Biashara ya Kutoa Mikopo (Microfinance): Hatua, Taratibu za Kufuata na Ushauri wa Uendeshaji

boma2000

JF-Expert Member
Oct 18, 2009
3,280
310


Wadau wenzangu hapa JF kina Babalao na wengineo naomba mnisaidie ili niweze kuanzisha Microfinance yangu Dsm ninatakiwa niwe na nini, na utaratibu gani nifuate.

WADAU WANAOHITAJI UFAHAMU WA BIASHARA HII
Habari za leo wadau,

Naomba kufahamishwa taratibu za kuanzisha Microfinance.

Naomba kujua mtaji kianzio, namna zinavyofanya kazi, aina ya wateja na mengineyo ambayo sijayataja hapa.

NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app

MICHANGO YA WADAU

 
wadau wenzangu hapa jf kina babalao na wengineo naomba mnisaidie ili niweze kuanzisha microfinance yangu dsm ninatakiwa niwe na nini, na utaratibu gani nifuate.

Una wazo zuri sana mzee na hii kitu inalipa sana. Pindi ukifanikiwa nipm mkuu labda naweza pata kibarua hapo. Currently am working as a loan officer kwenye microfinance fulani.
 
Asanteni sana wakuu hata mimi ninashida hiyo hiyo na tayari nilishaanza utafiti naomba sana sana tu-teamup ilikufanikisha nimeambiwa kufungua kampuni yenye financial activities km hizo then you lounge application BOT lkn uwe wealthly financially equity ilimradi usije kopa ndio ukakopesha myself is possiblena mengine mengi.
 
1.Unaanda Proposal na kuipeleka Bank kuu ya Tanzania,then wanakukagua kuona kuwa umetimiza vigezo walivyokupatia poamoja na mtaji kama unao (KUNA KIWANGO MAHALUMU)kilichopanga for Microfinance Companies Then unapewa Leseni.

Kuna Consultant Mmoja uwa anaanda hizo Proposal na kuzi submit bank kuu on your behalf.
 
Unaweza kuanzisha SACCOS, au Financial NGO au kampuni financial institution kama FINCA kati ya zote hizo rahisi kuanzisha ni SACCOS ukitaka kuanzisha Benki lazima uwe na Sh. 50 million sidhani kama unazo. Ukitaka ushauri zaidi nipigie 0755394701 au nipm
 

Anaweza kuwa nazo jamani.
 
Reactions: amu

Hapo kwenye red umenichafua to be sincere, hw come uje na negative statement kama hiyo.
 
Hapo kwenye red umenichafua to be sincere...how come uje na negative statement kama hiyo.

Usikubali kuchafuka kienyeji, hiyo ni changamoto ktk kutafuta, naamini mtoa ushauri hana maana mbaya kama ambavyo mimi na wewe tunaweza kuona, maoni yangu tu.
 
Hizi MFI zitafungwa zote muda si mrefu!! Utapeli na wizi wa mchana umezidi kwa walala hoi. Nakwambia with MFI Mtanzania hatakomboka hata kidogo, Kwani ni kunyonyana kwa kwenda mbele.

My take anzisha bureua de Change kwani hizi life span yake ni kubwa.Lkn MFI ni biashara ya msimu tu kwa Tanzania.
 

Si kweli kua ni biashara ya msimu.
 

Mboan finca, bayport, na wengine wanakopa?
 
Una wazo zuri sana mzee na hii kitu inalipa sana. Pindi ukifanikiwa nipm mkuu labda naweza pata kibarua hapo. Currently am working as a loan officer kwenye microfinance fulani.

Mungu atujalie nifanikishe
 

Asante nitaku-pm mkuu, ila unakosea kusema mimi sina Tsh 50m mbona kwa wabonge wengi ni hela ya kawaida tu.
 
Hapo kwenye red umenichafua to be sincere...how come uje na negative statement kama hiyo.

Wakati mwingine huwa inatokea kwa baadhi ya watu, inabidi kuwa na msimamo ili kukamiliza mtu unachotaka kufanya otherwise, utaishia njiani kwa kukatishwa tamaa. Asante kwa kuwa muungwana.
 

Kama mtu ameianzisha akiwa serious haiwezi kufungwa, ila kama mtu ameanzisha kama mtu anavyoanzisha biashara nyingine kwa lengo la utapeli basi itakufa kweli maana utapeli una mwisho wake.
 

Huyu kakosea kuandika tu, ni million 500 kwa benki nadhani kama haijafika bilioni maana kulikuwa na mpango wa kuongeza capital requirement. Kwa microfinance sina kumbukumbu ila ni more than 50 mil.
 
Mkuu Koba asante sana kwa maelezo mazuri ngoja nifuatilie ili kupata details zaidi.
 
Hapo kwenye red kuna walakini, benki zingekuwa nyingi mno.
 
Mtafute mtu anaitwa gonzaga mandago, atakupa michongo yoooooooooote, ya hiyo kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…