Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Diaspora tafuteni mumletee Prof. Atutangazie
Mie nadhani kuwa na kiwanda chq tangawizi hapa Tzee ni ngumu...!
Sababu ni moja!...hakuna umoja...kuweka kiwanda itahitahji uzalishaji mkubwa sana!huwez kutegemea mavuno ya msimu kuendesha kiwanda utaishia kuchizika tu kama Yule mbunge wa Kahama!..itatupasa tulime mashamba mengi zaidi na kisasa zaidi..ikiwezekana kushirikiana...hiyo hapa ni ishu naamini.!
Ni kama nyanya tu.. Nao matajiri wanaangalia mbali... Mfano kiwanda kinahitaji tons laki moja sisi kama nchi inazalisha chini ya tani 1000!kituko!
(Nawaza tu)