakata miti hivyo, anachinja wanyama,anachurudhisha uchafu baharini,anachafua atmosphere huo si uovu/ubaya? Mtazamo wako kisayansi sio kihisia.

3. Na unaposema “dunia yenye mapungufu” what are your standards? Huwa unairinganisha na dunia ipi? What is perfect world according to you?
 
Mimi nina wazo. Tumuache mtoa mada amalize kisha tuanze sasa kujadili na kuhoji. Sasa hapa tukianza kutoa mada juu ya mada nadhani tunaharibu ule mtiririko na pengine tunaweza kukosa ilimu mahususi juu ya mada husika. Mfano, hoja ya kuthibitisha uwepo wa Mungu, Ujio wa Dini katika Afrika na kadhalika visubiri mada ifike mwisho. Au wenzangu great thinkers huko vyuoni waliwafundisha kupandisha mada juu ya mada kabla mtoa mada hajamaliza? Yaani mlifundishwa kudandia treni kwa mbele? Nadhani hata kwa akili na nidhamu ya kawaida tu mtu anapotoa hoja/mada/maoni yake anaachwa amalize ndipo ajibiwe au ahojiwe. Ukimkatiza mtu huwezi jua mwishoni hoja/mada/maoni yake yangeishia kwa mtazamo au mlengo gani. Najua humu kuna wenzangu na miye hata kama hatukusoma Filosofia au yafananayo na hilo tunajua mtu anajibiwa baada ya kuuliza. Pia nadhani katika kanuni za majadiliano (Principles of Discussion/Argument/Debate) mtu anatoa hoja kwanza. Sasa hapa tukileta hoja juu ya hoja, mtoa mada anaanza kujibu hoja zetu badala ya kuandaa mwendelezo wa somo. Matokeo yake tunampotezea muda na hivyo kutucheleweshea mwendelezo wa hii ilimu murua. Nadhani tuache kuwashwawashwa na kudhani tunajua sana kufikiri na kuhoji. Tuache amalize halafu tuanze kushusha madude. Au mnahisi akimaliza atakimbia? Yangu ni hayo tu kwa sasa.
Mada imo humo humo kama Kweli Mungu yupo kwa nn haya yatokee. Hii ni kutaka uthibitisho kama mungu yupo. wewe umetetea kwa hayo uliyosema. kwangu mm kuthibitisha kama yupo au hayupo ni vigumu sana kwa sababu kunaambatana na maswali mengi ambayo kuyajibu ni vigumu
Imani tu ndio jibu pekee!
 
Mkuu,Naomba ufafanuzi hapa and plese nataka uwe more personal, just for knowledge.

1. Kwakuwa mtu hawezi kukumbuka/kunukuu kitu ambacho kamwe hajawahi kukiona/kusikia/kuhisi n.k suala lako la “Mungu hayupo “ naweza sema ni maelezo ambayo anayatoa mtu ambaye tayari Ana tafsiri/ kumbukumbu/Nukuu ya neno “Mungu”tayari kichwani mwake, na hapa ni tafsiri yeyote ile, iwe unamaanisha kitu, mtu, idea etc. Sasa labda tuanze na ipi tafsiri ya neno Mungu uliyonayo wewe kichwani mwako? sababu hilo ndo swali la kwanza kabla ya kwenda kwenye “Mungu yupo/hayupo”. Yaani mfano huwezi kwenda kwenye nyumba ya mtu ukauliza baba yupo? Lakini ukawa hujui maana ya neno baba. So hebu tusaidie Mungu kwako maana yake nini?

2. You seems to be a good fun of science.kisayansi, Tafadhali nataka kujua mtazamo wako kwamba je uovu/ubaya ni ule tu ambao binadamu ndio muathirika? Wanyama na mimea inapoathirika si uovu? Yaani namaanisha kwamba kimbunga/tetemeko/vita/ vinapomuathiri binadamu ndio uovu? Lakini pale ambapo binadamu anakata miti hivyo, anachinja wanyama,anachurudhisha uchafu baharini,anachafua atmosphere huo si uovu/ubaya? Mtazamo wako kisayansi sio kihisia.

