Biashara yadhahabu

stepper

Senior Member
Aug 7, 2013
112
56
Habari wanajamvi. Naomba wenye taarifa naujuzi kwenye biashara yakununuwa udongo wenye chembe zadhahabu nakuufanyia processing mpaka ipatikane dhahabu . Hii biashara inalipa kiasi gani kama faida? Unaweza kuanza namtaji washillingi ngapi? Process yote mpaka ipatikane dhahabu inachukua mda gani? Soko lakuuziya dhahabu linapatikani raisi? Changamoto zabiashara hii nizipi? Shukurani kwawote watakayechangia

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Take care na hii biashara mana unaweza uziwa goroli iliopakwa rangi ya dhahabu
 
Mkuu hii kazi, karibu nyamongo tarime kuna biashara hii na itawahi kukutoa kimaisha kwani inapatikana kwa wingi kila siku ya Mungu.MTAJI_katiya 10 mpaka 20 milion tzs. Material zote za kuchenjulia zinapatikana kiulaini. Soko hupatikana dakika kumi baada ya kumaliza pros's za uandaaji.
 
Mkuu hii kazi, karibu nyamongo tarime kuna biashara hii na itawahi kukutoa kimaisha kwani inapatikana kwa wingi kila siku ya Mungu.MTAJI_katiya 10 mpaka 20 milion tzs. Material zote za kuchenjulia zinapatikana kiulaini. Soko hupatikana dakika kumi baada ya kumaliza pros's za uandaaji.
Mkuu bei kwa gramu ikoje huko?? Asilimia yake ikoje??
 
1-Soko la dhahbu siyo tatizo, but tatizo ni bei ukizingatia kwasasa bei ilivyo chini.
2- Bei hutofautiana, na inategemea unamuuzia nani na wapi, Taita/Broker/Wahindi/Sonara ama unasafirisha nje.
3- Vile vile bei hutegemea kiwango cha dhahabu kwa asilimia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom