Bibi na Meneja wa Benki

Bibi na Meneja wa Benki

jrmlaurence

Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
80
Reaction score
57
Bibi kizee mmoja alikwenda benki moja maarufu sana hapa nchini ili kuweka fedha
zake. Alipofika mapokezi aliuliza."Naomba kumwona meneja mkuu wa benki
hii"Mfanyakazi wa mapokezi akamuuliza,"Unataka kumuona kwa shida
gani?""Nataka kufungua akaunti" akajibu bibi"Akaunti inafunguliwa hapa hapa mapokezi, sio kwa meneja" akajibu mtu wa mapokezi.
"Mimi nataka kufungua akaunti ofisini kwa meneja maana nina pesa nyingi sana hapa" akasisitiza yule
bibi kizee"Hata hapa unawezxa kufungua kwa pesa hizo zote na zitakuwa kwenye
usalama tu"
" Kama hutaki kunuruhusu kufungulia kwa meneja, basi nakwenda kufungua kwenye benki nyingine" akasema
bibi huku akiwa amechukia.Kuona hivyo, mfanyakazi wa mapokezi akaamua kumpeleka kwa meneja.
"Kwa nini mmeshindwa kumfungulia akaunti huko mapokezi" akauliza meneja"Amesema lazima afungulie kwako na nilipomsisitiza afungulie mapokezi alitaka kuondoka"Basi meneja akaamua amfungulie yeye
akaunti. Bibi akazitoa pesa, zilikuwa shilingi milioni kumi taslimu! hadi meneja akashangaa na kumuuliza,"Bibi
inaonekana pesa hizi umezidunduliza kwa muda mrefu sana ee""Hapana, nimezipata juzi juzi tu""Umezipataje?""Kwa kupinga na mtu""Kweli? kupinga tu hadi ukapata pesa zote hizo?""Yaah, nimepinga tu. Tena hata na wewe tunaweza kupinga tu
""Ehe,tunaweza kupinga vipi" akauliza meneja kwa udadisi. "Kwa mfano, tunaweza kupinga kuwa kesho saa kama hizi, pumbu zako zitakuwa za square yaani
pembe nne.
Kama zikiwa hivyo, wewe utanipa milioni kumi na zisipobadilika mimi nitakupa hizo zangu"Meneja kusikia
hivyo, akakubali mara moja na wakapinga. Bibi kizee akaondoka.
Meneja alibaki akiwa na wasiwasi sana , hadi alipotoka ofisini kila mara alikuwa anazishika
pumbu zake kuona kama zimebadilika.Hadi siku iliyofuata asubuhi bado pumbu zake zilikuwa kama kawaida. Saa nne asubuhi bibi kizee alifika benkikwa meneja akiwa ameongozana na jamaa mmoja
nyuma yake.
"Ehe naona bibi umekuja" meneja akasema huku akiwa nawasiwasi. Mara moja akatoka kwenda
chooni kuhakikisha kama pumbu zake ziko sawasawa. Akakuta hazijabadilika, akarudi mara moja ofisini kwake.

"Haya bibi, pumbu zangu hazijabadilika, ehe, si unaona ziko sawasawa? nimekushinda!" akasema meneja kwa kutamba. Bibi kizee akamsogelea meneja na kumwambia kwa sauti ya chini chini.

"Sawa baba lakini mimi nitahakikishaje?" "Njoo tu uzishike" akasema meneja."Sawa lakini lazima
uvue suruali nizishike pumbu zako nihakikishe" alisema bibi.Meneja akavuaMeneja akavua
suruali na bibi kizee akaanza kuzichezea pumbu zake.Wakati akiendelea
kuzichezea (zilikuwa hazijabadilika) yule mtu aliyeongozana na bibi alikuwa
anajibamiza ukutani kwa nyuma. Meneja akashangaa na kumuuliza bibi."Mbona
huyo jamaa uliyekuja naye anajibamiza ukutani? huoni ataumia?"