3. Na unaposema “dunia yenye mapungufu” what are your standards? Huwa unairinganisha na dunia ipi? What is perfect world according to you?
nilimuuliza hili swali hakujibu. nimesema Mungu ninani. then ndio tuje sasa yupo au hayupo
 
Huyo ni mungu kwa mujibu wa Biblia lakini mungu huyo huyo kaelezewa tofauti na wewe kwa mujibu wa Quran pia mungu huyohuyo kaelezewa tofauti katika Bagavadghita Sutras pia mungu huyo huyo kaelezewa tofauti katika mafundisho ya Zen nk
Kila imani ina namna yake ya kumuelezea mungu hapo kweli kichwa lazima kivurugike
 
Mkuu,Naomba ufafanuzi hapa and plese nataka uwe more personal, just for knowledge.

1. Kwakuwa mtu hawezi kukumbuka/kunukuu kitu ambacho kamwe hajawahi kukiona/kusikia/kuhisi n.k suala lako la “Mungu hayupo “ naweza sema ni maelezo ambayo anayatoa mtu ambaye tayari Ana tafsiri/ kumbukumbu/Nukuu ya neno “Mungu”tayari kichwani mwake, na hapa ni tafsiri yeyote ile, iwe unamaanisha kitu, mtu, idea etc. Sasa labda tuanze na ipi tafsiri ya neno Mungu uliyonayo wewe kichwani mwako? sababu hilo ndo swali la kwanza kabla ya kwenda kwenye “Mungu yupo/hayupo”. Yaani mfano huwezi kwenda kwenye nyumba ya mtu ukauliza baba yupo? Lakini ukawa hujui maana ya neno baba. So hebu tusaidie Mungu kwako maana yake nini?

Shukurani.

Umeuliza swali zuri sana, linaloonesha unapenda tafakari, unafuatilia mambo kwa undani.

Definitions za mambo, katika mjadala wowote, nikitu cha awali kabisa. La sivyo, mnaweza kuzozana hata kama mnasema kitu kimoja, kwa majina tofauti tu.

Ndiyo maana hata Bertrand Russell katika insha yake "Why I amNot A Christian", hajaanza kueleza kwa nini yeye si Mkristo, kaanza kuelezea anaposema Mkristo anamaanisha nini.

Why I Am Not a Christian by Bertrand Russell - The Bertrand Russell Society

Tatizo labda hujapata muda wa kunisoma vizuri tu. Na siwezi kukukosoa kwa hilo, kwa sababu huenda ndiyo unaanza kunisoma karibuni.

Kama tukiendelea kujadiliana kwa umakini huu wa kuanza kum define Mungu, kabla ya kulumbana,t unaweza kunufaishana hata kama hatukubaliani.

Kila ninapoandika kuhusu Mungu, najitahidi sana kum define Mungu gani ninayemuongelea, ili kusudi kusiwe na mtafaruku usio na tija.

Kwa sababu kuna watu wanasema Beyonce ni mungu wao, kwa definition ya kuweza kucheza muziki na kuuza rekodi za muziki. Sasa watu hawa na definition yao hiyo ya kwamba Beyonce ni mungu siwezi kuwabishia kwamba mungu Beyonce yupo.

Mara nyingine narudia definition mara nne katikapost moja, kwa msisitizo.

Ninapoongelea Mungu, naongelea "Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote". Kama umenisoma hapo nyuma utakuwa umeona kwamba ninapoongelea Mungu, najikita kuanzia na huyu Mungu.

2. You seems to be a good fun of science.kisayansi, Tafadhali nataka kujua mtazamo wako kwamba je uovu/ubaya ni ule tu ambao binadamu ndio muathirika? Wanyama na mimea inapoathirika si uovu? Yaani namaanisha kwamba kimbunga/tetemeko/vita/ vinapomuathiri binadamu ndio uovu? Lakini pale ambapo binadamu anakata miti hivyo, anachinja wanyama,anachurudhisha uchafu baharini,anachafua atmosphere huo si uovu/ubaya? Mtazamo wako kisayansi sio kihisia.

