maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,505
- 6,440
Hali ya biashara sio nzuri kabisa...nimeona vitu hivi nikajifikiria sana
1.watu wengi sana wanafungua biashara
then soon wanafunga,biashara nyingi zinaigwa
2. biashara ya daladala zimedoda sana mida ya saa tatu hadi saa tisa
3.ugonjwa umechangia sana...watu hawatoki hovyo, nahisi kama una mkopo bank uchangamke
4 hali hii ikiendela kwa atleast mwaka lazma serikali ipanic na wananchi wa hali ya chini nao wapanic
5 Nahofia sana usalama wa baadhi ya watu na mali zao, na machafuko in the future...hii inaweza hata leta vita
1.watu wengi sana wanafungua biashara
then soon wanafunga,biashara nyingi zinaigwa
2. biashara ya daladala zimedoda sana mida ya saa tatu hadi saa tisa
3.ugonjwa umechangia sana...watu hawatoki hovyo, nahisi kama una mkopo bank uchangamke
4 hali hii ikiendela kwa atleast mwaka lazma serikali ipanic na wananchi wa hali ya chini nao wapanic
5 Nahofia sana usalama wa baadhi ya watu na mali zao, na machafuko in the future...hii inaweza hata leta vita