Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,309
Asante mkuuOya tanayzer umetisha
Asante mkuuOya tanayzer umetisha
Fanya kuniachia namba brotherSawa mkuu
Kaka kaangalie pm nimekutafuta muda huu....Fanya kuniachia namba brother
🙏🙏🙏Kaka kaangalie pm nimekutafuta muda huu....
Basi niliShapatafuta sana huko shimoni kumbe hua nafika bila kujua nipo shimoniNdio hulo mkuu shimoni na underground ni sehemu moja tu.....lugha ndo tofauti alafu kule kuna maeneo na majina mfano underground toronto etc ndio maana nikasema utembee tembee ili uangalie kote usiende sehemu moja tu
Basi niliShapatafuta sana huko shimoni kumbe hua nafika bila kujua nipo shimoni
Very wise comment and it seems you know very well about psychology.Kush nikuambie kitu, watu hutofautiana
Kuna akija sisi Karucee ni headache tangu wadogo.... Darasani ni noisemakers tangu nursery school.
Ila kuna wengine who are comfortable in their solitude. Hawajichanganyi not because hawataki but it's because of their nature.
Some are shy, some just can't interact with others.
So please tumuelewe. And sometimes it is better to just read and mute rather than offend people or insult them.
If you can assist her please do... It you can send her a link, go ahead. The good you do will come back to you in one way or the other.
Ndo maana ukajiita mbu wa dengue.Very wise comment and it seems you know very well about psychology.
You have touched me because sometimes people accuse me because of being quite especially in whatsapp groups and they think I am too much proud,discrimination but it is quite different
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu hilo jina halina uhusiano wowote,wakati huo najiunga Jf habar ya mbu wa dengu ndio ilikuwa inatrend nikalichagua hilo jina yaani ni sawasawa sasa hivi mtu ajiite covid 19 au vaccination.Ndo maana ukajiita mbu wa dengue.
Uongo?
duuu mzee ubalikiwe sanaNilichosahau kwenye brouse na masweta kuna sehemu za kuangalia ukiidaka tu, angalia sana kwapani kusiwe kumepauka, angalia shingoni, angalia mikononi kusiwe kumelegea sana pia angalia upindo wa chini upoje
Kwenye skin jeans angalia kiunoni isiwe na kiuno kikuubwa, angalia kwenye msamba kusiwe na msamba mkubwa au uliochakaa, angalia zipu vizuri na angalia chini upindo usiwe umetanuka sana pia isiwe imepauka alafu pia angalia size ya skin zako kuna skin za kuvaliwa na watoto wa secondary, kuna skin za kuvaliwa na chuo ma wadada wakubwa wewe achana na wanafunzi nunua za wanachuo size inaluwa kubwa kiasi na somehow wanavaliana na wadada wakubwa......
alafu angaliaga na rangi isiwe imepauka kwenye skin
Kwenye vipochi kwanza kagua ndani vile vitambaa huwa vimeisha vingine hadi uzuri unapotea, angalia zipu vizuri, angalia mikanda ipo vozuri na angalia chini ya vipochi hata mabegi kama hakujapauka sana ndio ulipie
Pia jua rangi za nguo na rangi za mabegi na vipochi zinazopendwa na wadada.....rngi za nguo zisiwe uniue sana kama purple iwe general tu black, white kiasi, red yellow amd blue ziwe chache ukizunguka sana sio rahisi kukuta mrembo amependeza amevaa yellow japo wapo kwenye vishifon blouse sio mbaya
angalia zile mguo zenye rangi nyingi wewe chukua zinaoendwa sana hata kwa wanaume tshirt zenye rangi nyingi za kuchukua zinauza sana....
Ndivyo ilivyoNilikua cjui kumbe kama huwa huchangii kwenye maada yoyote kuhusu wenzio naww ukitoa uzi wako hawachangii!! Kama kijijini kwetu kama huwa huendi msiban naww cku ukifiwa hawaji
Nunua mitumba kauze minadani kama mtaji wako ni mdogo. Kufungua goli ni gharama kwenye fremu na TRAUzi mzuri Sana
Aliyeleta mada vipi mrejesho kea sasa.