"Heh he heee!
huyo KALIWA!!" alisema bibi na kuendelea, "Nilipinga naye jana kuwa leo hii saa nne
nitakuwa nazichezea pumbu za menejawa benki kubwa hapa nchini, akakataa eti
siwezi.

Tulipinga
shilingi MILIONI ISHIRINI! hivi anakwenda
kuzitoa baba!

"Meneja akachukua milioni kumi za bibi alizopinga na bibi, na bibi akabaki na milioni ishirini za yule jamaa!
Bibi wa kizazi kipya huyo.
 
Bibi kizee mmoja alikwenda benki moja maarufu sana hapa nchini ili kuweka fedha
zake. Alipofika mapokezi aliuliza."Naomba kumwona meneja mkuu wa benki
hii"Mfanyakazi wa mapokezi akamuuliza,"Unataka kumuona kwa shida
gani?""Nataka kufungua akaunti" akajibu bibi"Akaunti inafunguliwa hapa hapa mapokezi, sio kwa meneja" akajibu mtu wa mapokezi.
"Mimi nataka kufungua akaunti ofisini kwa meneja maana nina pesa nyingi sana hapa" akasisitiza yule
bibi kizee"Hata hapa unawezxa kufungua kwa pesa hizo zote na zitakuwa kwenye
usalama tu"
" Kama hutaki kunuruhusu kufungulia kwa meneja, basi nakwenda kufungua kwenye benki nyingine" akasema
bibi huku akiwa amechukia.Kuona hivyo, mfanyakazi wa mapokezi akaamua kumpeleka kwa meneja.
"Kwa nini mmeshindwa kumfungulia akaunti huko mapokezi" akauliza meneja"Amesema lazima afungulie kwako na nilipomsisitiza afungulie mapokezi alitaka kuondoka"Basi meneja akaamua amfungulie yeye
akaunti. Bibi akazitoa pesa, zilikuwa shilingi milioni kumi taslimu! hadi meneja akashangaa na kumuuliza,"Bibi
inaonekana pesa hizi umezidunduliza kwa muda mrefu sana ee""Hapana, nimezipata juzi juzi tu""Umezipataje?""Kwa kupinga na mtu""Kweli? kupinga tu hadi ukapata pesa zote hizo?""Yaah, nimepinga tu. Tena hata na wewe tunaweza kupinga tu
""Ehe,tunaweza kupinga vipi" akauliza meneja kwa udadisi. "Kwa mfano, tunaweza kupinga kuwa kesho saa kama hizi, pumbu zako zitakuwa za square yaani
pembe nne.
Kama zikiwa hivyo, wewe utanipa milioni kumi na zisipobadilika mimi nitakupa hizo zangu"Meneja kusikia
hivyo, akakubali mara moja na wakapinga. Bibi kizee akaondoka.
Meneja alibaki akiwa na wasiwasi sana , hadi alipotoka ofisini kila mara alikuwa anazishika
pumbu zake kuona kama zimebadilika.Hadi siku iliyofuata asubuhi bado pumbu zake zilikuwa kama kawaida. Saa nne asubuhi bibi kizee alifika benkikwa meneja akiwa ameongozana na jamaa mmoja
nyuma yake.
"Ehe naona bibi umekuja" meneja akasema huku akiwa nawasiwasi. Mara moja akatoka kwenda
chooni kuhakikisha kama pumbu zake ziko sawasawa. Akakuta hazijabadilika, akarudi mara moja ofisini kwake.

"Haya bibi, pumbu zangu hazijabadilika, ehe, si unaona ziko sawasawa? nimekushinda!" akasema meneja kwa kutamba. Bibi kizee akamsogelea meneja na kumwambia kwa sauti ya chini chini.

