Biashara ya usambazaji bidhaa za dukani.

Biashara ya usambazaji bidhaa za dukani.

Al-habiib

Senior Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
132
Reaction score
192
Habari wakuu,
Husika na kichwa Cha habari, Tumekuwa tukifanya usambazaji wa bidhaa za dukani(pipi,tomato,n.k) kwa kutumia mfumo wa store, Yani unaingiza mzigo store Kisha unapita maduka ya jumla kutafuta oda za vitu mbalimbali ili uweze kumpelekea mteja.
kwa ufupi Ni Kama distributor lakni Katka local way au unofficial.
Kwa maana ya kwamba hatulipi Kodi kwa Tra ,hvyo biashara imekuwa ikilipa kiasi flani sababu gharama za uendeshaji Ni ndogo.
Lengo: Naomba ushauri nahtaj kuifnya biashara iwe yenye kutambulika kwa kusajili kampuni ya usambazaji.
Nimechagua kampuni sababu ndio njia ambayo biashara itakuwa long-lasting zaidi , sababu Nina maono ya baadae zaidi ,na pia kujitanua ili niweze kufanya importation.
Maulizo:1)je nikifungua kampuni changamoto gani kubwa Zaid naweza kabilina nazo?
2)je Kodi za TRA zikoje kwa kampuni ya Aina hii?
3) naomba mchanganuo wa system nzima ili kampuni isimame(employee,majengo n.k)
Ushauri wako Ni muhimu Sana.
Ahsante.
 
Habari wakuu,
Husika na kichwa Cha habari, Tumekuwa tukifanya usambazaji wa bidhaa za dukani(pipi,tomato,n.k) kwa kutumia mfumo wa store, Yani unaingiza mzigo store Kisha unapita maduka ya jumla kutafuta oda za vitu mbalimbali ili uweze kumpelekea mteja.
kwa ufupi Ni Kama distributor lakni Katka local way au unofficial.
Kwa maana ya kwamba hatulipi Kodi wa Tra Hawa deal na sisi hvyo biashara imekuwa ikilipa kiasi flani sababu gharama za uendeshaji Ni ndogo.
Lengo: Naomba ushauri nahtaj kuifnya biashara iwe yenye kutambulika kwa kusajili kampuni ya usambazaji.
Nimechagua kampuni sababu ndio njia ambayo biashara itakuwa long-lasting zaidi , sababu Nina maono ya baadae zaidi ,na pia kujitanua ili niweze kufanya importation.
Naswali;1)je nikifungua kampuni changamoto gani kubwa Zaid naweza kabilina nazo?
2)je Kodi za TRA zikoje kwa kampuni ya Aina hii?
3) naomba mchanganuo wa system nzima ili kampuni isimame(employee,majengo n.k)
Ushauri wako Ni muhimu Sana.
Ahsante.
Kwasabab unadili na vitu ambavo siyo brand yako nashauri fungua kama biashara tu then utakuwa una distribute kama kawaida
 
Mimi nitakusajilia kampuni na kukupa ushauri wote wa kodi na compliance zote za serikali, ukiwa makini na kutunza data zako utafika viwango vingine kabisa kwenye biashara yako Njoo PM
 
Mimi nitakusajilia kampuni na kukupa ushauri wote wa kodi na compliance zote za serikali, ukiwa makini na kutunza data zako utafika viwango vingine kabisa kwenye biashara yako Njoo PM
Au nipigie 0693 784003
 
Habari wakuu,
Husika na kichwa Cha habari, Tumekuwa tukifanya usambazaji wa bidhaa za dukani(pipi,tomato,n.k) kwa kutumia mfumo wa store, Yani unaingiza mzigo store Kisha unapita maduka ya jumla kutafuta oda za vitu mbalimbali ili uweze kumpelekea mteja.
kwa ufupi Ni Kama distributor lakni Katka local way au unofficial.
Kwa maana ya kwamba hatulipi Kodi kwa Tra ,hvyo biashara imekuwa ikilipa kiasi flani sababu gharama za uendeshaji Ni ndogo.
Lengo: Naomba ushauri nahtaj kuifnya biashara iwe yenye kutambulika kwa kusajili kampuni ya usambazaji.
Nimechagua kampuni sababu ndio njia ambayo biashara itakuwa long-lasting zaidi , sababu Nina maono ya baadae zaidi ,na pia kujitanua ili niweze kufanya importation.
Maulizo:1)je nikifungua kampuni changamoto gani kubwa Zaid naweza kabilina nazo?
2)je Kodi za TRA zikoje kwa kampuni ya Aina hii?
3) naomba mchanganuo wa system nzima ili kampuni isimame(employee,majengo n.k)
Ushauri wako Ni muhimu Sana.
Ahsante.
Kaka kama ukiitaji dereva nipo kaka
 
Duuh waafrika bana wanapenda kulalia changamoto za wenzao mwenzenu anaomba ushauri note mnaingiza shida zenu mfano huyo jamaa ambaye anataka kumsajilia kampuni kibusara zaidi mueleze faida ya kampuni na tozo atakazo kutana nazo ndio mwisho umpe TANGAZO lako na kama ni kweli shughuli zako ni hizo lazima mambo yote hayo uyafahamu
 
Maulizo:1)je nikifungua kampuni changamoto gani kubwa Zaid naweza kabilina nazo?
2)je Kodi za TRA zikoje kwa kampuni ya Aina hii?
3) naomba mchanganuo wa system nzima ili kampuni isimame(employee,majengo n.k)
Ushauri wako Ni muhimu Sana.
ukifungua kampuni HAKUNA changamoto utakazokabiliana nazo zaidi ya documents zinazohitajika kwa kazi hiyo zaidi faida ndio nyingi zaidi kwani utaaminika na wateja na hata wafanyakazi utakao waajiri

Kuhusu kodi za TRA hapo wao kwa mujibu wa sharia za makapuni serikali yaani TRA wanachukua asilimia 10 ya faida ya MWAKA baada ya kuwasiliana returns zako malipo mengine ni tax clearance ambayo ni madogo ni asilia ya pesa ya kodi ya jengo lako pamoja na leseni ya manispaaa

Na kuhusu kampuni isimame hapo ni wewe uwezo wako wa namna ya kufanya kama utakua na uwezo mkubwa utaifanya kwa ukubwa kwa kua na department za muhimu kama mauzo manunuzi nk lakini kama huna uwezo neno kampuni lisikutishe sana chamsingi hapo ni kuwa na kumbukumbu za mauzo na manunuzi nadhani wengine watakushauri pia
 
Back
Top Bottom