Biashara ya Nursery and Day Care Center: Mbinu, changamoto na fursa zake

TEMBO WANGU

JF-Expert Member
Feb 21, 2014
929
1,276
Habar zenu wakuu,

Naomba wamiliki, wakuu wa vituo na walimu, wajasiliamari na wadau wengine tuweze kubadilishana mawazo kwa namna gani tutaweza kufanikiwa kuendesha hizi day care na nussery kwenda kwenye mafanikio.

Je mbinu gani huwa unatumia kuweza kupata wanafunzi wengi?

Je mbinu gani unatumia kuweza kufanikiwa wanafunzi wako wakawa vizuri kielimu?

Je mbinu gani unatumia kuweza kuwalisha watoto bila ya kupata hasara kwenye matumizi yako?

Je mbinu unatumia kuweza kupata walimu Bora kwenye day care yako?

Je mbinu gani unatumia kwenye masuala ya usafiri kwa wanafunzi kuweza kufanikiwa?

Je kiwango cha mshahara kwa walimu huwa kinaanzia kiasi gani kwenye shule yako?

Je changamoto gani unakutanana nazo kwenye uendeshaji was shule yako?

Je ulianzaje mpaka ukaweza kumiliki day care?

Je mafanikio gani umeyapata kwenye shule yako?

Natumaini maswali hayo yataweza kutusaidia katika mjadala huu. asanteni Sana na karibuni nyote
 
Habar zenu wakuu,

Naomba wamiliki, wakuu wa vituo na walimu, wajasiliamari na wadau wengine tuweze kubadilishana mawazo kwa namna gani tutaweza kufanikiwa kuendesha hizi day care na nussery kwenda kwenye mafanikio.

Je mbinu gani huwa unatumia kuweza kupata wanafunzi wengi?

Je mbinu gani unatumia kuweza kufanikiwa wanafunzi wako wakawa vizuri kielimu?

Je mbinu gani unatumia kuweza kuwalisha watoto bila ya kupata hasara kwenye matumizi yako?

Je mbinu unatumia kuweza kupata walimu Bora kwenye day care yako?

Je mbinu gani unatumia kwenye masuala ya usafiri kwa wanafunzi kuweza kufanikiwa?

Je kiwango cha mshahara kwa walimu huwa kinaanzia kiasi gani kwenye shule yako?

Je changamoto gani unakutanana nazo kwenye uendeshaji was shule yako?

Je ulianzaje mpaka ukaweza kumiliki day care?

Je mafanikio gani umeyapata kwenye shule yako?

Natumaini maswali hayo yataweza kutusaidia katika mjadala huu. asanteni Sana na karibuni nyote
Mkuu mie nitakujibu kiufupi, kwanza hongera sana kwa hiyo nia ya kutaka kufanya hiyo huduma.
Jamii yetu inauhitaji mkubwa sana was hizo huduma hasahasa maeneo ya mijini kwakuwa muda mwingi watu wako bize kutafuta maisha so wanahitaji hizo huduma ili watotot wao wapate sehemu ya kushinda majira ya asubuhi mpaka jioni.

Waone watu wa idara ya ustawi wa jamii(ndio wanadeal na day care) watakupa vigezo na masharti.
Kwahabari ya kupata faida na wanafunzi wengi itategemea na wewe jinsi ulivyofanya uwezekezaji wako.
Walimu in wengi sana mtaani kwahiyo bei mtaelewana tu, kwakuwa hapa Tanzania mishahara no mapatano kati ya mwajiri na mwajiliwa.
 
Back
Top Bottom