"Sawa baba lakini mimi nitahakikishaje?" "Njoo tu uzishike" akasema meneja."Sawa lakini lazima
uvue suruali nizishike pumbu zako nihakikishe" alisema bibi.Meneja akavuaMeneja akavua
suruali na bibi kizee akaanza kuzichezea pumbu zake.Wakati akiendelea
kuzichezea (zilikuwa hazijabadilika) yule mtu aliyeongozana na bibi alikuwa
anajibamiza ukutani kwa nyuma. Meneja akashangaa na kumuuliza bibi."Mbona
huyo jamaa uliyekuja naye anajibamiza ukutani? huoni ataumia?"

"Heh he heee!
huyo KALIWA!!" alisema bibi na kuendelea, "Nilipinga naye jana kuwa leo hii saa nne
nitakuwa nazichezea pumbu za menejawa benki kubwa hapa nchini, akakataa eti
siwezi.

Tulipinga
shilingi MILIONI ISHIRINI! hivi anakwenda
kuzitoa baba!

"Meneja akachukua milioni kumi za bibi alizopinga na bibi, na bibi akabaki na milioni ishirini za yule jamaa!
Bibi wa kizazi kipya huyo.

Hii kitu iko humu ndani, ni vema tukawa na utamaduni wa kutambua michango ya waliotangulia kupost vitu mbalimbali humu jamvini badala ya kurudia kupost as if ni original posts. Kama aliyepost sasa ndiye aliyeipost miaka ile, atanisamehe, lakini awe mbunifu badala ya kurudia kazi.
 
Hii kitu iko humu ndani, ni vema tukawa na utamaduni wa kutambua michango ya waliotangulia kupost vitu mbalimbali humu jamvini badala ya kurudia kupost as if ni original posts. Kama aliyepost sasa ndiye aliyeipost miaka ile, atanisamehe, lakini awe mbunifu badala ya kurudia kazi.
Hii mimi ndo nilipost zamani
 
Bibi mtaalam kweli, Kapata kitita cha pesa na bado kainjoi kumtomasa meneja
 
double closing bt its gud to the infant members, baba umeweza
 
Hii kitu iko humu ndani, ni vema tukawa na utamaduni wa kutambua michango ya waliotangulia kupost vitu mbalimbali humu jamvini badala ya kurudia kupost as if ni original posts. Kama aliyepost sasa ndiye aliyeipost miaka ile, atanisamehe, lakini awe mbunifu badala ya kurudia kazi.

We KOMBO kwel umeenda kombo..michango ya walio pita cye twaja tutaijueaje...fanya feasibility study kabla huja ropoka,na kama ulisha isoma we chapa mguu achia na cc wagen tujifunze.
 
We KOMBO kwel umeenda kombo..michango ya walio pita cye twaja tutaijueaje...fanya feasibility study kabla huja ropoka,na kama ulisha isoma we chapa mguu achia na cc wagen tujifunze.

Utaijua michango iliyopita kwa kusoma post za zamani huko nyuma, kwani post zote hizo hazijafutwa, ila watu mnapenda kusoma ukurasa huu wa kwanza mkiona haipo mnajua ndo haijawahi kuwepo hapa. mnatupotezea muda kusoma soma mara mbili halafu unajifanya ndo umeleta wewe, wakati ilisha expire.

Me naunga mkono hoja ya Kombo, watu tuwe tunasoma post zilizopita kwanza kabla haujarudia ku post posted post.

Nawasilisha.
 
We KOMBO kwel umeenda kombo..michango ya walio pita cye twaja tutaijueaje...fanya feasibility study kabla huja ropoka,na kama ulisha isoma we chapa mguu achia na cc wagen tujifunze.

Nisamehe sana Mkuu!
 
Unaona sasa? Mtu hapo alikuwa anajichukulia credits kiulaini kabisa!
ndo hivo mkuu,baadaye unaona michuzi naye kaweka halafu haandiki source,ila sometimes hatimiliki ingewezekana
ni mhimu ili watu waheshimu mawazo ya wengine
 
Back
Top Bottom