Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Biashara ya viatu nyoko sana mi nilinunua kiatu kwa chinga alianzia elfu 25 nilikua sitaki tu kununha ila ningekua na hela ningempa...akanikazia nikaishia kumpa elfu 10 nikaona nimempiga.Siku nimeenda karume kwa ishu zingine nikakuta wanafungua mabelo kucheki mzee vinauzwa elfu tatu hadi elfu tano top.

Na kiatu hichohicho ukienda makumbusho wanauza elfu 30 kudadadeki msiwadharau machinga watembeza viatu wanapiga hela mazee imagine elfu 10 mtaji pair 3 na ukiuza kwa haraka ndo unalamba elfu 30 , japo vingi wanaanzia bei ya juu akiuza elfu 10 unaona umempiga.

Sijui graduates tunafeli wapi mitaji inaishia kwenye simu na bundle insta afu tunasubiria ajira for f**ng 5 years in vain
Hii ni siri watu wengi hawaifahamu...nakuunga mkono ndugu, mm nimeifanya kwa kipindi fulani inalipa sana
 
Nimekuwa interested na hii biashara ,kuna mdogo wangu ashawah kuifanya anasema iko poa sana haina longolongo kwa sababu unayepanga bei n ww kulingana na mteja amekujaje,

hapa nina 1.2m ,je inaweza ikatosha??
 
Hello

Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka.

Historia
Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi iliyopita huko nyuma.

Mwaka 2012 nilimaliza elimu yangu ya sekondari katika shule ya sekondari Siha

Baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari nilingia mtaani kutafuta maisha ndipo nilipo jisogeza paka kwenye jiji la miamba Mwanza alimaarufu rock City

Nilipofika tu Mwanza nilianza na biashara ya kuuza viatu vya kike simple zile bei ndogo nilifanya ile biashara kwa kipindi cha miezi miwili tu.

Nikabadili biashara na kuanza kuuza simu za mkononi nilifanya biashara ya simu kwa mwaka moja tu

Kwa mara nyingine tena nikabadili tena biashara nakuanza kuuza viatu na sandals biashara ya viatu na sandals ndio ninafanya paka muda huu ni biashara nzuri sana ambayo ukiwa nayo makini unaweza kutajirika na kusahau umasikini kabisa

Unajua kwanini nakuambia hivyo hii biashara nimeifanya kwa miaka 7 ni biashara nzuri sana naitambua vizuri

Inachangamoto ila siyo kubwa sana kama za biashara nyingine ambazo nimefanya.

Uzuri hii biashara cha kwanza kuna faida kubwa sana na inamzunguko mkubwa sana

Unaweza kupata paka 60 elfu kwa katoni moja tu ata zaidi na hii katoni moja unaweza kuuza kwa siku au wiki inategemea sana mzunguko wako.

Karibu kwenye biashara ya viatu.

Tunakaribisha maswali maoni nipo hapa kutolea kila kitu ufafanuzi kwa kadiri navyoelewa.

View attachment 1582249View attachment 1582304View attachment 1582302View attachment 1582303

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Safi sana
Haya ndio mambo watu wanatakiwa kuleta hapa.
Sio mambo ya kula tuna kimasihara
 
Dah, nimesoma comments zote kuanzia mwanzo hadi mwisho na kujikuta nakuwa inspired na biashara ya viatu. Kuanzia wiki ijayo nitaanza kufanya research kuanzia wanakonunua viatu hadi kwenye soko (pa kuuzia) ili nione nafanyeje. Asante sana innocentkirumbuyo kwa kuanzisha uzi huu...
Kama nilivyoahidi, utafiti wangu umeshaanza kuzaa matunda na soon nitaleta hapa mrejesho. Hakika sijutii kujiunga Jamii Forums
 
Mapambano yanaendelea.
Wale wa mikoani mnaweza kuagiza kwa bei nafuu kabisa

Karibuni sana
20210310_152205.jpg
 
Yani kuna watu wa ajabu sana mimi sijawaita watu wala kuwaambia nitawauzia mimi nikauonyesha njia wewe ukanunuwe mwenyewe unapojua uje upige pesa mtu anaona anatapeliwa
Achana naye mkuu, mindset za failures ndivyo zilivyo, kila kitu anakitazama in a negative way.
 
Back
Top Bottom