biashara yangu mpya... karibuni!

biashara yangu mpya... karibuni!

kabanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
37,506
Reaction score
18,872
Biashara yangu mpya hii, karibuni tunatoa huduma nzuri

kupelekwa.jpg
 
hizi ni kazi za watu wavivu! Usitegemee kutoka kwenye umaskini.na kama unampeleka km 100 gharama ni sawa na mt 100?
 
Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana
 
ina mana unajua kila kona ya jiji?
 
Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana
Mkuu Kwanini usiianzishie thread hii mada kule kwenye jukwaa la uchumi ili iwe rahisi kupata wachangiaji kuliko kuwa kama comment?
 
Kaa huko huko uendelee Kula burger na vitu vya ice land bongo tunanunua mchina
 
Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana

unakiasi gani usaudiwe...?
 
Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana
Npm no yko tuchekiane


Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
no yangu hiii +447424717136 kaka au hata ww naweza kuku check nitumie yakwako
 
Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana

Vile vitu vinavyotupwa barabarani ndio unavitafutia soko. He he he! Kweli we mjasiriamali
 
uwezo wangu nnawezo wakupakia conntener ya 40fit baskel,freezer tv. navitu mbali mbali kama microwave
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom