Biashara ya kusaga mahindi na kuuza unga

Biashara ya kusaga mahindi na kuuza unga

Duniatunapita man

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2024
Posts
237
Reaction score
314
Habari wadau.

Nahitaji kuwa na mashine ya kusaga sembe mkoani Ruvuma kisha niwe nasafirisha na kuuza maeneo ya Tunduru, Masasi hadi Mtwara.

Naomba mwenye uzoefu anipatie.

Ruvuma nimeishi ila Tunduru kuelekea Mtwara si mwenyeji
 
Habari wadau. Baada ya salamu, nahitaji kuwa na mashine ya kusaga sembe mkoani ruvuma Kisha niwenasafirisha na kuuza maeneo ya tunduru, masasi Hadi mtwara. Naomba mwenye uzoefu anipatie. Ruvuma nimeishi ila tunduru kuelekea mtwara si mwenyeji
Tafuta humu utapata imejadiliwa kwa kirefuuu sanaaa
 
Back
Top Bottom