Mshawa
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 776
- 306
Wasalaam wana Jf,
Ndugu zangu nina ombi kwenu hasa kwa anayefahamu uwepo ama (Viability) ya hii biashara ya ngozi, nimehamasika sana
kusindika ngozi ikiwa ni njia moja wapo ya kuiongezea dhamani ngozi za wanyama kama ngombe, mbuzi, n.k ila sina mwongozo ama uelewa wowote wa wapi nitapata soko hasa hapa Tanzania, nilipo ngozi huwa zinatupwa ama kuuzwa kwa bei nafuu, isipokua sina uelewa wa soko na namna ya kuwapata wateja wa ngozi iliyokamilika (leather).
regards Mshawa.
Ndugu zangu nina ombi kwenu hasa kwa anayefahamu uwepo ama (Viability) ya hii biashara ya ngozi, nimehamasika sana
kusindika ngozi ikiwa ni njia moja wapo ya kuiongezea dhamani ngozi za wanyama kama ngombe, mbuzi, n.k ila sina mwongozo ama uelewa wowote wa wapi nitapata soko hasa hapa Tanzania, nilipo ngozi huwa zinatupwa ama kuuzwa kwa bei nafuu, isipokua sina uelewa wa soko na namna ya kuwapata wateja wa ngozi iliyokamilika (leather).
regards Mshawa.