ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,110
- 3,481
Nawasalimu waungwana.
Nimetenga kiasi cha pesa 10m niweze jiajiri kwa kuuza vitu vya ndani kama ma carpet, ma duvet, mito, mapazia like kama unavyoyaona maduka ya home shopping center.
Nachoomba kutoka kwenu ni ABC ya biashara hii. Je nitatoboa? Location ni Sinza karibu ya Palestina.
Mwenye ufahamu wa biashara hii basi tujuzane.
Karibuni.
Nimetenga kiasi cha pesa 10m niweze jiajiri kwa kuuza vitu vya ndani kama ma carpet, ma duvet, mito, mapazia like kama unavyoyaona maduka ya home shopping center.
Nachoomba kutoka kwenu ni ABC ya biashara hii. Je nitatoboa? Location ni Sinza karibu ya Palestina.
Mwenye ufahamu wa biashara hii basi tujuzane.
Karibuni.