Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,382
- 13,194
Waislam wanaweza kuwa Wapo vizuri ila uislam ndio hovyo. sababu mafundisho yake yote ni hovyoJua kutofautisha baina ya uislamu na waislamu.
Uislamu umekamilika ila waislamu hawakukamilika Wana mapungufu yao ya kibinaadamu.
Nitajie huo unafiki wa Uislamu hata mmoja tu.
Uislam haujakamilika wacha kuhadaa watu Aya t ya kusema Uislam umekamilika ipo Surah namba Tano Al maidah 5:3 sasa unakamilikaje wakati aya chungu nzima zimefuata. huo sio uendawazimu?
Uislam umekamilika kwa kuzuia kula Nyama ya Nguruwe hahahaha and ukiwa na njaa ule kitimoto au Nyamafu sio dhambi hahahaha
Uislam ni unafiki kasome aya Quran 3:28 Uone unafiki Allah anaowafundisheni zipo aya kibao sema fake muslims hawana elimu ya dini yao
Al-Barwani
Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Allah. Ila ikiwa kwa ajili ya kujilinda na shari zao. Na Mwenyezi Mungu anakuhadharisheni naye. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu.
Quran 60:8
Al-Barwani
Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu.
Soma unafiki wa Wanawake wa Kiislam walio nao Quran 60:12
Al-Barwani
Ewe Nabii! Watakapo kujia wanawake Waumini wanakuahidi ya kwamba hawatamshirikisha Mwenyezi Mungu na chochote, wala hawataiba, wala hawatazini, wala hawatawauwa watoto wao, wala hawataleta uzushi wanao uzua tu wenyewe baina ya mikono yao na miguu yao, wala hawatakuasi katika jambo jema, basi peana nao ahadi, na uwatakie maghfira kwa Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi maghfira, Mwenye kurehemu.