Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,110
- 2,787
Nitashukuru sana Boss
Itakuwa babu wa loliondoMganga gani kakuagiza
Mimi ninazo kiasi kama kg moja hivi naweza kukusaidia, napatikana Ubungo
NdioUnampa bure eeh!?
Ndio
Asante kwa kutumia Uhuru wako wakujielezakwanza anza kusema wewe una ugonjwa gani sugu uliokumotivate utafute huo mti na utamani kuupanda kwako!?
Kama una laki saba kwa kila mche ni PM
you are warmly welcome sir, thank you too for using your freedom of expression.Asante kwa kutumia Uhuru wako wakujieleza
Asante sana, nashukuru kwa mawazo yako ya kujengaNdugu GUI nenda wanakouza miche ya miti utapa mche mzuri.Ninavyofahamu, katika vitalu vya miti haiuzwi ghali sana (Nadhani haifiki 5000 kwa mche).Ahsante
Mlonge ni zaidi ya dawa,unatibu maradhi zaidi ya 50Mganga gani kakuagiza
Mkuu asante, nakupigia simu hupokei lkn shida ni nnSoko la uyole niliona mbegu zake