Kwanikimbunga na tetemeko haviathiri wanayama?

Kwani wapi nimesema kukata miti na kuchinja wanyama si uovu?

Nimeeleza hapa kwamba, kifo ni uovu. Kwa kiumbe chochote. Mtu, mnyama, mti, bacteria etc.

Na kifo kipo, kama reality of nature. Mnyamahuyu anahitaji ale ili aishi, anamuua mwingine anamla. Hana jinsi. Akisema asile mnyama, atakula mmea, kaua kiumbe pia.

Akisema asile mnyama wala mmea, atakanyaga mjusi. Kaua kiumbe.

Huu ni uovu. Kuua kiumbe chochote ni uovu.

Kwa sababu ninadra sana kukuta kiumbe kinataka kufa, na kikitaka kufa huo ni ubaya pia.

Sasa sawali langu ambalo sijajibiwa nihili, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao kifo kinawezekana, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani.

Ulimwengu ambao hauna tsunami litakalomuua mtu au samaki.

Kwa nini hakuumba hivyo?

Alitaka ila hakuweza? Kama alitaka ila hakuweza, je nikweli ana uwezo wote?

Ama aliweza ila hakutaka? Kama aliweza ila hakutaka, je nikweli ana upendo wote?

3. Na unaposema “dunia yenye mapungufu” what are your standards? Huwa unairinganisha na dunia ipi? What is perfect world according to you?

A perfect world is one without evil. Dunia hii inafikirika, kama unaaminiMungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendowote yupo.

Lakini, ukifikiria kisayansi, kifizikia, kwa kutumia hesabu za entropy, any existence is deviation fromperfection.

The only perfection is non existence.

Yani hata huyo Mungu anayesemwa kuwa yupo, kuwapo kwake tu niimperfection.

The only perfection fromthe perspective of entropy, is nothingness.

Hapo ndipo nakuja kwenye proof yangu kwamba Mungu hayupo.

Perfectin (by entropy) = nothingness

God = perfection

But since perfection = nothingness

God = nothingness

Therefore, God does not exists

QED.
 
Shukurani.

Umeuliza swali zuri sana, linaloonesha unapenda tafakari, unafuatilia mambo kwa undani.

Definitions za mambo, katika mjadala wowote, nikitu cha awali kabisa. La sivyo, mnaweza kuzozana hata kama mnasema kitu kimoja, kwa majina tofauti tu.

Ndiyo maana hata Bertrand Russell katika insha yake "Why I amNot A Christian", hajaanza kueleza kwa nini yeye si Mkristo, kaanza kuelezea anaposema Mkristo anamaanisha nini.

Why I Am Not a Christian by Bertrand Russell - The Bertrand Russell Society

Tatizo labda hujapata muda wa kunisoma vizuri tu. Na siwezi kukukosoa kwa hilo, kwa sababu huenda ndiyo unaanza kunisoma karibuni.

Kama tukiendelea kujadiliana kwa umakini huu wa kuanza kum define Mungu, kabla ya kulumbana,t unaweza kunufaishana hata kama hatukubaliani.

Kila ninapoandika kuhusu Mungu, najitahidi sana kum define Mungu gani ninayemuongelea, ili kusudi kusiwe na mtafaruku usio na tija.

Kwa sababu kuna watu wanasema Beyonce ni mungu wao, kwa definition ya kuweza kucheza muziki na kuuza rekodi za muziki. Sasa watu hawa na definition yao hiyo ya kwamba Beyonce ni mungu siwezi kuwabishia kwamba mungu Beyonce yupo.

Mara nyingine narudia definition mara nne katikapost moja, kwa msisitizo.

Ninapoongelea Mungu, naongelea "Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote". Kama umenisoma hapo nyuma utakuwa umeona kwamba ninapoongelea Mungu, najikita kuanzia na huyu Mungu.



Kwanikimbunga na tetemeko haviathiri wanayama?

Kwani wapi nimesema kukata miti na kuchinja wanyama si uovu?

