Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,200
- 79,651
Fika ofisi za Airtel mkuu utapata router kwa laki na 15 kisha utakuwa unalipia elfu 70 Kila mwezi mkuuGeita
Fika ofisi za Airtel mkuu utapata router kwa laki na 15 kisha utakuwa unalipia elfu 70 Kila mwezi mkuuGeita
Hivi watu wenye cables pekee za internet si ni TTCL(internet distribution network)?kucontrol matumizi nimepitia sehemu mbalimbali nimeona namna bora ya kucontrol hata kwa wale wanaoscan na kutaka kutumia bure hilo naliweza
Vipi inauelekeo kidogo na nini changamoto yakeNdio mkuu
Mkuu, wewe ni MWANA CCM?Mbona Mimi sikamatwi
Kwa sasa nakushauri chukua zile za yas za 99k naona zile hazisumbui ila za Airtel now Zina usumbufu sana kwa hapa dar es salaam sijajua huko mkoaniVipi inauelekeo kidogo na nini changamoto yake
Hivi watu wenye cables pekee za internet si ni TTCL(internet distribution network)
Dah! HapanaMkuu, wewe ni MWANA CCM?
Wapo wengi mnoHivi watu wenye cables pekee za internet si ni TTCL(internet distribution network)?
Shida kuu ni nini? Internet au kuna kingine?Kwa sasa nakushauri chukua zile za yas za 99k naona zile hazisumbui ila za Airtel now Zina usumbufu sana kwa hapa dar es salaam sijajua huko mkoani
Shukrani mzeeFika ofisi za Airtel mkuu utapata router kwa laki na 15 kisha utakuwa unalipia elfu 70 Kila mwezi mkuu
Na network yao ikoje in case mfanyabiashara ana focus ku distribute eneo kubwaWapo wengi mno
Mitaa ya Dar es salaam, saiz huu ndio mchongo kwa watu wenye nazo kwenye ofisi zao, unalipa buku unatumia 24hrs.Fika ofisi za Airtel mkuu utapata router kwa laki na 15 kisha utakuwa unalipia elfu 70 Kila mwezi mkuu
Speed yake huwa inakuwa ndogo mnoShida kuu ni nini? Internet au kuna kingine?
Exactly 💯 mkuu Raha sana hii Mishe Tena mtu anatumia hadi anachoka mwenyeweMitaa ya Dar es salaam, saiz huu ndio mchongo kwa watu wenye nazo kwenye ofisi zao, unalipa buku unatumia 24hrs.
Wanakusanya buku buku za kutosha kila siku.
Kama unataka uliteke eneo kubwa ili usipate changamoto ya speed inabidi ulipie kile cha mbps 100 ili internet isiwe slow sanaNa network yao ikoje in case mfanyabiashara ana focus ku distribute eneo kubwa
Sahihi zinawaokoa sana watu wakaribu, tofaut na kuunga bundle la kawaida.Exactly 💯 mkuu Raha sana hii Mishe Tena mtu anatumia hadi anachoka mwenyewe
Kabisa mkuu sema wale jamaa wakija kutuhujumu upande huu watazingua mnoSahihi zinawaokoa sana watu wakaribu, tofaut na kuunga bundle la kawaida.
mimi nko kondoa mjin naona 4G network ndio iiyopo kwa mitandao yote kwa iyo nikinunua airtel 5G router haitanisumbua networkKama utachukua router check network kulingana mazingira yako kama mitandao yote iko powa check airtel router ndo best kwa sasaa. kuhusu kucontrol matumiz walisiana nao watakuelezea its possible
Haisumbuimimi nko kondoa mjin naona 4G network ndio iiyopo kwa mitandao yote kwa iyo nikinunua airtel 5G router haitanisumbua network