Tripp
JF-Expert Member
- Feb 2, 2018
- 899
- 1,543
Habari wadau naombeni ushauri...
Mimi ni kijana ila Mungu alinijalia ajira ya muda mfupi nikapata pesa nyingi. Sasa nimefungua biashara 2 hapa Dar na zinanilipa, ila tatizo kubwa ni kwamba familia na wanandugu wamekuwa wakifanya kama mali za ukoo.
Kutwa kucha wana matatizo na wamekuwa wakienda hata kama sipo wanachukua pesa kwa waajiri kwa kigezo cha kaka, dada au mjomba n.k
Nifanyaje?
Mimi ni kijana ila Mungu alinijalia ajira ya muda mfupi nikapata pesa nyingi. Sasa nimefungua biashara 2 hapa Dar na zinanilipa, ila tatizo kubwa ni kwamba familia na wanandugu wamekuwa wakifanya kama mali za ukoo.
Kutwa kucha wana matatizo na wamekuwa wakienda hata kama sipo wanachukua pesa kwa waajiri kwa kigezo cha kaka, dada au mjomba n.k
Nifanyaje?