Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,583
- 2,600
Wadau, mimi na mume wangu tuna idea ya kuanzisha shelli ya kuuza asali. Tutachimbia matenki chini na kufunga pampu kama wafanyavyo wa shelli za mafuta.
Naomba mwongozo: tutahitaji kuiona mamlaka gani kwa ajili ya kibali cha kuuza asali kwa utaratibu huu mpya?
Naomba mwongozo: tutahitaji kuiona mamlaka gani kwa ajili ya kibali cha kuuza asali kwa utaratibu huu mpya?