Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,633
- 1,608
Habari mimi ni mfanyabiashara wa machungwa toka Muheza-Tanga nataka kuleta machungwa Bukoba naomba kuunganishwa na madalali wa huko
Kwa huku Muheza chungwa ni 90 shambani ndio maana nilitaka kujua bei ya sokoniKwa bei ya sasa hivi ya chungwa shambani huko bukoba si watauziwa 500 sasa chungwa moja
Misimu ni miwili kuanzia mwezi wa tatu mpaka wa sita aina nyingi za machungwa hulimwa msimu huu,msimu wa pili ni mwezi wa saba mpaka wa 11 na 12 mwanzoni aina ya chungwa ni valencia ambayo hupatikana zaidi MuhezaMachungwa msimu wake huwa ni upi?
Wapi huko ni 90 mkuu wakati nimeuliza jana nimeambiwa ni 110,au wewe unasokoza??Kwa huku Muheza chungwa ni 90 shambani ndio maana nilitaka kujua bei ya sokoni
Duh basi imepanda tena siku za karibuniWapi huko ni 90 mkuu wakati nimeuliza jana nimeambiwa ni 110,au wewe unasokoza??
Daaaa kwa hali hii kutoka 80 mpk 500 alooo soko litakua limepaaa 😀Kwa bei ya sasa hivi ya chungwa shambani huko bukoba si watauziwa 500 sasa chungwa moja
120 mpaka 130 saiviWapi huko ni 90 mkuu wakati nimeuliza jana nimeambiwa ni 110,au wewe unasokoza??