unaitwa nani?
Kumbe biashara yako huijui. nilitegemea baada ya kuuliza ungedai malipo badala yake unatoa povujina unaliona au wataka nini? hamkawii kwenda jiji au tra nyie....
Mkuu Kwanini usiianzishie thread hii mada kule kwenye jukwaa la uchumi ili iwe rahisi kupata wachangiaji kuliko kuwa kama comment?Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana
Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana
Npm no yko tuchekianeHabari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana
kaka bado nipo huku ndio nataka kupakia mzigo ila ndio nahitaji ushauri juu yahiyo biasharatuma pesa uambiwe...
kaka burger zinatumaliza kabisa tunahitaji kurudi nyumbani sasa kuweka mambo sawa tupeni ushauri tulete niniKaa huko huko uendelee Kula burger na vitu vya ice land bongo tunanunua mchina
Kumbe biashara yako huijui. nilitegemea baada ya kuuliza ungedai malipo badala yake unatoa povu
Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana