Asante na Mimi nilikuwa natafuta hili chimbonakushauri mtafute mpemba aliyekaribu na wewe utapata majibu.....mim nitakusaidia kukuonesha chimbo lake KARIAKOO, machimbo yapo matatu tu,japo maduka yako mengi yanayouza hivyo vifaa, chimbo la kwazwa nenda duka la KIMJI mnazi mmoja, nenda kwa AZANI nimesahau mtaa wake japo watu wanapenda kuita Dubai ndogo kule nenda kwa OMARY BONGE mtaa wa tandamti,
Du DSM kubwa ...Dubai!?Nakushauri mtafute mpemba aliyekaribu na wewe utapata majibu.....mim nitakusaidia kukuonesha chimbo lake KARIAKOO, machimbo yapo matatu tu,japo maduka yako mengi yanayouza hivyo vifaa, chimbo la kwazwa nenda duka la KIMJI mnazi mmoja, nenda kwa AZANI nimesahau mtaa wake japo watu wanapenda kuita Dubai ndogo kule nenda kwa OMARY BONGE mtaa wa tandamti,
Kama unahitajia nikupe namba ya ndugu yangu ye yupo kariakoo ana maduka 4 anauza jumla hutojuta.
Tunahitaji jmn naomba numberKama unahitajia nikupe namba ya ndugu yangu ye yupo Kariakoo ana maduka 4 anauza jumla hutojuta.
asa kama hahitaji angeanzisha thread hii?Kama unahitajia nikupe namba ya ndugu yangu ye yupo Kariakoo ana maduka 4 anauza jumla hutojuta.
asa kama hahitaji angeanzisha thread hii?
Na mimi naomba nambaKama unahitajia nikupe namba ya ndugu yangu ye yupo Kariakoo ana maduka 4 anauza jumla hutojuta.