Na je, utajaribu wa kuanzisha goli ikoje nikimaanisha kwa serikali ( TRA)
napenda kuuza chupi asante umenipa moyo sanaMkuu nimeshaanza biashara maeneo ya mbagala ila nimekutana na hali halisi ya mbagala..wateja wanataka chupi za buku na hawaangalii quality..na pia wanapenda chupi za mtumba..mimi nimekuja na chupi chambuu mana ndio zinafaida..lonya ya kuuza buku faida yake ni 3000 mpaka 2000 per dozen wakati chambuu ya 15000 inaweza kukupa 9000 mpaka 15000 kama faida kwa dozen moja.. sasa nikikaa golini kwa siku mauzo yanakuja 30000 mpaka 50000 per day wakati nikitembeza per day napata 90000 mpaka 120000 per day.. sasa shida ni jinsi ntakavyoweza kuongeza mauzo pale goloni..naomba mbinu
View attachment 1822855
View attachment 1822856
View attachment 1822857
View attachment 1822858
View attachment 1822859
View attachment 1822860
View attachment 1822861
View attachment 1822862
View attachment 1822863
View attachment 1822864
View attachment 1822865
View attachment 1822866
View attachment 1822867
View attachment 1822868
View attachment 1822869
View attachment 1822870
View attachment 1822871
View attachment 1822872
View attachment 1822873
View attachment 1822874
View attachment 1822875
View attachment 1822876
View attachment 1822877
View attachment 1822878
View attachment 1822879
View attachment 1822880
View attachment 1822881
View attachment 1822882
View attachment 1822883
View attachment 1822884
shukuranbalo kwa unaeanza ni risky sana, unaweza pata nguo nzuri ajabu au mbaya ajabu.....
Kuna utaalamu wa kujua belo zuri nabaya kidogo unasaidia japo sio sana (wao wanaangalia sticker zile zinarangi gani, maneno etc)
Kama unataka nunua belo tafuta mtu mzoefu sana na ambaye unajua na umeona ananguo nzuri mara nyingi, mpe pesa kidogo ya chai na mpe pesa akakuchukulie anakochukuaga
Ila kama unaanza na huna huo msaada nenda ilala boma na Karume kapoint nguo kali chache upate loyal customers kwanza na pesa ya haraka ije
Za muda, una ujuzi nina mtaji,Mkuu najua biashara inalipa na siwezi kuajiriwa sikuzote ila nakusanya nguvu kiuchumi na kuendelea kujifunza ili nifanye kitu kizuri zaidi
Hii ndio JF sasa.Mkuu nimeshaanza biashara maeneo ya mbagala ila nimekutana na hali halisi ya mbagala..wateja wanataka chupi za buku na hawaangalii quality..na pia wanapenda chupi za mtumba..mimi nimekuja na chupi chambuu mana ndio zinafaida..lonya ya kuuza buku faida yake ni 3000 mpaka 2000 per dozen wakati chambuu ya 15000 inaweza kukupa 9000 mpaka 15000 kama faida kwa dozen moja.. sasa nikikaa golini kwa siku mauzo yanakuja 30000 mpaka 50000 per day wakati nikitembeza per day napata 90000 mpaka 120000 per day.. sasa shida ni jinsi ntakavyoweza kuongeza mauzo pale goloni..naomba mbinu
View attachment 1822855
View attachment 1822856
View attachment 1822857
View attachment 1822858
View attachment 1822859
View attachment 1822860
View attachment 1822861
View attachment 1822862
View attachment 1822863
View attachment 1822864
View attachment 1822865
View attachment 1822866
View attachment 1822867
View attachment 1822868
View attachment 1822869
View attachment 1822870
View attachment 1822871
View attachment 1822872
View attachment 1822873
View attachment 1822874
View attachment 1822875
View attachment 1822876
View attachment 1822877
View attachment 1822878
View attachment 1822879
View attachment 1822880
View attachment 1822881
View attachment 1822882
View attachment 1822883
View attachment 1822884
Sawa mkuu