BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,046
Wakuu wajasiliamali mambo ni vipi? Tukiendelea na hustles za kila siku leo nmekuja na hii.,,
Nimebahatika kupata printer mpya kabisaa buree brand ni EPSON L850 ina uwezo wa kuprint coloured, photo, kuscan na kutoa copy.
Sasa nikakumbuka na dogo langu ana goli karibu na chuo huko mkoani nataka ipeleka ikapige kazi kuliko niuze bora nizalishie.
Kwa wataalam wa hii biashara naombeni msaada na maelezo juu ya hii plan yangu. Bei elekezi na vifaa vyake kama wino nk.
Pia inatumia network (internet)
Nimebahatika kupata printer mpya kabisaa buree brand ni EPSON L850 ina uwezo wa kuprint coloured, photo, kuscan na kutoa copy.
Sasa nikakumbuka na dogo langu ana goli karibu na chuo huko mkoani nataka ipeleka ikapige kazi kuliko niuze bora nizalishie.
Kwa wataalam wa hii biashara naombeni msaada na maelezo juu ya hii plan yangu. Bei elekezi na vifaa vyake kama wino nk.
Pia inatumia network (internet)