Bongo Trust
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 253
- 249
Naomba wenyeji na wazoefu wa issues hio mniambie mchanganuo wake unakaaje/at least niwe na shilingi ngapi ili nianzishe.
Asante
Asante
wapi huko ambako pesa inamwagika kama maji mkuu ?Dodoma ipi mzee upo Manispaa, Chemba Kondoa Bahi au Mpwampwa ukinijibu na kama una kibunda cha kutosha niambie sehemu ukachote pesa kama maji mkuu.
Usumuamini huyo mkuu, yeye mwenyewe anazitamani pesa balaa. Mtoa mada akienda kichwa kichwa lazima aliwewapi huko ambako pesa inamwagika kama maji mkuu ?
Thanks bloodNenda Nala fanya survey, kuna shda sana ya maji.
Wapo wanapiga sana ela kwa kuuza maji