Habari,
Biashara ya viatu na pochi za kisistaduu zinalipa kwa Mbagala Rangitatu?
Natumai kuanzisha biashara, nina 2.5M ila biashara ninayoipenda ni viatu vya kike, yaani vinavyohusu wanawake.
Fremu nakusudia nipate mbele mbele stendi yaani.
Mnanishaurije, biashara hii inalipa au?