Biashara ya Tangawizi kwisha kabisa

Biashara ya Tangawizi kwisha kabisa

Kuna jamaa yangu kaleta container la mwana Lumumba mkoja aliita santinizer, sasa imekula kwake!
 
Nyanya ni kilio kwa sasa Tenga elfu 7 mpaka elfu 10 mkoani

Wakati watu wamepiga 40elfu miezi mitatu iliyopita.

Wanaofaidika kwa sasa ni wauza magenge tu wa kuuza rejareja na si mkulima.
 
Wale Ndg. Zangu wa kutumia fursa nawapeni taarifa kiroho Safi biashara ya Tangawizi ishaingia MDUDU huko kilo 1 kwa Sasa 800 TZS kutoka @5,000/= wiki moja iliyopita.

Source: Sokoni Kariakoo Shimoni.
huku niliko kilo 3500..kijiji kabisa..kipo rukwa..na kuna jamaa yangu anatoa mzigo tukuyu analeta huku...gunia halizidi siku 2 limeisha..anapiga hela mara 2 ya bei aliyonunulia kiroho safi..sasa hv ukimwambia Vp, bdo unasikilizia ajira,anabaki kucheka tu!!
 
huku niliko kilo 3500..kijiji kabisa..kipo rukwa..na kuna jamaa yangu anatoa mzigo tukuyu analeta huku...gunia halizidi siku 2 limeisha..anapiga hela mara 2 ya bei aliyonunulia kiroho safi..sasa hv ukimwambia Vp, bdo unasikilizia ajira,anabaki kucheka tu!!
Wape mchongo wadau washushe fuso za kutosha
 
Wape mchongo wadau washushe fuso za kutosha
Tatizo watu wanajua fursa zipo mjin tu..kijijin kuna fursa nying za kupiga hela nyingi sana kuliko mjin..ndo maana watu wa mjin wamebak kuigana tu biashara ambazo zinalipa ila si kivile..karibun kijijin jmn
 
Biashara ya Tangawizi imekufa kibudu Kama Barakoa na Face Shield
 
Back
Top Bottom