Nimeeleza hapa kwamba, kifo ni uovu. Kwa kiumbe chochote. Mtu, mnyama, mti, bacteria etc.

Na kifo kipo, kama reality of nature. Mnyamahuyu anahitaji ale ili aishi, anamuua mwingine anamla. Hana jinsi. Akisema asile mnyama, atakula mmea, kaua kiumbe pia.

Akisema asile mnyama wala mmea, atakanyaga mjusi. Kaua kiumbe.

Huu ni uovu. Kuua kiumbe chochote ni uovu.

Kwa sababu ninadra sana kukuta kiumbe kinataka kufa, na kikitaka kufa huo ni ubaya pia.

Sasa sawali langu ambalo sijajibiwa nihili, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao kifo kinawezekana, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani.

Ulimwengu ambao hauna tsunami litakalomuua mtu au samaki.

Kwa nini hakuumba hivyo?

Alitaka ila hakuweza? Kama alitaka ila hakuweza, je nikweli ana uwezo wote?

Ama aliweza ila hakutaka? Kama aliweza ila hakutaka, je nikweli ana upendo wote?



A perfect world is one without evil. Dunia hii inafikirika, kama unaaminiMungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendowote yupo.

Lakini, ukifikiria kisayansi, kifizikia, kwa kutumia hesabu za entropy, any existence is deviation fromperfection.

The only perfection is non existence.

Yani hata huyo Mungu anayesemwa kuwa yupo, kuwapo kwake tu niimperfection.

The only perfection fromthe perspective of entropy, is nothingness.

Hapo ndipo nakuja kwenye proof yangu kwamba Mungu hayupo.

Perfectin (by entropy) = nothingness

God = perfection

But since perfection = nothingness

God = nothingness

Therefore, God does not exists

QED.
Umeshindwa kuonesha uhusiano wa uovu na ulimwengu kuruhusu uovu.
 
Shukurani.

Umeuliza swali zuri sana, linaloonesha unapenda tafakari, unafuatilia mambo kwa undani.

Definitions za mambo, katika mjadala wowote, nikitu cha awali kabisa. La sivyo, mnaweza kuzozana hata kama mnasema kitu kimoja, kwa majina tofauti tu.

Ndiyo maana hata Bertrand Russell katika insha yake "Why I amNot A Christian", hajaanza kueleza kwa nini yeye si Mkristo, kaanza kuelezea anaposema Mkristo anamaanisha nini.

Why I Am Not a Christian by Bertrand Russell - The Bertrand Russell Society

Tatizo labda hujapata muda wa kunisoma vizuri tu. Na siwezi kukukosoa kwa hilo, kwa sababu huenda ndiyo unaanza kunisoma karibuni.

Kama tukiendelea kujadiliana kwa umakini huu wa kuanza kum define Mungu, kabla ya kulumbana,t unaweza kunufaishana hata kama hatukubaliani.

Kila ninapoandika kuhusu Mungu, najitahidi sana kum define Mungu gani ninayemuongelea, ili kusudi kusiwe na mtafaruku usio na tija.

Kwa sababu kuna watu wanasema Beyonce ni mungu wao, kwa definition ya kuweza kucheza muziki na kuuza rekodi za muziki. Sasa watu hawa na definition yao hiyo ya kwamba Beyonce ni mungu siwezi kuwabishia kwamba mungu Beyonce yupo.




Kwanikimbunga na tetemeko haviathiri wanayama?

Kwani wapi nimesema kukata miti na kuchinja wanyama si uovu?

Nimeeleza hapa kwamba, kifo ni uovu. Kwa kiumbe chochote. Mtu, mnyama, mti, bacteria etc.

Na kifo kipo, kama reality of nature. Mnyamahuyu anahitaji ale ili aishi, anamuua mwingine anamla. Hana jinsi. Akisema asile mnyama, atakula mmea, kaua kiumbe pia.

Akisema asile mnyama wala mmea, atakanyaga mjusi. Kaua kiumbe.

Huu ni uovu. Kuua kiumbe chochote ni uovu.

