Habari wanajamii forum..
Naomba kufahamishwa..
Nataka kuagiza basi aina ya Youtong kutoka china,,,
Nataka kujua kuhusu
1..bei
2..ghalama za usafirishaji
3..kodi kwa hapa Tz
4.. Na ghalama nyingine kama zipo...
Lengo ni kuandaa cost analysis
Msaada wenu tafadhali
Naomba kufahamishwa..
Nataka kuagiza basi aina ya Youtong kutoka china,,,
Nataka kujua kuhusu
1..bei
2..ghalama za usafirishaji
3..kodi kwa hapa Tz
4.. Na ghalama nyingine kama zipo...
Lengo ni kuandaa cost analysis
Msaada wenu tafadhali