Kwa sababu ninadra sana kukuta kiumbe kinataka kufa, na kikitaka kufa huo ni ubaya pia.

Sasa sawali langu ambalo sijajibiwa nihili, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao kifo kinawezekana, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani.

Ulimwengu ambao hauna tsunami litakalomuua mtu au samaki.

Kwa nini hakuumba hivyo?

Alitaka ila hakuweza? Kama alitaka ila hakuweza, je nikweli ana uwezo wote?

Ama aliweza ila hakutaka? Kama aliweza ila hakutaka, je nikweli ana upendo wote?



A perfect world is one without evil. Dunia hii inafikirika, kama unaaminiMungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendowote yupo.

Lakini, ukifikiria kisayansi, kifizikia, kwa kutumia hesabu za entropy, any existence is deviation fromperfection.

The only perfection is non existence.

Yani hata huyo Mungu anayesemwa kuwa yupo, kuwapo kwake tu niimperfection.

The only perfection fromthe perspective of entropy, is nothingness.

Hapo ndipo nakuja kwenye proof yangu kwamba Mungu hayupo.

Perfectin (by entropy) = nothingness

God = perfection

But since perfection = nothingness

God = nothingness

Therefore, God does not exists

QED.
Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi, ok nakuomba tuanze na NAMBA 1. UMEJIBU "Kila ninapoandika kuhusu Mungu, najitahidi sana kum define Mungu gani ninayemuongelea, ili kusudi kusiwe na mtafaruku usio na tija" well, sijauliza aina ya Mungu unaemuongelea, nimeuliza tafsiri ya neno Mungu na bado hujanipa tafsiri yako binafsi ya neno Mungu ulichofanya ni kuniambia kuwa huwa unamuongelea mungu wa aina gani, mimi sitaki aina nataka straight definition.well tafsiri yenye urahisi na maneno machache, inayoanza na neno Mungu ni................Yaani simpy kwa mfano kama umeulizwa What is Biology? unajibu Biology is the study of living organism. Period!! SIO eti Biology is the type/kind of Biology which deal studies the living organism, au mfano pia umeulizwa mashine ni nini? unajibu mashine ni aina ya mashine ya kusaga. NO! mashine ni kitu kinachorahisha kazi. PERIOD! so please naomba unipe tafsiri ya neno Mungu kwa mujibu wa mtazamo wako.

NAMBA 2. Nature ya swali langu ilikuwa ni lenye kuhitaji jibu la NDIYO au HAPANA. Lakini pia nidokeze tu kuwa maelezo yako umesema kifo ni uovu na umemaanisha kifo chochote kiwe cha binadamu, mnyama au mmea. Nikuombe hili tutaendelea nalo baada ya kuwa umenipa tafsiri yako ya neno Mungu, naomba tuliweke kwenye waiting list.

NAMBA 3. Asante umenipa mtazamo wako kwamba "A perfect world is one without evil. Dunia hii inafikirika"
na nimekuelewa kwamba kwa sababu the world has evils then it is not perfect, and because it is not perfect then aliyeiumba hayupo kwa sababu kama angekuwepo si ana sifa za kuiumba perfect kwanini hajaumba perfect? kwa hiyo hayupo. SI NDIO?

OK WEKA MUNGU PEMBENI KWANZA, KUJIBU HAPA CHINI TUMIA TU UTAALAMU WAKO.
sasa naomba nitoe maeleze kidogo arafu kuna swali mbele la Y/N. Kisayansi kifo ni kifo tu. Na kifo pia ni mwanzo wa uhai mwingine, hata seli za miili yetu hufa ili zingine ziundwe seli haziwezi zikajirundika tu bila kufa ni lazime zife kila sekunde. ikiwa kwamba binadamu, wanyama na mimea na vyote vilivyo hai ni wakazi wa hii dunia (both are citizens of the planet earth) sayansi inatambua hivyo. QUESTION, Hii kuweka kifo kama sign of imperfectness of the world unayoina wewe kama binadamu unahisi simba au panya etc. nao wanaiona?? kama jibu lako ni hapana ukiwa na maana kwamba ni binadamu pekee ndio aneyeiona dunia hii ni imperfect because ina vifo na anasikia uchungu, then you are too naive and selfish kuignore viumbe wengine kwamba ni binadamu tu ndio una hakimiliki ya dunia hii what about other millions of species? ambao nao wana utashi and they passive the world kama wewe (refer ecology, ecosystem) kisayansi kifo ni kifo tu kiwe cha panya au mtu. Na kama jibu lako ni Ndiyo kwamba viumbe wengine nao wanaona imperfectines then it means kifo ni fair, kifo is not evil and if it is not evil then it doesn't make the world imperfect because there is something good comes out of it, there fore it is perfect. Then ukijibu tutarudi kwa Mungu,,,
 
Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi, ok nakuomba tuanze na NAMBA 1. UMEJIBU "Kila ninapoandika kuhusu Mungu, najitahidi sana kum define Mungu gani ninayemuongelea, ili kusudi kusiwe na mtafaruku usio na tija" well, sijauliza aina ya Mungu unaemuongelea, nimeuliza tafsiri ya neno Mungu na bado hujanipa tafsiri yako binafsi ya neno Mungu ulichofanya ni kuniambia kuwa huwa unamuongelea mungu wa aina gani, mimi sitaki aina nataka straight definition.well tafsiri yenye urahisi na maneno machache, inayoanza na neno Mungu ni................Yaani simpy kwa mfano kama umeulizwa What is Biology? unajibu Biology is the study of living organism. Period!! SIO eti Biology is the type/kind of Biology which deal studies the living organism, au mfano pia umeulizwa mashine ni nini? unajibu mashine ni aina ya mashine ya kusaga. NO! mashine ni kitu kinachorahisha kazi. PERIOD! so please naomba unipe tafsiri ya neno Mungu kwa mujibu wa mtazamo wako.

NAMBA 2. Nature ya swali langu ilikuwa ni lenye kuhitaji jibu la NDIYO au HAPANA. Lakini pia nidokeze tu kuwa maelezo yako umesema kifo ni uovu na umemaanisha kifo chochote kiwe cha binadamu, mnyama au mmea. Nikuombe hili tutaendelea nalo baada ya kuwa umenipa tafsiri yako ya neno Mungu, naomba tuliweke kwenye waiting list.

NAMBA 3. Asante umenipa mtazamo wako kwamba "A perfect world is one without evil. Dunia hii inafikirika"
na nimekuelewa kwamba kwa sababu the world has evils then it is not perfect, and because it is not perfect then aliyeiumba hayupo kwa sababu kama angekuwepo si ana sifa za kuiumba perfect kwanini hajaumba perfect? kwa hiyo hayupo. SI NDIO?

OK WEKA MUNGU PEMBENI KWANZA, KUJIBU HAPA CHINI TUMIA TU UTAALAMU WAKO.
sasa naomba nitoe maeleze kidogo arafu kuna swali mbele la Y/N. Kisayansi kifo ni kifo tu. Na kifo pia ni mwanzo wa uhai mwingine, hata seli za miili yetu hufa ili zingine ziundwe seli haziwezi zikajirundika tu bila kufa ni lazime zife kila sekunde. ikiwa kwamba binadamu, wanyama na mimea na vyote vilivyo hai ni wakazi wa hii dunia (both are citizens of the planet earth) sayansi inatambua hivyo. QUESTION, Hii kuweka kifo kama sign of imperfectness of the world unayoina wewe kama binadamu unahisi simba au panya etc. nao wanaiona?? kama jibu lako ni hapana ukiwa na maana kwamba ni binadamu pekee ndio aneyeiona dunia hii ni imperfect because ina vifo na anasikia uchungu, then you are too naive and selfish kuignore viumbe wengine kwamba ni binadamu tu ndio una hakimiliki ya dunia hii what about other millions of species? ambao nao wana utashi and they passive the world kama wewe (refer ecology, ecosystem) kisayansi kifo ni kifo tu kiwe cha panya au mtu. Na kama jibu lako ni Ndiyo kwamba viumbe wengine nao wanaona imperfectines then it means kifo ni fair, kifo is not evil and if it is not evil then it doesn't make the world imperfect because there is something good comes out of it, there fore it is perfect. Then ukijibu tutarudi kwa Mungu,,,
Mungu yupi sasa?

Watu tofauti wanaweza kukuambia Mungu ni huyu au yule kwa definitions tofauti.

Sasa wewe unapoongelea Mungu unaongelea nini?

Maana wanaomuita Beyonce Mungu kwa definition yao siwezi kuwapinga kwamba Mungu hayupo, kwa nujibu wa definition yao.

Ndiyo maana naanza kwa kueleza kuhusu "Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote".

Kwa huyu, nasema:-

Mungu ni wazo lililo katika vichwa vya baadhi ya watu, ambalo halina uhalisi zaidi ya kuwa wazo tu.

Wazo hili halina uhalisia kwa sababu lina contradictions zisizotatulika, kuanzia ngazi ya wazo tu, na hivyo haliwezi kuwapo katika uhalisi.

Contradiction kubwa ni ukweli kwamba, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kaumbaje ulimwengu unaoruhusu mabaya mengi, wakati alikuwa ana uwezo, ujuzi na upendo wa kuumba ulimwengu ambai mabaya siyo tu hayawezekani kufanyika, bali pia hayawezekani hata kufikirika kwa sababu hayapo kabisa?

Mungu huyu ni sawa na wazo la "Pembetatu yenye pembe nne" katika Euclidean geometry planes.

Unaweza kuwaza wazo hilo.

Lakini ukweli kwamba unaweza kuwaza "pembetatu yenye pembe nne" haufanyi pembe tatu yenye pembe nne iwepo kwenye uhalisia.
 
Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi, ok nakuomba tuanze na NAMBA 1. UMEJIBU "Kila ninapoandika kuhusu Mungu, najitahidi sana kum define Mungu gani ninayemuongelea, ili kusudi kusiwe na mtafaruku usio na tija" well, sijauliza aina ya Mungu unaemuongelea, nimeuliza tafsiri ya neno Mungu na bado hujanipa tafsiri yako binafsi ya neno Mungu ulichofanya ni kuniambia kuwa huwa unamuongelea mungu wa aina gani, mimi sitaki aina nataka straight definition.well tafsiri yenye urahisi na maneno machache, inayoanza na neno Mungu ni................Yaani simpy kwa mfano kama umeulizwa What is Biology? unajibu Biology is the study of living organism. Period!! SIO eti Biology is the type/kind of Biology which deal studies the living organism, au mfano pia umeulizwa mashine ni nini? unajibu mashine ni aina ya mashine ya kusaga. NO! mashine ni kitu kinachorahisha kazi. PERIOD! so please naomba unipe tafsiri ya neno Mungu kwa mujibu wa mtazamo wako.

NAMBA 2. Nature ya swali langu ilikuwa ni lenye kuhitaji jibu la NDIYO au HAPANA. Lakini pia nidokeze tu kuwa maelezo yako umesema kifo ni uovu na umemaanisha kifo chochote kiwe cha binadamu, mnyama au mmea. Nikuombe hili tutaendelea nalo baada ya kuwa umenipa tafsiri yako ya neno Mungu, naomba tuliweke kwenye waiting list.

NAMBA 3. Asante umenipa mtazamo wako kwamba "A perfect world is one without evil. Dunia hii inafikirika"
na nimekuelewa kwamba kwa sababu the world has evils then it is not perfect, and because it is not perfect then aliyeiumba hayupo kwa sababu kama angekuwepo si ana sifa za kuiumba perfect kwanini hajaumba perfect? kwa hiyo hayupo. SI NDIO?

OK WEKA MUNGU PEMBENI KWANZA, KUJIBU HAPA CHINI TUMIA TU UTAALAMU WAKO.
sasa naomba nitoe maeleze kidogo arafu kuna swali mbele la Y/N. Kisayansi kifo ni kifo tu. Na kifo pia ni mwanzo wa uhai mwingine, hata seli za miili yetu hufa ili zingine ziundwe seli haziwezi zikajirundika tu bila kufa ni lazime zife kila sekunde. ikiwa kwamba binadamu, wanyama na mimea na vyote vilivyo hai ni wakazi wa hii dunia (both are citizens of the planet earth) sayansi inatambua hivyo. QUESTION, Hii kuweka kifo kama sign of imperfectness of the world unayoina wewe kama binadamu unahisi simba au panya etc. nao wanaiona?? kama jibu lako ni hapana ukiwa na maana kwamba ni binadamu pekee ndio aneyeiona dunia hii ni imperfect because ina vifo na anasikia uchungu, then you are too naive and selfish kuignore viumbe wengine kwamba ni binadamu tu ndio una hakimiliki ya dunia hii what about other millions of species? ambao nao wana utashi and they passive the world kama wewe (refer ecology, ecosystem) kisayansi kifo ni kifo tu kiwe cha panya au mtu. Na kama jibu lako ni Ndiyo kwamba viumbe wengine nao wanaona imperfectines then it means kifo ni fair, kifo is not evil and if it is not evil then it doesn't make the world imperfect because there is something good comes out of it, there fore it is perfect. Then ukijibu tutarudi kwa Mungu,,,
Kuhusu kifo.

Kitu kinachosemwa kuwa ni kibaya, kama nikibaya, kikitokea kwa ajali. Bila kupangwa. Kinaacha kuwa kibaya, kwa sababu hakikupangwa?
 
Anajaribu kunielewesha nini? Mbona hanijibu maswali yangu? Atanielewesha vipi bila kuweza kujibu maswali niliyo nayo?

Unajuaje kwamba ana uwezowa kunielewesha mimi ikiwa maswali yangu hawezi kuyajibu?
Maswali yako nilishayajibu tena kwa kina nami nikakuuliza yakwangu ukashindwa unaleta ujuaji tu. Mkuu huna jipya. Uliza mambo mengine, ya Mungu tushakujibu.
 
Maswali yako nilishayajibu tena kwa kina nami nikakuuliza yakwangu ukashindwa unaleta ujuaji tu. Mkuu huna jipya. Uliza mambo mengine, ya Mungu tushakujibu.
Maswali gani? Umeyajibu wapi?

Huu ni ulimwengu wa evidence, proof, hyperlinks.

Weka linkhapa tuone kama ulijibu au ulijinibu.
 
Mungu yupi sasa?

Watu tofauti wanaweza kukuambia Mungu ni huyu au yule kwa definitions tofauti.

Sasa wewe unapoongelea Mungu unaongelea nini?

Maana wanaomuita Beyonce Mungu kwa definition yao siwezi kuwapinga kwamba Mungu hayupo, kwa nujibu wa definition yao.

Ndiyo maana naanza kwa kueleza kuhusu "Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote".

Kwa huyu, nasema:-

Mungu ni wazo lililo katika vichwa vya baadhi ya watu, ambalo halina uhalisi zaidi ya kuwa wazo tu.

Wazo hili halina uhalisia kwa sababu lina contradictions zisizotatulika, kuanzia ngazi ya wazo tu, na hivyo haliwezi kuwapo katika uhalisi.

Contradiction kubwa ni ukweli kwamba, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kaumbaje ulimwengu unaoruhusu mabaya mengi, wakati alikuwa ana uwezo, ujuzi na upendo wa kuumba ulimwengu ambai mabaya siyo tu hayawezekani kufanyika, bali pia hayawezekani hata kufikirika kwa sababu hayapo kabisa?

Mungu huyu ni sawa na wazo la "Pembetatu yenye pembe nne" katika Euclidean geometry planes.

Unaweza kuwaza wazo hilo.

Lakini ukweli kwamba unaweza kuwaza "pembetatu yenye pembe nne" haufanyi pembe tatu yenye pembe nne iwepo kwenye uhalisia.
mbona unakwepa hili swali ambalo hata mimi nilikuuliza? Mungu ninani? ukiweza kujibu hilo tu na hayo mengine yanajijibu yenyewe.
 
Back
Top Bottom